Neno hili linatumika kutambulisha sehemu mpya ya simulizi na taarifa ya nyuma kuhusu Sarai.
"mtumwa wa kike". Mtumwa wa namna hii alikuwa akimtumikia mwanamke wa nyumbani.
"kutoweza kuzaa watoto"
"Nitajenga familia yangu kupitia kwake"
"Abramu alifanya kile Sarai alichosema"
"alimdharau bibi yake" au "alifikiria alikuwa na thamani zaidi ya bibi yake"
Hapa ina maana ya Sarai. Bibi alikuwa na uwezo juu ya mtumwa wake. "mmiliki wake" au "Sarai"
"Udhalimu huu dhidi yangu"
"ni wajibu wako" au "ni kosa lako"
Sarai alitumia neno "kumbatia" hapa kumaanisha yeye kulala naye. "Nilimpa mtumishi wangu ili uweze kulala naye"
Hii inaweza kuwa katika hali ya kutenda. "alinichukia" au"alianza kunichukia" au "alidhani yeye ni bora zaidi yangu"
"Ninataka Yahwe aseme kama hili ni kosa langu au lako" au "Nataka Yahwe kuamua nani kati yetu yupo sahihi." Msemo "aamue kati ya" una maana ya kuamua nani yuko sawa katika ugomvi kati yao"
"Nisikilize mimi" au "Sikiliza kwa makini"
"chini ya mamlaka yako"
"Sarai alimtendea Hajiri vibaya sana"
"na Hajiri akatoroka kwa Sarai"
Maana zinaweza kuwa 1) Yahwe alijifanya kuonekana kama malaika au 2) huyu alikuwa mmoja wa malaika wa Yahwe au 3) huyu alikuwa mjumbe maalumu kutoka kwa Mungu (baadhi ya wasomi wanadhani alikuwa Yesu). Kwa sababu msemo hauleweki vizuri, ni bora kutafsiri kama "malaika wa Yahwe" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".
Eneo la jangwa aliloenda lilikuwa ni nyikani. "jangwa"
Hii ilikuwa jina ya sehemu kusini mwa Kaanani mashariki mwa Misri.
Hapa ina maana ya Sarai. Bibi alikuwa na mamlaka juu ya mtumwa wake. "mmiliki wangu".
"Malaika wa Yahwe alimwambia Hajiri"
Maana zinaweza kuwa 1) Yahwe alijifanya kuonekana kama malaika au 2) huyu alikuwa mmoja wa malaika wa Yahwe au 3) huyu alikuwa mjumbe maalumu kutoka kwa Mungu (baadhi ya wasomi wanadhani alikuwa Yesu). Kwa sababu msemo hauleweki vizuri, ni bora kutafsiri kama "malaika wa Yahwe" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".
Hapa ina maana ya Sarai. Bibi alikuwa na uwezo juu ya mtumwa wake. "mmiliki wake" au "Sarai"
Aliposema "Nita" alikuwa ana maana ya Yahwe.
"Nitakupatia uzao mwingi sana"
"wengi sana hadi hakuna mtu atakayeweza kuwahesabu"
Maana zinaweza kuwa 1) Yahwe alijifanya kuonekana kama malaika au 2) huyu alikuwa mmoja wa malaika wa Yahwe au 3) huyu alikuwa mjumbe maalumu kutoka kwa Mungu (baadhi ya wasomi wanadhani alikuwa Yesu). Kwa sababu msemo hauleweki vizuri, ni bora kutafsiri kama "malaika wa Yahwe" kwa kutumia neno la kawaida linalotumika kwa "malaika".
"Angalia" au "Sikiliza" au "Sikiliza kwa makini"
"kuzaa mtoto wa kiume"
"utamuita jina lake". Neno "utamuita" linamlenga Hajiri.
Watafsiri wanaweza kuweka maelezo mafupi yanayosema "Jina la 'Ishmaeli' lina maana ya 'Mungu amesikia'".
Alikuwa ameteswa na mawazo na mateso.
Hili halikuwa tusi. Inaweza kumaanisha Ishmaeli angekuwa anajitegemea na mwenye nguvu kama punda mwitu. "Atakuwa kama punda mwitu miongoni mwa watu"
"Atakuwa adui wa kila mtu"
"Kila mtu atakua adui yake"
Hii inaweza pia kumaanisha "ataishi kwa uadui pamoja na"
"ndugu wa karibu"
"Yahwe, kwa sababu alizungumza naye"
Hajiri alitumia swali hili la balagha kuonyesha mshangao wake wa kuwa hai hata baada ya kukutana na Mungu. Watu walitarajia iwapo wanakutana na Mungu, wangekufa. "Ninashangaa ya kwamba bado nipo hai, ... mimi"
Watafsiri wanaweza kuongeza maandishi yanayosema "Beerlahairori ina maana ya 'kisima cha yule anayeniona mimi"
Neno "tazama" hapa linavuta ukweli kwamba kisima kilikuwa katika eneo ambalo mwandishi na wasomaji wake walijua. "tena, ilikuwa kati ya Kadeshi na Beredi"
Ujio wa Hajiri kwa Sarai na Abramu unajitokeza wazi. Unaweza kufanya hivi kuwa wazi. "Kwa hiyo Hajiri alirudi na kuzaa"
"alimwita mtoto wake kwa Hajiri" au "alimuita wake na mtoto wa Hajiri"
Hii inatambulisha taarifa ya nyuma kuhusu umri wa Abramu ambapo vitu hivi vilipotokea. Lugha inaweza kuwa na namna maalumu ya kutaja taarifa ya nyuma.
Hii inamaanisha "alimzaa mtoto wa Abramu, Ishmaeli." Lengo lipo kwa Abramu kupata mtoto.