Mwanzo 18 unasema ya kwamba wanamume wawili waliondoka kwenda Sodoma. Hapa tunajifunza ya kwamba ni kweli walikuwa malaika.
"malango wa mji wa Sodoma." Mji ulikuwa na kuta ukiuzunguka, na watu iliwabidi kupitia malango ili kuingia. Hii ilikuwa sehemu muhimu sana katika mji. Watu muhimu mara kwa mara walitumia muda wao pale.
Aliweka goti lake juu ya ardhi na kisha kugusa ardhi kwa kipaji cha uso wake na pua.
Huu ulikuwa usemi wa heshima Lutu alitumia kwa malaika.
"Tafadhali njooni na mkae ndani ya nyumba ya mtumishi wenu"
Lutu anajitambulisha kama mtumishi ili kuonyesha heshima kwao.
Watu walipenda kuosha miguu yao baada ya kusafiri.
"muamke mapema"
Malaika wawili waliposema hivi, walikuwa wakimaanisha wao wenyewe, na sio Lutu. Wao wawili walipanga kukaa usiku pale mjini.
Hili ni eneo la wazi, lililo nje katika mji.
"waligeuka na kuondoka pamoja naye"
"kabla watu ndani mwa nyumba ya Lutu walipolala usingizi"
"wanamume wa mji, yaani, wanamume wa Sodoma" au "wanamume wa mji wa Sodoma"
"nyumba ya Lutu"
"kutoka kwa vijana hadi wazee". Hii ina maana "wanamume wa umri wote" na ina maana ya wanamume wa Sodoma ambao walikuwa wakizunguka nyumba ya Lutu.
"waliongia ndani ya nyumba"
"kushiriki tendo la ngono pamoja nao". Lugha yako yaweza kuwa na namna ya upole zaidi ya kusema hivi. "kuwajua karibu zaidi"
"nyuma yake" au "baada ya kuingia ndani"
"nawaomba, ndugu zangu"
Lutu alizungumza kwa njia ya kirafiki kwa wanamume wa mji akitarajia wangemsikiliza. "rafiki zangu"
"msifanye jambo la uovu hivi" au "msifanye jambo la uovu kama hili"
"Sikiliza kwa makini" au"Angalia hapa"
"hawajashiriki tendo la ngono na" Lugha yako inaweza kuwa na njia ya upole ya kusema hili. "hawajawajua"
"lolote mnalotamani" au "lolote mnalofikiria ni sahihi"
Wanamume wawili walikuwa wageni katika nyumba ya Lutu, kwa hiyo alihitaji kuwalinda. Neno "dari" ni maana nyingine ya kusema nyumba na sitiari kwa Lutu kuwalinda. "ndani ya nyumba yangu, na Mungu anatarajia mimi niwalinde"
"Simama pembeni!" au "Toka katika njia yetu!"
"Huyu hapa alikua hapa kama mtu wa nje" au "Huyu mgeni alikuja kuishi hapa"
"Lutu". Wanamume wanazungumza wao kwa wao. Kama hii haitakuwa wazi katika lugha yako, unaweza kuwafanya wanamume wazungumze na Lutu hapa.
"na sasa anadhani ana mamlaka ya kutuambia kipi ni sahihi na kipi sio sahihi" au "lakini hatutamruhusu atuzuie kufanya kile tunachotaka kufanya"
"na ingawa hana sababu nzuri, amekuwa"
"Kwa sababu unatuambia ya kwamba tunafanya uovu, tuta.."
Wanamume walikasirika kwa Lutu kusema, "Msitende uovu hivi" (19:6) kwa hiyo wanamtishia kutenda uovu zaidi ya vile Lutu alivyohofia mara ya kwanza. "tutakushughulikia uovu zaidi na wewe zaidi ya wao"
Maana zaweza kuwa 1) "walizidi kuja karibu na mwanamume, kwa Lutu, hadi wakawa karibu sana kuweza kuvunja mlango" au 2) walimsukuma Lutu kwa mwili dhidi ya ukuta au mlango wa nyumba na walikuwa wakitaka kuvunja mlango.
Hizi ni njia mbili zinazomfafanua Lutu.
