Neno "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari juu ya sehemu mpya ya simulizi ya kushangaza.
"wanamume 400"
Hii haimaanishi Yakobo aliwagawanya watoto wake sawa sawa ili kwamba kila mwanamke awe na idadi sawa ya watoto pamoja nao. Yakobo aliwagawa watoto ili kila mmoja aondoke na mama yake.
"watumishi wa kike wake zake". Hii ina maana ya Bilha na Zilpa"
Hapa "mwenyewe" inasisitiza ya kwamba Yakobo aliondoka peke yake mbele ya wenzake.
Hapa neno "sujudu" lina maana ya kuinama chini kuonyesha kwa unyenyekevu heshima na taadhima kwa mtu.
"kukutana na Yakobo"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "Esau aliweka mikono yake kumzunguka Yakobo, kumkumbatia, na kumbusu"
Hii inaweza kusemwa kwa uwazi zaidi. "Kisha Esau na Yakobo wakalia kwa sababu walikuwa na furaha kuonana tena"
"akawaona wanawake na watoto waliokuwa na Yakobo"
Msemo "mtumishi wako" ni njia ya upole ya Yakobo akimaanisha yeye mwenyewe. "Hawa ni watoto ambao Mungu amenipatia mtumishi wako, kwa neema yake"
"watumishi wa kike wake zake". Hii ina maana ya Bilha na Zilpa.
Hii ni ishara ya unyenyekevu na heshima mbele za mtu mwingine.
Msemo wa "makundi haya yote" una maana ya makundi ya watumishi ambao Yakobo aliwatuma kutoa zawadi kwa Esau. "Kwa nini ulituma makundi haya yote tofauti kuja kukutana nami?"
Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo ya mtu. "Ili kwamba wewe, bwana wangu, ufurahishwe na mimi"
Msemo "bwana wangu" ni njia ya upole inayomaanisha Esau.
Neno "wanyama" au "mali" linaeleweka. "Nina wanyama wa kutosha" au "Nina mali ya kutosha"
Hapa "machoni" ina maana ya fikra au mawazo ya mtu. "Kama unapendezwa na mimi"
Hapa "mkononi" ina maana ya Yakobo. "zawadi hii nayokupatia"
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "mkono wangu. Kwa uhakika"
Maana ya tashbihi hii haipo wazi. Maana zaweza kuwa 1) Yakobo amefurahi ya kwamba Esau amemsamehe kama Mungu alivyomsamehe au 2) Yakobo anashangazwa kumuona kaka yake tena kama alivyoshangazwa kumuona Mungu au 3) Yakobo ananyenyekea kuwa mbele ya Esau kama alivyonyenyekea kuwa mbele za Mungu.
Hapa "uso" ina maana ya Esau. Ni vyema kutafsiri kama "uso" kwa sababu ya umuhimu wa neno "uso" hapa pamoja na "uso wa Mungu" na "uso kwa uso" katika 32:29.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambazo watumishi wangu wamekuletea"
"Mungu amenitendea wema sana" au "Mungu amenibariki sana"
Ilikuwa utamaduni kukataa zawadi kwanza, lakini kukubali zawadi ile baadae kabla ya mtoaji kukwazika.
Hii ni njia ya upole na maalumu ya kumhusu Esau. "Wewe, bwana wangu, unajua"
Maana inaweza kuwekwa wazi zaidi. "watoto ni wadogo sana kusafiri haraka"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "tukiwalazimisha kwenda haraka sana hata kwa siku moja"
Hii ni njia ya upole na maalumu ya Yakobo kujitaja mwenyewe. "Bwana wangu, mimi ni mtumishi wako. Tafadhali nenda mbele yangu"
"kwa kasi ya wanyama naowatunza wanaweza kwenda"
Hili ni eneo lenye milima katika eneo la Edomu.
Yakobo anatumia swali kuweka msisitizo ya kwamba Esau hahitaji kubakiza wanamume. "Usifanye hivyo!" au "Hahitaji kufanya hivyo!"
Hii ni njia ya upole na maalumu ya kumaanisha Esau. "Wewe, bwana wangu, umekuwa"
"Jina la Sukothi lina maana ya "hifadhi".
Inasemekana ya kwamba nyumba ni ya familia yake pia. "alijenga nyumba kwa ajili yake mwenyewe na familia yake"
"kwa wanyama aliowatunza"
Hii inaanza sehemu mpya ya simulizi. Mwandishi anaelezea kile Yakobo alichofanya baada ya kupumzika Sukothi.
"Baada ya Yakobo kuondoka Padani Aramu"
Hii inamtaja Yakobo pekee kwa sababu ni kiongozi wa familia. Inasemekana ya kwamba familia yake ilikuwa pamoja naye.
"Aliweka kambi yake karibu"
"kipande cha ardhi"
Hili ni jina la mwanamume.
Shekemu ni jina la mji na jina la mwanamume.
"100"
"Jina la El Elohe Israeli lina maana ya "Mungu, Mungu wa Israeli"