Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Msemo huu una maana ya matukio katika sura ya 21.
Inasemekana Mungu alimpima Abrahamu kujifunza kama Abrahamu atakuwa mwaminifu kwake. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. Mungu alipima uaminifu wa Abrahamu.
"Ndio, nasikiliza" au "Ndio, kuna nini?"
Inasemekana ya kwamba Mungu anajua ya kuwa Abrahamu ana mtoto mwingine, Ishmaeli. Hii inasisitiza ya kwamba Isaka ni mwana ambaye Mungu alimuahidi kumpa Abrahamu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "mwana wako wa pekee ambaye nilikuahidi"
Hii inasisitiza upendo wa Abrahamu kwa mwanawe, Isaka.
"nchi inayoitwa Moria"
"akambebesha punda wake" au "akaweka juu ya punda kile kilichohitajika kwa ajili ya safari"
"watumishi"
"alianza safari yake" au "alianza kusafiri"
Neno "tatu" ni nambari ya mpango kwa ajili ya tatu. "Baada ya kusafiri kwa siku tatu"
"akaona kwa mbali sehemu ambayo Mungu alizungumzia"
"watumishi"
Neno "tutaabudu" ina maana ya Abrahamu pekee na Isaka.
"nitarudi kwako"
"akamfanya Isaka, mwanawe, kuibeba"
Hapa "mkononi mwake mwenyewe" inasisitiza ya kwamba Abrahamu mwenyewe alibeba vitu hivi. "Abrahamu mwenyewe alibeba"
Hapa "moto" ina maana ya sufuria yenye mkaa unaowaka au tochi au taa. "kitu cha kuanzishia moto"
"waliondoka pamoja" au "wote wawili waliondoka pamoja"
Hii ni njia ya upendo ya mwana kuongea kwa baba yake.
"Ndio, nasikiliza" au "Ndio, kuna nini?"
Hii ni njia ya upendo ya baba kuongea kwa mwanawe.
Hapa "moto" ina maana ya sufuria yenye mkaa unaowaka au tochi au taa. "kitu cha kuanzishia moto"
"mwanakondoo ambaye utamtoa kama sadaka wa kuteketezwa"
Hapa "mwenyewe" inasisitiza ya kwamba Mungu atatoa mwanakondoo.
"atatupatia sisi"
"Abrahamu na Isaka walipofika katika sehemu ile"
"akamfunga kamba"
"juu ya kuni zilizokuwa juu ya madhabahu"
"akaokota kile kisu"
Maana zinaweza kuwa 1) Yahwe alijifanya kuonekana kama malaika au 2) huyu alikuwa mmoja wa malaika wa Yahwe au 3) huyu alikuwa mjumbe maalumu kutoka kwa Mungu (baadhi ya wasomi wanadhani alikuwa Yesu). Kwa sababu msemo hauleweki vizuri, ni bora kutafsiri kama "malaika wa Yahwe" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".
Hii ina maana ya sehemu ambapo Yahwe anaishi.
"Ndio,ninasikiliza" au "Ndio, kuna nini?"
Msemo "usinyooshe mkono wako juu ya" ni namna ya kusema "usimdhuru". Mungu alisema kitu kile kile mara mbili kusisitiza ya kwamba Abrahamu hakupaswa kumdhuru Isaka. "usimdhuru kijana kwa njia yoyote ile"
Maneno "najua" na "yangu" yana maana ya Yahwe. Unapotafsiri kilichomo ndani ya nukuu, sema kwa namna ambayo Yahwe alitumia maneno ya "najua" na "yangu" alipomaanisha Yahwe.
Hii ina maana ya kumheshimu Mungu kwa undani na kuonyesha heshima hiyo kwa kumtii yeye.
"kwa sababu ninaona"
"haujamshikilia nyuma mwanao ... kwangu" Hii inaweza kusemwa kwa njia ya chanya. "ulikuwa tayari kumtoa mwanao ... kwangu"
Inasemekana ya kwamba Mungu anajua ya kuwa Abrahamu ana mtoto mwingine, Ishmaeli. Hii inasisitiza ya kwamba Isaka ni mwana ambaye Mungu alimuahidi kumpa Abrahamu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "mwana wako wa pekee ambaye nilikuahidi"
Neno "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari kwa taarifa ya kushangaza inayofuata.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kulikuwa na kondoo dume aliyekwama pembe zake kichakani" au "kulikuwa na kondoo dume aliyekwama kichakani"
"Abrahamu alienda kwa kondoo dume na kumchukua"
"atatupatia sisi"
"hata sasa". Hii ina maana ya hata katika kipindi ambacho mwandishi alikuwa akiandika kitabu hiki.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yeye atatoa"
Maana zinaweza kuwa 1) Yahwe alijifanya kuonekana kama malaika au 2) huyu alikuwa mmoja wa malaika wa Yahwe au 3) huyu alikuwa mjumbe maalumu kutoka kwa Mungu (baadhi ya wasomi wanadhani alikuwa Yesu). Kwa sababu msemo hauleweki vizuri, ni bora kutafsiri kama "malaika wa Yahwe" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".