"Lakini wageni wawili wa Lutu" au "Lakini malaika wawili"
Lugha yako inaweza kuongezea ya kwamba wanamume walifungua mlango kwanza. "wanamume walifungua mlango vya kutosha mpaka kunyosha mikono yao na kuvuta ... na kisha wakafunga"
Msemo "wakawapiga kwa upofu" ni sitiari; wageni hawakuwapiga kwa mwili wanamume. "Wageni wa Lutu waliwapofusha wanamume" au "waliondoa uwezo wao wa kuona"
"wanamume wa umri wote". Hii lugha unasisitiza ya kwamba wageni walipofusha wanamume wote. Hii inaweza kumaanisha uwakilishi wa kijamii kuliko umri. "vijana na wazee kwa pamoja"
"Kisha wale wanamume wawili wakasema" au "Kisha malaika wawili wakasema"
"Je una mtu mwingine wa familia yako ndani ya mji?" au "Je una mtu mwingine wa familia katika eneo hili?"
"mtu mwingine katika familia yako anayeishi katika mji huu"
Neno "tunakaribia" hapa linajitegemea. Ni malaika wawili pekee wangeenda kuangamiza mji; Lutu hakuwa anaenda kuangamiza mji. Iwapo lugha yako ina namna ya kutenganisha "tunakaribia" basi itumike hapa.
Hii inaweza kusemwa kwa namna nyingine ili kwamba nomino ya "mashtaka" inaelezwa kama kitenzi. "kwa hiyo watuwengi walikuwa wakimwambia Yahwe ya kwamba watu wa mji wanafanya mambo ya uovu"
"Kwa hiyo Lutu aliondoka nyumbani"
wakwe zake, wanaume ambao walikuwa wamewaposa binti zake** Msemo wa "wanaume ambao walikuwa wamewaposa binti zake" unafafanua maana ya "mkwe" hapa. "wanamume waliokuwa wakielekea kuwaoa binti zake" au "wachumba wa binti zake"
"Kabla jua halijachomoza"
"Ondoka sasa"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili Yahwe asikuangamize pia atakapowaadhibu watu wa mji huu"
Mungu kuangamiza watu wa mji unazungumzwa kana kwamba mtu anafagia vumbi.
Hapa "mji" una maana ya watu.
"Lakini Lutu alisita" au "Lakini Lutu hakuanza kuondoka"
"kwa hiyo wanamume wawili walimkamata" au "Kwa hiyo malaika walimkamata"
"akawa na huruma kwa Lutu". Yahwe anaelezwa kama kuwa na "huruma" kwa sababu alikuwa akitunza uhai wa Lutu na familia yake badala ya kuwaangamiza alipoangamiza watu wa Sodoma kwa maovu waliofanya.
"Wanamume wawili walipowatoa familia ya Lutu nje"
Hii ilikuwa namna ya kuwaambia wakimbie ili wasife. "Kimbia na uokoe maisha yenu!"
Msemo "katika mji" unaeleweka. "Usitazame nyuma katika mji" au "Usitazame nyuma katika Sodoma"
Hii ina maana bonde la Mto Yordani. Hii ina maana ya jumla ya eneo la Mto Yordani.
Inaeleweka ya kwamba watatoweshwa pamoja na watu wa mji. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "la sivyo Mungu atawaangamiza pamoja na watu wa mji"
Mungu kuwaangamiza watu wa mji inazungumziwa kana kwamba mtu anafagia vumbi.
Kupendezwa na mtu inazungumziwa kana kwamba "fadhila" ni kitu kinachoweza kupatikana. Pia, "machoni" ni lugha nyingine inayowakilisha mawazo au fikra za mtu. "Umependezwa na mimi"
Lutu alikuwa akionyesha heshima kwa kumaanisha mwenyewe kama "mtumishi wako". "Mimi, mtumishi wako, nime..."
Kitenzi cha "wema" kinaweza kuelezwa kama "wema". "Umekuwa mwema sana kwangu kwa kuokoa maisha yangu"
Kutoweza kufika umbali wa kutosha mwa Sodoma pale ambapo Mungu anaangamiza mji unazungumziwa kana kwamba "uhalifu" ni mtu ambaye atamfukuza na kumfikia Lutu. "Familia yangu na mimi hakika tutakufa Mungu atakapoangamiza watu wa Sodoma, kwa sababu milima ipo mbali sana na sisi kufika kule salama"
Inaonyesha ya kwamba familia ya Lutu itakufa pamoja naye. "maisha yetu ... hatuwezi kutoroka ... yataniwahi, na tutakufa"
Lutu alitumia swali hili la balagha kuwafanya malaika kutambua ya kwamba ule mji ni mdogo kweli. "acha nitoroke kule. Unaona jinsi gani ni mdogo. Ukituruhusu kufika pale tutaishi"
Ombi kamili la Lutu linaweza kuwekwa wazi. "badala ya kuangamiza mji ule, niruhusu nitoroke pale"
Inaonyesha ya kwamba maisha ya familia ya Lutu yataokolewa pamoja naye. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ili kwamba tuweze kuishi" au "ili kwamba tuweze okoka"
"nitafanya kile ulichokiomba"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "sitaangamiza miji mingine"
Watafsiri wanaweza kuongeza maandishi yanayosema "Jina la Soari linafanana na neno la Kiebrania lenye maana ya "ndogo". Lutu aliuita mji huu "mdogo" katika Mwanzo 19:20.
