Neno hili linaonyesha kuwa mwandishi anaanza sehemu mpya ya simulizi.
watu wote juu ya nchi
Misemo hii miwili ina maana moja na inasisitiza ya kwamba watu wote walizungumza lugha moja.
"walihama" au "sogea pande zote"
Yawezekana maana ni 1) "mashariki" au 2) "kutoka mashariki" au 3) "kuelekea mashariki". Chaguo linalofaa ni "mashariki" kwa sababu Shinari ipo upande wa mashariki ambapo wasomi wanaamini safina ilikuja kutulia.
waliacha kusogea kutoka sehemu moja hadi nyingine na wakaanza kuishi sehemu moja.
"haya njooni"
Watu hutengeneza matofali kwa udongo na kuyachoma ndani ya joko la moto sana ili yawe magumu na imara.
kimiminiko kinene, kinachonata, cheusi kinachotoka ardhini.
hiki ni kiini kinene kinachoundwa kwa unga wa ndimu, udongo, mchanga, na maji inayotumika kufanya mawe au matofali kugandamana.
"tujifanyie sifa yetu kuwa kubwa"
"sifa"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "tutajigawanya baina yetu na kuishi sehemu tofauti"
"watu"
Habari kuhusu mahali aliposhuka inaweza kuwekwa wazi. "akashuka kutoka mbinguni". Hii haielezi jinsi gani alishuka kutoka mbinguni.
"angalia kwa makini" au "kutazama kwa makini zaidi"
Watu wote walikuwa katika kundi moja kubwa na wote walizungumza lugha moja.
Yawezekana maana kuwa 1) "wameaanza kufanya hivi" ikimaanisha ya kwamba wameanza kujenga mnara lakini haijakamilika au 2)"hili ni jambo la kwanza walilofanya", ikimaanisha ya kwamba katika siku za usoni watafanya mambo makubwa zaidi.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "kila jambo wanalikusudia kufanya litawezekana kwao"
"haya! njooni"
Neno "tushuke" ni wingi ingawa ina maana ya Mungu. Tafsiri zingine husema "na nishuke" au "nitashuka"
Hii ina maana ya kwamba Yahwe angesababisha watu wote wa nchi kukoma kuzungumza lugha moja. "kuchanganya lugha yao"
Hii ilikuwa lengo la kuchanganya lugha yao. "ili kwamba wasiweze kuelewa kile mwingine anachokisema"
"kutoka katika mji"
Jina la "Babeli" linaonekana kama neno lenye maana ya "kuchanganyikiwa"
Ina maana ya kwamba Yahwe alisababisha watu wote katika nchi kutozungumza lugha moja. "alichanganya lugha ya nchi yote"
Sura iliyosalia inaorodhesha mtiririko wa vizazi vya Shemu mpaka vya Abramu.
Sentensi hii inaanza orodha ya vizazi vya Shemu.
Hii ilikuwa gharika kutoka kipindi cha Nuhu ambapo watu walikuwa waovu sana mpaka Mungu akatuma gharika nchi yote kufunika nchi.
"akapata mwana wake wa kiume Alfaksadi" au "mwana wake wa kiume Alfaksadi alizaliwa"
jina la mwanamume
Watafsiri wanaweza kuandika maneno au namba "100", "2", and "500".
"mwana wa kiume wake Shela alizaliwa"
jina la mwanamume
Kumbukumbu katika Mwanzo 11:12-25 zilikuwa na mfumo huo huo.
Kumbukumbu katika Mwanzo 11:12-25 zilikuwa na mfumo huo huo.
Kumbukumbu katika Mwanzo 11:12-25 zilikuwa na mfumo huo huo.
Kumbukumbu katika Mwanzo 11:12-25 zilikuwa na mfumo huo huo.
Kumbukumbu katika Mwanzo 11:12-25 zilikuwa na mfumo huo huo.
Kumbukumbu katika Mwanzo 11:12-25 zilikuwa na mfumo huo huo.
Hatujui mpangilio wa kuzaliwa kwa watoto wake.
Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Tera. Mwanzo 11:27-25:11 unazungumzia kuhusu vizazi vya Tera, mahsusi mwanae Abrahamu. "Hii ni habari ya vizazi vya Tera"
Hii ina maana ya kwamba Harani alikufa wakati baba yake akiwa hai. "Harani alikufa wakati baba yake, Tera, alipokuwa naye"
"akaoa wake"
hili ni jina la kike
Neno hili linatumiwa kutambulisha habari mpya kuhusu Sarai ambayo itakuwa muhimu baadae katika sura.
Lugha hii inaelezea mwanamke ambaye kimwili hawezi kutunga mimba au kuzaa mtoto.
Hapa neno "mwana wa" lina maana ya Tera.
mkwewe, mwanawe mke wa Abramu** - "mkwe wa Sarai, ambaye alikuwa mke wa mwanawe Abramu.
Haya ni majina mawili tofauti na yanaandikwa tofauti Kihebrania. Moja lina maana ya mtu na lingine lina maana ya mji.