Hili lilikuwa jina la mwanamume aliyemiliki mialoni.
"katika uwazi wa hema" au "katika kuingilia kwa hema"
"wakati wa jua kali la mchana"
"Alitazama juu na kuona, tazama, wanamume watatu walikuwa wamesimama"
"ghafla". Neno "tazama" hapa linatuonyesha kitakachofuata ni cha kushangaza kwa Abrahamu.
"karibu" au "pale". Walikuwa karibu na yeye, lakini umbali wa kutosha kwa yeye kuwakimbilia.
Hii ina maana kuinama chini na kuonyesha unyenyekevu na heshima kwa mtu.
Hili ni jina la heshima. Maana zaweza kuwa 1) Abrahamu alijua ya kuwa mmoja wa wanamume hawa alikuwa Mungu au 2) Abrahamu alijua ya kwamba wanamume hawa walikuja kwa niaba ya Mungu.
Abrahamu anazungumza na mmoja wa wanamume.
"tafadhali msiendelee kupita"
"mimi". Abrahamu ana maanisha yeye mwenyewe katika njia hii kuonyesha heshima kwa mgeni wake.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Niruhusu nikuletee maji" au "Mtumishi wangu atakuletea maji"
"maji kidogo ... chakula kidogo." Kusema "kidogo" ilikuwa lugha ya upole ya kuonyesha ukarimu. Abrahamu angewapatia maji na chakula cha kutosha zaidi.
Utamaduni huu uliwasaidia wasafiri waliochoka kujiburudisha baada ya kutembea umbali mrefu.
Abrahamu anazungumza na wanamume wote watatu, kwa hiyo "wenu" na "mji..." ni katika hali ya wingi.
kama lita 22
Mkate huu yawezekana ulikuwa umepikwa haraka katika jiko la moto. Inawezekana ulikuwa tambarare au duara kama mikate midogo midogo ya duara.
"mtumishi aliharakisha"
"kuukata na kuubanika"
Hii ina maana ya sehemu ngumu ya maziwa yaliogandishwa. Inawezekana ilikuwa mtindi au jibini.
"ndama aliyebanikwa"
"mbele ya wageni watatu"
"Kisha wakamwambia Abrahamu"
Neno "akasema" lina maana ya mwanamume ambaye Abrahamu alimwita "Bwana" katika 18:3.
"pale ambapo majira kama haya yatakapowadia mwaka kesho" au "muda kama huu mwaka kesho"
Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa makini kwa taarifa ya kushangaza inayofuata.
"katika uwazi wa hema" au "katika kiingilio cha hema"
nimechakaa na bwana wangu ni mzee, je nitapata furaha hii ya kupata mtoto? Sarai alitumia swali hili la balagha kwa sababu hakuamini angeweza kupata mtoto. "Siamini ya kuwa nitapitia furaha ya kupata mtoto. Bwana wangu ni mzee sana"
Hii ina maana ya "kwa kuwa mume wangu ni mzee pia".
Hili ni jina la heshima ambalo Sarai alimpa mumewe Abrahamu.
Mungu alitumia swali la balagha kuonyesha ya kwamba alifahamu alichokuwa akikifikiria Sarai na ya kwamba hakufurahishwa nacho. Anarudia swali la balagha la Sarai (18:11) kutumia maneno tofauti. "Sarai hakuwa sahihi kucheka na kusema, "Sitazaa mtoto kwa sababu mimi ni mzee sana!"
"Je kuna jambo lolote ambalo Yahwe hawezi kufanya?" Yahwe anazungumzia juu yake mwenyewe kana kwamba anazungumzia mtu mwingine kumkumbusha Abrahamu ya kwamba yeye, Yahwe, ni mkuu na anaweza lolote. "Hakuna jambo ambalo mimi, Yahwe, siwezi kufanya!"
"Katikamuda huo niliouweka, ambao ni wakati wa machipuko"
"Kisha Sarai aliukana kwa kusema"
"Yahwe alijibu"
"Ndio, ulicheka." Hii ina maana ya "Hapana, hiyo sio kweli; kweli umecheka."
"kuwaaga kwenda njia yao" au "kusema 'Kwaheri' kwao". Ilikuwa ni jambo la upole kuwasindikiza wageni umbali fulani wakati wanapoondoka.
Mungu alitumia swali hili la balagha kusema ya kwamba alikuwa akizungumza na Abrahamu kuhusu jambo muhimu sana na kwamba ilimpasa yeye kufanya hivyo. "Sipaswi na sitamficha Abrahamu kile ninachotaka kufanya .... yeye." au "Ninatakiwa na nitamwambia Abrahamu kile ninachotaka kufanya ... yeye"
"Sitakiwi ... kufanya. Hii ni kwa sababu .. yeye"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitawabariki mataifa yote ya duniani kupitia Abrahamu.
"watabarikiwa kwa sababu ya Abrahamu" au "watabarikiwa kwa sababu nimembariki Abrahamu".
