"Jina la Mahanaimu lina maana ya "kambi mbili"
Hili ni eneo lenye milima katika eneo la Edomu.
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Hivi ndivyo nataka ukamwambie bwana wangu Esau. Mwambie nimekuwa ... machoni pake."
Yakobo anatumia lugha ya upole na anamtaja kaka yake kama "bwana wangu".
Yakobo anatumia lugha ya upole na anajiita mwenyewe kama "mtumishi wako".
Hapa "machoni" ina maana ya fikra na mawazo ya mtu. "ili kwamba unithibitishe"
"wanamume 400"
HIi ina maana ya hisia zisizo nzuri ambazo mtu anazo pale anapopata tishio la kudhuriwa kwake au wengine.
"tia wasiwasi" au "kutaabishwa"
Hapa "kambi" ina maana ya watu. "kuwashambulia watu katika kambi moja, kisha watu wa kambi nyingine watatoroka"
Hii haimanishi mungu wawili, lakini kwa Mungu mmoja wanaomuabudu wote. "Yahwe, ambaye ni Mungu wa babu yangu Abrahamu na baba yangu Isaka"
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isyo moja kwa moja. "Yahwe, wewe uliyesema ya kwamba nirudi katika nchi na kwa jamaa yangu, na kwamab utanifanikisha"
"na kwa familia yako"
"Nitafanya mema kwako" au "Nitakutendea mema"
Nomino zinazojitegemea "uaminifu" na "mkweli" inaweza kuwekwa kama "mwaminifu". "Sistahili wewe uwe mwaminifu kwa agano lako au kwako kuwa mwaminifu kwangu, mtumishi wako"
Hii ni njia ya upole ya kusema "mimi"
Hapa "nimekuwa" inamaana ya kile ambacho anacho sasa. "na sasa nina watu wa kutosha, mifugo, na mali kutengeneza kambi mbili"
"niokoe"
Hapa neno "mikono" ina maana ya nguvu. Misemo miwili ina maana moja. Msemo wa pili unaelezea ya kwamba kaka ambaye Yakobo alikusudia ni Esau. "kutoka kwa nguvu ya kaka yangu, Esau" au "kutoka kwa kaka yangu, Esau"
"Ninaogopa ya kwamba"
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Lakini ulisema ya kwamba utanitafanikisha, na kwamba utafanya uzao wangu .. hesabu"
"kufanya mema kwako" au "kukutendea mema"
Hii inazungumzia hesabu kubwa ya uzao wa yakobo kana kwamba hesabu yake itakuwa kama chembe za mchanga za pwani za baharini.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ambayo hakuna mtu awezaye kuhesabu kwa sababu ya hesabu yake"
"200"
"20 ... 30 ... 40 ... 10"
"na watoto wao"
Hapa "katika mikono" ina maana ya kutoa mamlaka juu yao. "Aliwagawa katika makundi madogo, na kuwapa kila mmoja wa watumishi wake mamlaka juu ya makundi"
"na kila kundi lisafiri kwa umbali kutoka kwa kundi lingine"
"Akamuamuru"
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "kukuuliza bwana wako ni nani, unakwenda wapi, na nani anamiliki wanyama walio mbele yako"
"Bwana wako ni nani?"
"Nani anamiliki wanyama hawa ambao wako mbele yako?"
Hii ni nukuu ndani ya nukuu. Inaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Kisha ntataka kumwambia ya kwamba vitu vyote hivi ni vya Yakobo, mtumishi wake, na anampatia bwana wake, Esau. Na mwambie ya kwamba Yakobo yupo njiani kukutana naye"
Yakobo anajifafanua kwa njia ya upole kama mtumishi wa Esau.
Yakobo anajifafanua kwa Esau kwa njia ya upole kama bwana wake.
Hapa "yetu" ina maana ya mtumishi akizungumza na watumishi wengine kuleta mifugo kwa Esau.
"akaamuru kundi la pili"
Maana zaweza kuwa 1) "Utasema pia, 'Mtumishi wako Yakobo"' au 2) 'Utasema, "Pia, Mtumishi wako Yakobo"'.
"Nitamtuliza" au "Nitafanya hasira yake itoweke"
"atanikaribisha kwa upole"
Hapa "zawadi" ina maana ya watumishi kupeleka zawadi zile.
Hapa "mwenyewe" inasisitiza ya kwamba yakobo hakuwenda pamoja na watumishi wake.
"watumishi wake wawili wake zake". Hii ina maana ya Zilpa na Bilha.
sehemu ya kina kifupi ya mto ambayo ni rahisi kuvuka.
Hili ni jina la mto.
"kila kitu alichokuwa nacho"
"mpaka alfajiri"
"kiungo cha paja". Hii ni sehemu ambapo mfupa wa juu wa mguu unaungana na nyonga.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mwanamume alijeruhi nyonga ya Yakobo aliposhindana naye"
"jua litachomoza hivi karibuni"
Hapa "umenibariki" ina maana ya kutamka baraka maalumu juu ya mtu na kusababisha mambo mazuri kutokea kwa huyo mtu.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "Haiwezekani! Lazima unibariki kwanza, ndipo nitakuacha uondoke"
"Jina la Israeli lina maana ya 'Anayeshindana na Mungu'"
Hapa "wanadamu" ina maana ya "watu" kwa ujumla.
Akasema, "Kwa nini kuniuliza jina langu?" Swali hili la balagha lilitakiwa kushtua, kukaripia na kumfanya Yakobo awaze juu ya kilichotokea kati yake na mtu mwingine aliyeshindana naye. "Usiniulize jina langu!"
"Jina la Penieli lina maana ya "uso wa Mungu".
Kuwa "uso kwa uso" ina maana ya watu wawili kutazamana ana kwa ana, kwa umbali mfupi.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na bado akasalimisha maisha yangu"
Hii inafanya mabadiliko kutoka kwa simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu vizazi vya Israeli.
Hii ina maana siku ambayo mwandishi alikuwa akiandika hivi.
Hii ina maana ya msuri unaonganisha mfupa wa paja na kiungo cha paja.
"kiungo cha paja"
"alipokuwa akipiga"