"Mambo haya" ina maana ya pale ambapo wafalme walipigana na Abramu akamuokoa Lutu.
Lahaja hii ina maana ya Yahwe akazungumza. "Yahwe alizunguza ujumbe wake"
Hapa "neno" inawakilisha ujumbe wa Yahwe. "ujumbe wa Yahwe"
Mungu alitumia sitiari hizi mbili kumwambia Abramu juu ya tabia yake na uhusiano wake na Abramu.
Wanajeshi hutumia ngao kujilinda kwa maadui zao. "Nitakulinda kama ngao" au "Mimi ni ngao yako kukulinda"
"malipo". Hii ina maana ya malipo yanayostahili kwa mtu. Maana mbili zaweza kuwa 1) "Mimi ni yote unayohitaji" au 2) "Nitakupa yote unayohitaji".
"Abramu aliendelea kuzungumza na kusema, "Kwa kuwa umenipatia"
Neno "tazama" linasisitiza ukweli ya kwamba neno la Yahwe lilikuja kwa Abrahamu tena.
Lugha hii ina maana ya kuwa Mungu alizungumza. "Yahwe alizungumza ujumbe wake"
Hapa "neno" linawakilisha ujumbe wa Yahwe. "Ujumbe wa Yahwe"
Hii ina maana ya Eliezeri wa Dameski.
"yule utakayekuwa baba yake" au "mwana wako kabisa". Mwana wa Abramu atakuwa mrithi wake.
"hesabu nyota"
Kama vile Abramu atavyoshindwa kuhesabu nyota zote, hataweza kuhesabu uzao wake wote kwa sababu utakuwa mwingi sana.
Hii ina maana alipokea na kuamini kile Yahwe alichosema ni kweli.
"Yahwe alimhesabia imani ya Abramu kama haki" au "Yahwe alimchukulia Abramu kuwa na haki kwa sababu Abramu alimuamini"
Yahwe alikuwa akimkumbusha Abrahamu kile alichokuwa amefanya ili Abrahamu aweze kumjua Yahwe alikuwa na nguvu kumpatia Abramu kile alichomuahidi.
"kukipokea" au "ili kwamba ukimiliki"
Abramu alikuwa akiulizia ushahidi zaidi ya kwamba Yahwe atampatia ile nchi.
"miili iliyokufa ya wanyama na ndege"
"Abramu aliwafukuza ndege". Alihakikisha ndege hawakula wanyama waliokufa.
Hii ni lahaja. "Abrahamu alilala usingizi mzito"
"giza kubwa sana lililomtisha"
"ikamzunguka"
"wageni"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na wamiliki wa nchi ile watawatumikisha na kuwatesa"
Yahwe aliendelea kuzungumza na Abramu wakati Abramu alipokuwa akiota.
Hapa "hukumu" ni lugha nyingine kwa kile kitakachotokea baada ya Mungu kutoa hukumu. "Nitaadhibu"
Maana kamili ya kauli hii inawezwa kufanywa wazi. "ambao vizazi vyako watawatumikia"
Hii ni lahaja. "mali nyingi" au "utajiri mkubwa"
Hii ni njia ya upole ya kusema "utakufa"
Neno "baba" lina maana sawa na mababu. "mababu"
"utakuwa mzee sana utakapokufa na familia yako itazika mwili wako"
Hapa kizazi kimoja kina maana ya urefu wa miaka 100. "Baada ya miaka mia nne"
"vizazi vyako watakuja hapa tena". Vizazi vya Abrahamu vitakuja katika nchi ampabo Abramu alikuwa akiishi, nchi ambayo Yahwe aliahidi kumpatia.
"haijakamilika" au "itakuwa mbaya zaidi kabla sijawaadhibu"
Neno "tazama" hapa linatuamsha kuwa makini kwa taarifa ya kushangaza inayofuata.
Mungu alifanya hivi kumuonyesha Abramu ya kuwa alikuwa akifanya agano na yeye.
"ilipita katikati ya mistari miwili ya vipande vya wanyama"
Katika agano hili Mungu alimuahidi kumbariki Abramu, naye ataendelea kumbariki ikiwa Abramu ataendelea kumfuata yeye.
Kwa kusema hivi, Mungu alikuwa akiwapa uzao wa Abramu nchi. Mungu alikuwa akifanya hivi, lakini uzao hawakuweza kwenda katika nchi hadi baada ya miaka mingi baadae.
"mto mkubwa, Frati". Hizi ni njia mbili zinazoelezea mto mmoja.
Haya ni majina ya makundi ya watu ambao waliishi katika nchi. Mungu angeruhusu uzao wa Abrahamu kuwashinda watu hawa na kuchukua nchi yao.