"kwenda" au "kuondoka kutoka"
Negebu ilikuwa ni eneo la jangwa kusini mwa Kanaani, magharibi mwa Misri. Hii inaweza kufanywa kwa uwazi. "akarudi katika jangwa la Negebu"
"Abramu alikuwa na wanyama wengi, fedha nyingi na dhahabu nyingi"
"mifugo" au "ng'ombe"
Abramu na familia yake walisafiri kwa hatua, kwenda kutoka sehemu hadi sehemu. Hii inaweza kufanywa wazi. "Waliendelea na safari yao"
Watafsiri wanaweza kuweka maandishi machache yanayosema "Tazama Mwanzo 12:8." Muda wa safari yake unaweza kuwekwa wazi. "katika eneo alipotenga hema lake kabla hajakwenda Misri"
"aliomba katika jina la Yahwe" au"alimuabudu Yahwe"
Neno hili linatumika kuonyesha kitakachofuatia ni taarifa ya nyuma kumsaidia msomaji kuelewa matukio yatakayofuata.
Hapakuwa na ardhi ya kutosha ya malisho na maji kwa ajili ya wanyama wao.
Hii inajumuisha mifugo, ambayo inahitaji malisho na maji.
"hawakuweza kuishi pamoja"
Hii ni sababu nyingine ya nchi kutoweza kuwahimili wote.
"Tusigombane"
"chuki" au "ugomvi" au "malumbano"
"na tuwazuie wanaume wanaochunga wanyama wetu kulumbana"
"kwa sababu sisi ni familia"
"ndugu" au "jamaa". Lutu alikuwa mpwa wa Abramu.
Swali hili la balagha linaweza kutafsiriwa katika hali ya chanya. "nchi nzima ipo wazi kwa matumizi yako"
Abrahamu alizungumza kwa huruma na Lutu na kumtia moyo afanye jambo litakalowasaidia wote. "Tugawanyike".
Maana zaweza kuwa 1) "ukienda njia moja, basi na mimi nitaenda njia nyingine" au 2) "ukienda kaskazini, nitaenda kusini." Abramu alimruhusu Lutu kuchagua sehemu ya nchi aliyoitaka, na Abramu angechukua kile kilichobaki.
Hii ina maana ya eneo la jumla la mto Yordani.
"ilikuwa na maji mengi"
"kama bustani ya Yahwe au kama nchi ya Misri". Haya yalikuwa maeneo mawili tofauti.
Hili ni jina lingine kwa bustani ya Edeni.
Hii yaweza kuwa shamba la miti ya matunda au eneo lenye kila aina ya miti.
Hii inatazamia jambo litakalotokea baadae. Hapa ni muhimu kwa sababu inaeleza kwa nini Lutu alikaa katika eneo ambalo baadae halikuwa na mbolea.
"ndugu wa karibu" au "familia". Hii ina maana ya Lutu na Abramu pamoja na nyumba zao.
"akatulia" au "akakaa"
"nchi ya watu wa Kanaani"
Maana zaweza kuwa 1) "alitandaza mahema yake karibu na Sodoma" au 2) "Alisogeza mahema yake kuzunguka eneo lililofika hadi Sodoma".
"baada ya Lutu kumuacha Abrahamu"
"kutembea tembea juu ya ardhi nzima"
Hii ilikuwa jina la mwanamume aliyemiliki miti ya mwaloni.
jina la sehemu
"dhabahu la kumuabudu Yahwe"