Matukio ya sura hii yanatokea baadaya Nuhu kujenga safina, kukusanya chakula, na kukiweka ndani ya safina.
"Ingia ... ndani ya safina .. chukua". Tafsiri nyingi husema "Nenda .. ndani ya safina .. chukua"
Neno hapa "wewe" linamaana ya Nuhu la lipo katika umoja.
"familia yako"
Hii inamaana ya kwamba Mungu alimwona Nuhu kuwa mwenye haki.
Hii inamaana ya watu wote ambao walikuwa wakiishi katika muda huo. "Kati ya watu wote wanaoishi sasa"
Huyu alikuwa ni myama ambaye Mungu aliruhusu watu wake wamle na kutoa sadaka.
Hawa ni wanyama ambao Mungu hakuruhusu watu wale au kutoa sadaka.
"ili kwamba waweze kuwa na kizazi kitakachoishi" au "ili kwamba, baada ya gharika, wanyama waendelee kuishi"
Hii ilikuwa siku arobaini kamili. Haikuwa jumla ua siku themanini. "siku arobaini mchana na usiku"
Hii inamaana ya uhai wa mwili
Mistari ya 6-12 inarudia kwa mara ya pili na kutoa kwa utondoti jinsi gani Nuhu alivyoinbgia ndani ya safina na familia yake pamoja na wanyama katika 7:1. Hili sio tukio jipya.
"ilipotokea" au "ikaja juu ya nchi"
"kwa sababu ya gharika itakayokuja" au "kutoroka maji ya gharika"
Mistari ya 6-12 inarudia kwa mara ya pili na kutoa kwa utondoti jinsi gani Nuhu alivyoinbgia ndani ya safina na familia yake pamoja na wanyama katika 7:1. Hili sio tukio jipya.
Hawa walikuwa wanyama ambao Mungu aliruhusu watu wake kuwala na kuwatoa kama sadaka kwake.
Hawa walikuwa wanyama ambao Mungu hakuruhusu watu wake wale au kuwato kama sadaka kwake.
Wanyama waliingia kwenye safina katika makundi ya dume mmoja na jike mmoja.
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama kuhusu tukio muhimu katika simulizi hii. Mwanzo wa gharika.
"baadaya siku saba" au"siku saba baadaye"
Habari inayojitokeza, "ikaanza kunyesha" inaweza kufanywa kuwa wazi. "ikaanza kunyesha na maji ya gharika yakaja juu ya nchi"
Mistari ya 6-12 inarudia kwa mara ya pili na kutoa kwa utondoti jinsi gani Nuhu alivyoinbgia ndani ya safina na familia yake pamoja na wanyama katika 7:1. Hili sio tukio jipya.
"Nuhu alipokuwa na umri wa miaka 600"
Kwa kuwa Musa aliandika kitabu hiki, inawezekana inamaanisha mwezi wa pili katika kalenda ya Kiebrania. Lakini hii haina uhakika
Hii ina maana siku bayana ambapo mvua ilianza. Msemo huu unasisitiza jinsi gani matukio yote makubwa yalivyotokea haraka muda ulipowadia.
"maji kutoka chini ya ardhi yalifunguka juu kwenye sakafu ya nchi"
Hii ina maana ya bahari ambalo inasadikiwa lilikuwa chini ya ardhi.
Hii ina maana ya mvua. Inaelezea anga kama dari ambalo hutunza maji juu yake kutodondoka ardhini. Madirisha, au milango, ya anga yalipofunguliwa, maji yalifunguka chini kupitia kwao. "anga ikafungua" au "milango ya anga ikafunguka"
Mvua kubwa
Mistari ya 13-18 inarudia kwa mara ya tatu na kutoa kwa undani kuhusu jinsi gani Nuhu aliingia katika safina pamoja na familia yake na wanyama katika 7:1. Hili si tukio jipya.
"Katika siku hiyo hasa". Hii ina maana ya siku ambayo mvua ilianza kunyesha. Mistari ya 13-16 inaeleza Nuhu alichofanya kabla tu ya mvua kuanza.
Vikundi hivi vinne vinaorodheshwa kuonyesha ya kwamba kila aina ya mnyama alijumuishwa.
Hii ina maana ya wanyama watambaao juu ya ardhi, kama wanyama wagugunaji, wadudu, mjusi na nyoka.
"ili kwamba kila aina ya mnyama azalishe zaidi ya kila aina yake"
Mistari ya 13-18 inarudia kwa mara ya tatu na kutoa ufafanuzi zaidi jinsi gani Nuhu aliingia katika safina pamoja na familia yake na wanyama. Hili sio tukio.
Hapa "mwili" inawakilisha wanyama.
Hapa "pumzi" inawakilisha uhai. "alivyoishi"
Neno "kilikuja" linaweza kutafsiriwa kama "alikwenda".
Hapa "mwili" inawakilisha wanyama. "katika kila aina ya mnyama"
Maana kamili yaweza kutajwa wazi. "walipoingia ndani ya safina"
Mistari ya 13-18 inarudia kwa mara ya tatu na kutoa ufafanuzi zaidi jinsi gani Nuhu aliingia katika safina pamoja na familia yake na wanyama. Hili sio tukio.
Hii ilitokea katika kipindi cha siku arobaini wakati maji yalipokuwa yakija. "na maji yakawa na kina kirefu sana"
"na ikasababisha safina kuelea"
inasababisha safina kuinuka juu ya nchi" au "safina ilielea juu ya maji ya kina kirefu"
"Maji yalishinda kabisa nchi"
"mita sita"
"vilisogea kote kote" au "vilitangatanga"
Hii ina maanisha wanyama wote wanatembea kote kote juu ya nchi kwa makundi makubwa.
Hapa "pua" inawakilisha mnyama mzima au mwanadamu. "kila mtu apumuaye"
Maneno "pumzi"na "uhai" yanawakilisha nguvu inayosababisha watu na wanadamu kuwa na uhai.
Hii ina maana kifo cha kimwili
Ikiwezekana, hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Kwa hiyo kila kiumbe hai ... kikatoweka" au "Kwa hiyo gharika iliangamiza kabisa kila kiumbe hai"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Mungu aliwaangamiza wote"
"kwa hiyo hawakuwa katika nchi"
"na watu pamoja na wanyama waliokuwa naye"
"walibaki" au "waliishi" au"walibaki hai"
"Maji yenye kina kirefu yalifunika nchi yote" au "Maji yalibaki na gharika kubwa juu ya nchi"