"akamkumbuka" au "alimfikiria"
Hii inamaanisha sanduku kubwa sana ambalo lingeweza kuelea juu ya maji hata katika dhoruba mbaya. "mtumbwi mkubwa" au "meli" au "tishali"
"Maji yaliacha kutoka chini ya ardhi na mvua zikaacha kunyesha." Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu alifunga chemichemi za vilindi na madirisha ya mbinguni"
"maji kutoka chini ya ardhi"
Hii ina maana ya mvua kuacha kunyesha. Hii ina maana ya mvua. Inaelezea anga kama dari ambalo hutunza maji juu yake kutodondoka ardhini. Madirisha, au milango, ya anga yalipofunguliwa, maji yalifunguka chini kupitia kwao. "anga ikafungua" au "milango ya anga ikafunguka"
"ikatua" au "ikasimama juu ya ardhi ngumu"
Kwa sababu Musa aliandika kitabu hiki, inawezekana ana maana ya mwezi wa saba na mwezi wa kumu kwa kalenda ya Kihebrania, lakini hii haipo wazi.
"Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi"
Hii inaweza kuwekwa wazi: "ikaonekana juu ya uso wa maji"
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. "Ikawa kwamba"
Msemo "ambayo alitengeneza" unazungumzia kuhusu madirisha. Baadhi ya lugha zaweza kufanya msemo huu kuwa sentensi tofauti. "Nuhu alitengeneza dirisha katika safina. Ikaja kuwa baada ya siku arobaini ndipo dirisha likafunguliwa"
ndege mweusi anayekula zaidi nyama ya mizoga ya wanyama
Hii ina maana ya kwamba kunguru aliendelea kuacha safina na kurejea.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "hadi pale upepo ulipokausha maji" au "hadi maji yalipokauka"
"kutua" au "kutulia juu ya". Ina maana ya kutua juu ya kitu ili kupumzika kupaa.
Neno "njiwa" kwa lugha ya mwandishi ni la kike. Unaweza kutafsiri msemo huu na kiwakilishi cha "hiki ... huyu ... hii" au "yake ... yeye ... yeye" kulingana na namna gani lugha inamfafanua njiwa.
Ukitumia kiwakilishi cha kiume kwa neno "njiwa" inaweza kuhitaji kuongeza jina la Nuhu ili kukwepa mchanganyo. "Nuhu alimtuma njiwa," "Nuhu alinyosha mkono wake mbele" n.k.
"Sikiliza kwa makini" au "Hii ni muhimu"
"jani ambalo njiwa alichuma kutoka katika mzeituni"
"kunyofoa"
"Alisubiri tena siku saba"
Iwapo watu hawataelewa unaweza kutoa sababu wazi: "Hakurudi tena kwake kwa sababu alipata sehemu ya kutua".
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
"Nuhu alipokuwa na umri wa miaka 601"
Kwa sababu Musa aliandika kitabu hiki, inawezekana ana maana ya mwezi wa saba na mwezi wa kumu kwa kalenda ya Kiebrania, lakini hii haipo wazi.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "maji yaliyofunika nchi yalikauka" au "upepo ulikausha maji yaliyofunika nchi"
Hii ina maana ya kifuniko kilichozuia maji ya mvua kuingia ndani ya safina.
Neno "tazama" linatuambia kuwa makini kwa ajili ya taarifa muhimu inayafuatia.
siku ya saba ya mwezi ** - "Katika siku ya ishirini na saba ya mwezi wa pili." Hii inaweza kuwa na maana ya mwezi wa pili katika kalenda ya Kihebrania, lakini haipo wazi.
"ardhi ilikuwa imekauka kabisa"
"Ondoka ...Chukua" Baadhi ya tafsiri husoma "Njoo nje ... Leta nje".
"kila aina ya kiumbe hai" Maana yaweza kuwa 1) wanadamu wote au 2) viumbe vyote vyenye mwili, ikijumlisha wanadamu na wanyama.
Hii ni lahaja. Jazeni nchi na watu. Mungu alitaka wanadamu na wanyama kuzaliana, ili waweze kuwa wengi wa aina yao.
Baadhi ya tafsiri husoma "Nuhu akaja nje"
"katika makundi ya aina yao wenyewe"
"akajenga madhabahu kwa makusudi ya Yahwe" au "akajenga madhabahu kwa ajili ya kumuabudu Yahwe." Inawezekana alijenga kwa mawe.
Hapa "safi" ina maana ya kwamba Mungu aliruhusu wanyama hawa kutumika kama sadaka. Baadha ya wanyama hawakutumika kwa ajili ya sadaka na waliitwa "wasio safi".
Nuhu aliwaua wanyama na kuwachoma kabisa kama sadaka kwa Mungu. "aliwachoma wanyama kama sadaka kwa Yahwe"
Hii ina maana ya harufu nzuri ya nyama ya kuchomwa.
Hapa neno la "moyo" lina maana ya mawazo na hisia za Mungu.
"kuleta madhara makubwa kwenye nchi"
Hii inaweza kuwa wazi: "kwa sababu mwanadamu ni mwenye dhambi"
"kutoka miaka yao ya utotoni wanakuwa wakifanya mambo maovu" au "walipokuwa wadogo, walitaka kufanya mambo maovu"
Hapa neno "mioyo" lina maana ya mawazo, hisia, haja na ridhaa ya watu. "mwelekeo wao" au "tabia yao"
Hii ina maana ya mtoto mwenye umri mkubwa. "kutoka ujana wao"
"wakati nchi inapoendelea kudumu" au "Kadri nchi inavyoendelea kuwepo"
"msimu wa kupanda"
Misemo hii miwili ina maana ya aina mbili za majira katika mwaka.
kipindi kikavu na cha joto cha mwaka
kipindi cha baridi kidogo na theluji katika mwaka
"havitaacha kuwepo" au "havitaacha kutendeka" . Hii inaweza kuelezwa katika hali ya chanya. "vitaendelea"