Neno "pili" ni namba ya mpango kwa ajili ya mbili
Hapa neno "mbinguni" lina maana ya sehemu anapoishi Mungu.
"na kuzungumza ujumbe huu kutoka kwa Yahwe" au "na kutamka maneno haya ya Yahwe". Hii ni njia ya fasaha ya kusema ya kwamba maneno yanayofuata yanatoka moja kwa moja kwa Yahwe.
"Nimeahidi na mimi ni shahidi wangu mwenyewe". Msemo "kuapa kwa" una maana kutumia jina la kitu au mtu kama msingi au nguvu ambayo kiapo kinafanyika. Hakuna kitu chenye nguvu zaidi ya Yahwe kuapa kwa jina lake mwenyewe.
"umenitii"
"hukumzuia nyuma mtoto wako wa kiume". Hii inaweza kuwekwa katika hali ya chanya. "ulikuwa tayari kumtoa mwanao kwangu"
Inaonyesha ya kwamba Mungu anajua ya kuwa Abrahamu ana mtoto mwingine, Ishmaeli. Hii inasisitiza ya kwamba Isaka ni mwana ambaye Mungu alimuahidi kumpatia Abrahamu.
"hakika nitabariki"
Nitasababisha uzao wako kuongezeka tena na tena" au "Nitasababisha uzao wako kuwa mwingi"
Mungu alifananisha uzao wa Abrahamu na nyota na mchanga. Kama vile watu wasivyoweza kuhesabu idadi kubwa ya nyota au chembe za mchanga, kwa hiyo kutakuwa na uzao mwingi wa Abrahamu ambao watu wasingeweza kuwahesabu. "zaidi ya kile uwezavyo kuhesabu"
Hapa neno "mbinguni" ina maana ya kila kitu tunachoona juu ya dunia, kujumlisha jua, mwezi na nyota.
Hapa "lango" linawakilisha mji wote. "Kumiliki lango la adui zake" ina maana ya kuangamiza adui zake. "atawashinda adui zake kabisa"
Malaika wa Yahwe anaendelea kuzungumza na Abrahamu.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mimi, Bwana, nitabariki watu wote wanaoishi mahali pote"
Hapa "mataifa" ina maana ya watu wa matiafa.
Hapa "sauti" ina maana ya kile ambacho Mungu alisema. "umetii kile nilichosema" au "umenitii"
Ni Abrahamu pekee aliyetajwa kwa sababu alikuwa baba, lakini imeonekana ya kwamba mwanawe alikwenda naye. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Abrahamu na mwanawe walirejea"
"watumishi"
"waliondoka sehemu ile"
Ni Abrahamu pekee aliyetajwa kwa sababu alikuwa kongozi wa familia yake na watumishi wake, lakini imeonekana walikuwa pamoja naye. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "Abrahamu na watu wake alikaa Beerisheba"
"Baada ya matukio haya". Msemo "mambo haya" una maana ya matukio ya Mwanzo 22:1-19
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "mtu alimwambia Abrahamu"
"Milka pia alizaa watoto"
Hili ni jina la mwanamke
"Jina la mwanawe wa kwanza lilikuwa Usi, na majina ya watoto waliosalia walikuwa Busi ndugu yake"
Haya yote ni majina ya wanamume. Hawa wote kasoro Aramu walikuwa watoto watoto wa nahori na Milka.
"Baadae Bethueli akawa baba wa Rebeka"
"hawa walikuwa watoto wanane wa Milka na Nahori, ndugu yake Abrahamu" Hii ina maana ya watoto waliorodheshwa katika 22:20.
"8"
"Suria wa Nahori"
Hili ni jina la mwanamke.
"pia akajifungua"
Haya yote ni majina ya wanamume