miaka saba** - 'Sara aliishi miaka 127"
Baadhi ya watafsiri hawajumlishi sentensi hii.
Hili ni jina la mji.
"Abrahamu alikuwa na huzuni sana na akalia kwa sababu Sara alikufa"
"akasimama na kuacha mwili wa mke wake"
Hapa "watoto" ina maana ya wale waliotokana na Hethi. "uzao wa Hethi" au "Wahiti"
Wazo hili linaweza kuelezwa kwa lugha ya eneo. "katika nchi yako" au "hapa"
"Niuzie sehemu ya nchi" au "Niruhusu kununua kipande cha nchi"
Kivumishi kidogo "wafu" kinaweza kuelezwa kama kivumishi au kitenzi. "mke wangu aliyekufa" au "mke wangu ambaye amekufa"
Hapa "wana" ina maana ya wale waliotokana na Hethi. "uzao wa Hethi"
Msemo huu unatumika kuonyesha heshima kwa Abrahamu.
Hii ni lahaja. Hii yaweza kuwa na maana ya "mwanamume mwenye mamlaka" au "kiongozi mwenye nguvu"
Kivumishi kidogo cha "wafu" kinaweza kusemwa kama kitenzi au kwa njia ya urahisi kama "mke". "mke wako ambaye amekufa" au "mke wako"
"sehemu bora kabisa ya makaburi yetu"
"kuzuia sehemu ya makaburi kwako" au " kukataa kukupatia makaburi"
Hii ina maana ya kuinama au kupiga goti chini kabisa kwa kuonyesha unyenyekevu wa heshima na taadhima kwa mtu.
"kwa wana wa Hethi waliokuwa wakiishi katika eneo lile"
Hapa "wana" ina maana ya wale amabo wametoka kwa Hethi. "uzao wa Hethi"
Kivumishi kidogo "wafu" kinaweza kuelezwa kama kivumishi au kitenzi. "mke wangu aliyekufa" au "mke wangu ambaye amekufa"
Haya ni majina ya wanamume.
"pango lake ambalo lipo mwishoni mwa shamba lililoko Makpela"
"pango lililoko Makpela". Makpela ilikuwa jina ya eneo au sehemu. Efroni alimiliki shamba katika Makpela na pango ambalo lilikuwa katika shamba.
Hii inatueleza jambo kuhusu pango lile. Efroni alimiliki pango lile.
Hii pia inatumabia jambo kuhusu pango lile. Pango lilikuwa mwishoni mwa shamba la Efroni.
"niuzie mbele yenu wote" au "niuzie mbele ya uwepo wenu"
"kama kipande cha nchi ambacho nitamiliki na kutumia"
Hapa "Sasa" inatumika kuweka alama ya badiliko ya habari kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Efroni.
Hili ni jina la mwanamume.
Hapa "wana" ina maana ya wale ambao wametoka kwa Hethi. "uzao wa Hethi"
Nomino inayojitegemea "alipowasikia" inaweza kuwekwa kama "kusikia" au "kusikiliza". "ili kwamba wana wote wa Hethi waweze kumsikia" au "wakati wana wote wa Hethi walipokuwa wakimsikiliza"
Hii inaelezea ni wana wapi wa Hethi walikuwa wakisikiliza. "wale wote waliokusanyika langoni mwa mji"
Lango la mji ilikuwa mahali ambapo viongozi wa mji walikutana kufanya maamuzi muhimu.
"mji ambao aliishi". Msemo huu unaonyesha ya kwamba Efroni alikuwa wa mji ule. Haimaanishi ya kwamba aliumiliki.
Huu msemo umetumika kuonyesha heshima kwa Abrahamu.
Hapa "mbele ya" ina maana ya watu waliokuwa kama mashahidi. "pamoja na wananchi kama mashahidi"
Hii ina maana ya "wananchi wenzangu" au "Wahiti wenzangu"
"watu wangu". Msemo huu unaonyesha ya kwamba efroni alikuwa sehemu ya kundi la watu. Haimaanishi ya kwamba alikuwa kiongozi wao.
"Ninakupatia. Zika wafu wako"
Kivumishi kidogo "wafu" kinaweza kuelezwa kama kitenzi. "mke wangu aliyekufa" au "mke wangu ambaye amekufa"
Hii ina maana ya kuinama au kupiga goti chini kabisa kwa kuonyesha unyenyekevu wa heshima na taadhima kwa mtu.