"ya kwamba atawaongoza" au "ili kwamba awaamuru"
Yahwe anazungumza juu yake mwenyewe kana kwamba alikuwa mtu mwingine. "kutii kile ambacho mimi, Yahwe nahitaji....mimi, Yahwe, nitaleta ... nimesema"
"kutii amri za Yahwe"
"kwa kufanya utakatifu na haki" Hii inaelezea namna ya kushikilia njia ya Yahwe.
"ili kwamba Yahwe aweze kumbariki Abrahamu kama alivyosema angefanya" Hii ina maana ya ahadi ya agano ya kumbariki Abrahamu na kumfanya kuwa taifa kubwa.
Hii inaweza kuelezwa kwa maneno mengine ili maana halisi ya "kilio" linaloelezwa kama kitenzi cha "kushtaki". "watu wengi sana walikuwa wakishtaki watu wa Sodoma na Gomora kufanya uovu mwingi"
"wamefanya dhambi sana"
"Nitashuka pale sasa hadi Sodoma na Gomora"
"nitashuka pale kujua" au "nitashuka pale kuamua"
Yahwe anazungumzia kana kwamba alijua kuhusu jambo hili kwa sababu alisikia kilio na mashtaka yakija kutoka kwa watu waliokuwa wameteseka. Hii inaweza kuwekwa kwa maneno mengine ili kitenzi cha "kilio" kiweze kuelezwa kama kitenzi cha "kushtaki". "waovu kama wale wanaowashtaki wanasema kuwa wako vile"
"kama sio waovu kama kilio kinavyoashiria"
"aliondoka kutoka katika hema la Abrahamu"
"Abrahamu na Yahwe walibaki pamoja"
"alimkaribia Yahwe" au "alisogea karibu na Yahwe"
Abrahamu anazungumzia kuwaangamiza watu kana kwamba alikuwa akifagia takataka kwa ufagio. "kuangamiza"
"watu watakatifu na watu waovu"
Abrahamu anaendelea kuzungumza na Yahwe
"Chukulia wakawepo"
Abrahamu alikuwa na tumaini ya kwamba Yahwe angesema, "Sitaikatalia mbali". "Nadhani hautaikatalia mbali. Badala yake, utaiacha kuiharibu sehemu kwa sababu ya watakatifu hamsini ambao wapo pale"
"kuingamiza". Abrahamu anazungumzia kuwaangamiza watu kana kwamba alifagia uchafu na ufagio. "kuangamiza watu waliokuwa wakiishi pale"
Abrahamu alikuwa akitumaini ya kwamba Mungu angesema, "Nitaacha kuangamiza sehemu kwa niaba ya watu watakatifu hamsini walioishi pale"
"ruhusu watu waishi"
"kwa sababu ya"
"Sitapenda ufanye jambo kama hilo" au "Haupaswi kutaka kufanya jambo kama hilo"
"jambo kama hili kama kuwaua" au "jambo kama hilo, yaani, kuwaua"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "unatakiwa kuwatendea watakatifu sawa sawa na waovu"
Abrahamu alitumia swali hili la balagha kusema kile alichotarajia Mungu kukifanya. "Mhukumu wa ulimwengu wote hakika atafanya kilicho haki" au "Kwa kuwa wewe ni Mhukumu wa ulimwengu wote, hakika utafanya lililo sahihi!"
Mungu anasemwa kama mhukumu kwa sababu yeye ni mhukumu aliye kamilika ambaye hufanya maamuzi ya mwisho kuhusu mema na mabaya.
Msemo wa "tazama" hapa unavuta nadhari juu ya taarifa ya kushangaza inayofuata.
"Niwie radhi kwa kuwa wazi na kuzungumza na wewe" au "Samahani kwa kudiriki kuzungumza"
Abrahamu anaonyesha heshima kwa Yahwe kwa kuzungumza na Yahwe kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mwingine. "kwako wewe, Bwana wangu"
Sitiari hii inamuelezea Abrahamu kama binadamu, ambaye atakufa na mwili wake kugeuka kuwa vumbi na majivu. "ni binadamu pekee" au "kama vile vumbi na majivu yasivyokuwa na umuhimu"
"watu arobaini na tano tu watakatifu"
"iwapo kuna watu watano pungufu watakatifu"
"Sitaangamiza Sodoma"
"Abrahamu akazungumza na Yahwe"
Hii ina maana ya "ikiwa ukapata watu watakatifu arobaini Sodoma na Gomora"
"Yahwe akajibu"
"Sitaangamiza miji iwapo nitakuta watu watakatifu arobaini pale"
"watu thelathini watakatifu" au "watu thelathini wazuri"
Msemo wa "tazama" hapa unavuta nadhari juu ya taarifa ya kushangaza inayofuata.
"Niwie radhi kwa kuwa wazi na kuzungumza na wewe" au "Samahani kwa kudiriki kuzungumza"
"watu ishirini watakatifu" au "watu ishirini wazuri"
"Huenda utakuta watu kumi watakatifu pale"
"watu kumi watakatifu" au " watu kumi wazuri"
"Na Yahwe akajibu"
"ikiwa nikipata watu kumi watakatifu pale"
"Yahwe aliondoka" au "Yahwe alienda"