"Jua limechomoza juu ya nchi". msemo wa "juu ya nchi" unaweza kuachwa wazi.
Inaonyesha ya kwamba familia ya Lutu ilikuwa pamoja naye. "Lutu na familia yake walipofika Soari"
Msemo wa "kutoka kwa Yahwe" una maana ya nguvu ya Mungu kusababisha kiberiti na moto kuanguka juu ya mji. Yahwe alisababisha kiberiti na moto kuanguka kutoka mbinguni juu ya Sodoma na Gomora"
Maneno haya yanatumika pamoja kuelezea umbo moja. "kiberiti kiwakacho" au "mvua kali"
Kimsingi hii ina maana ya Sodoma na Gomora, lakini pia miji mingine mitatu.
"watu waliokuwa wakiishi katika miji ile"
"akawa kama sanamu ya chumvi" au "mwili wake ukawa kama jiwe refu la chumvi". Kwa sababu hakutii malaika aliyemwambia asitazame nyuma ya mji, Mungu alimfanya awe kama sanamu iliyotengenezwa na jiwe la chumvi.
Msemo wa "tazama" hapa unavuta nadhari juu ya taarifa ya kushangaza inayofuata.
Hii inaonyesha ya kwamba ulikuwa ni moshi mkubwa sana. "kama moshi utokao katika moto mkubwa sana"
Mstari wa 29 ni ufupi wa sura hii.
Hii inasema kwa nini Mungu alimuokoa Lutu. "kukumbuka" ni namna ya kusema "alimkumbuka". Hii haimaanishi Mungu alisahau juu ya Abrahamu. Ina maana alimfikiria Abrahamu na kuwa na huruma juu yake. "Mungu alimfikiria Abrahamu na kuwa na huruma juu yake"
"kutoka kwa maangamizi" au "kutoka kwa hatari"
Msemo "akapanda juu" unatumiwa kwa sababu Lutu alienda sehemu ya juu mlimani.
"Binti wa kwanza wa Lutu" au "Binti mkubwa"
"Binti mdogo" au "mdogo wake"
Hapa "dunia" ina maana ya watu. "kama watu sehemu zote hufanya"
Hii inaweza kuelezwa kwa uwazi ya kwamba lengo lao lilikuwa kumfanya alewe. "kunywa mvinyo hadi alewe" au "alewe kwa mvinyo".
Hii inazungumzia kuhusu kumpatia Lutu uzao kana kwamba familia yake ilikuwa na mtiririko mrefu. "ili kwamba tuweze kuzaa watoto ambao watakuwa uzao wa baba yetu"
"hakujua chochote kuhusu hili" au "hakujua ya kwamba alilala pamoja naye"
Hii inaweza kuelezwa kwa uwazi ya kwamba lengo lao lilikuwa kumfanya alewe. "kunywa mvinyo hadi alewe" au "alewe kwa mvinyo".
Hii inaweza kuelezwa kwa uwazi ya kwamba lengo lao lilikuwa kumfanya alewe. "kunywa mvinyo hadi alewe" au "alewe kwa mvinyo".
Hii inazungumzia kuhusu kumpatia Lutu uzao kana kwamba familia yake ilikuwa na mtiririko mrefu. "ili kwamba tuweze kuzaa watoto ambao watakuwa uzao wa baba yetu"
"hakujua chochote kuhusu hili" au "hakujua ya kwamba alilala pamoja naye"
"wakawa mimba kupitia baba yao" au "wakapatawatoto kwa baba yao"
"Yeye ndiye"
"Wamoabu ambao wanaishi sasa"
Neno "leo" lina maana ya kipindi ambapo mwandishi wa Mwanzo alipokuwa hai. Mwandishi alizaliwa na kuandika haya miaka mingi baada ya familia ya Lutu kuishi na kufa.
Hili ni jina la mwanamume.
"uzao wa Amoni" au "Watu wa Amoni"