"watu wanaoishi katika eneo lile"
Nomino inayojitegemea "wakisikiliza" inaweza kusemwa kama "sikia" au "sikiliza". "ili kwamba watu wanaoishi katika eneo lile waweze kusikia" au "wakati watu waliokuwa wakiishi katika eneo lile wakisikiliza"
Neno "lakini" linaonyesha tofauti. Efroni alitaka kutoa shamba kwa Abrahamu; Abrahamu alitaka kulipia. "hapana, lakini kama upo tayari" au "Hapana, lakini kama unakubaliana na hili"
"Nitakupa fedha kwa ajili ya shamba"
Kivumishi cha "wafu" kinaweza kuelezwa kama kitenzi au "mke". "Mke wangu aliyekufa" au "mke wangu"
Hili ni jina la mwanamume.
"Nisikie, bwana wangu" au "Nisikilize, bwana mwema"
Msemo huu unatumika kuonyesha heshima kwa Abrahamu.
Efroni alimaanisha ya kwamba kwa kuwa yeye na Abrahamu walikuwa matajiri wote, shekeli 400 za dhahabu zilikuwa kiwango kidogo. Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa kama kauli. "Kipande cha shamba kina thamani cha shekeli mia nne za fedha tu. Kwako na mimi, hii si kitu"
Hii ni kama kilogramu 4.5 za fedha
"400"
Kivumishi cha "wafu" kinaweza kuelezwa kama kitenzi au "mke". "Nenda kamzike mke wako ambaye amekufa"
"Abrahamu alipima fedha na kumpatia Efroni kiwango" au "Abrahamu alimhesabia Efroni kiwango cha fedha"
"kiwango cha fedha ambacho Efroni alikitaja"
Nomino inayojitegemea "wakisikiliza" inaweza kusemwa kama "sikia" au "sikiliza". "ili kwamba wana wa Hethi walimsikia" au "wakati wana wa Hethi walikuwa wakisikiliza"
Hapa "watoto" ina maana ya wale waliotokana na Hethi. "uzao wa Hethi"
"kwa kutumia viwango vya vipimo vya uzito ambao wafanyabiashara walitumia." Hii inaweza kuelezwa kama sentensi mpya. "Alipima fedha kwa njia ile ile ambayo wafanyabiashara walikuwa wakitumia kupima"
Makpela lilikuwa jina la eneo au mahali.
Hii ilikuwa jina jingine kwa mji wa Hebroni. Inawezekana iliitwa baada ya Mamre, rafiki yake Abrahamu aliyeishi pale"
Msemo huu unafafanua kile ambacho mwandishi alimaanisha alipoandika "shamba la Efroni". Halikuwa shamba tu, lakini pia pango na miti katika shamba.
"ikawa mali ya Abrahamu alipoinunua" au "ikawa ya Abrahamu baada ya kuinunua"
Hapa "mbele ya" ina maana ya watu kutumika kama mashahidi. "pamoja na watu wa Hethi wakitazama kama mashahidi"
Hapa "wana" ina maana ya wale amabo wametoka kwa Hethi. "uzao wa Hethi"
Hii inaeleza ni wana wapi wa Hethi waliomwona Abrahamu akinunua mali ile. "wale wote waliokusanyika langoni mwa mji"
Malango ya mji palikuwa pale ambapo viongozi wa mji walikutana kufanya maamuzi muhimu.
"mji aliokuwa akiishi". Msemo huu unaonyesha Efroni alikuwa wa mji ule. Haimaanishi ya kwamba aliumiliki.
"Alipomaliza kununua shamba lile"
"pango katika shamba lile"
"shamba katika Makpela"
Maana zaweza kuwa 1) Mamre lilikuwa jina lingine la Hebroni au 2) Hebroni alikuwa akijulikana kama Mamre au 3) Mamre alikuwa karibu sana na mji mkubwa wa Hebroni, kwa hiyo watu waliuita Hebroni mara kwa mara.
"ikawa mali ya Abrahamu ya makaburi aliponunua kutoka kwa wana wa Hethi"
Hapa "wana" ina maana ya wale amabo wametoka kwa Hethi. "uzao wa Hethi"