Msemo huu unatumika hapa kuonyesha alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "wanawake wakazaa mabinti"
Haipo wazi kama hii inamaanisha viumbe wa mbinguni au wanadamu. Kwa vyovyote vile, walikuwa viumbe ambao Mungu aliumba. Baadhi wanaamini maneno haya yanamaanisha malaika waliomuasi Mungu, yaani, roho chafu au mapepo. Wengine wanadhani hii inamaanisha watawala wa kisiasa wenye nguvu, na wengine wanadhani hii inamaanisha uzao wa Sethi.
Hapa Yahwe anaongelea kuhusu yeye mwenyewe na roho wake, ambaye ni Roho wa Mungu.
Hii ina maana wana mwili ambayo itakufa siku moja
Maana yaweza kuwa 1) urefu wa kawaida wa watu ingepungua hadi miaka 120. "Hawataishi zaidi ya miaka 120" au 2) katika miaka 120 kila mtu atakufa. "Wataishi miaka 120 tu"
warefu sana, watu wakubwa
"Hawa majitu makubwa walizaliwa kwa sababu"
Haipo wazi kama hii inamaanisha viumbe wa mbinguni au wanadamu. Kwa vyovyote vile, walikuwa viumbe ambao Mungu aliumba. Baadhi wanaamini maneno haya yanamaanisha malaika waliomuasi Mungu, yaani, roho chafu au mapepo. Wengine wanadhani hii inamaanisha watawala wa kisiasa wenye nguvu, na wengine wanadhani hii inamaanisha uzao wa Sethi.
"Majitu makubwa walikuwa wanaume hodari walioishi zamani" au "Hawa watoto wakakua kuja kuwa wapiganaji hodari walioishi zamani"
wanaume ambao ni wajasiri na washindi katika vita
"watu maarufu"
"mwelekeo" au "tabia"
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaofikiri. "mawazo yao ya ndani ya siri"
Mwandishi anazungumzia juu ya moyo kana kwamba ni sehemu ya mwili unaoweza kuhisi huzuni. "alikuwa na huzuni sana mno juu ya hili"
Mwandishi anamzungumzia Mungu kuua watu kana kwamba Mungu alikuwa akisafisha uchafu katika nchi tambarare. "Nitawaangamiza wanadamu ..ili kwamba kusiwepo na watu katika nchi"
Baadhi ya lugha hutafsiri hii kama sentensi mbili. "Niliumba mwanadamu. Nitamfutilia mbali"
"kuangamiza kabisa". Hapa "kuangamiza" inatumika katika hali ya hasi, kwa maana Mungu anazungumzia juu ya kuangamiza watu kwa sababu ya dhambi yake.
"Yahwe alimtazama Nuhu kwa upendeleo" au "Yahwe alifurahishwa na Nuhu"
Hapa "machoni" inamaana ya mtazamo au mawazo. "katika mtazamo wa Yahwe" au " katika mawazo ya Yahwe"
Hii inaanza simulizi ya Nuhu, ambayo inayoendelea mpaka kwenye sura ya 9.
"Hii ni taarifa ya Nuhu"
Kutembea na mtu ni sitiari ya kuwa na uhusiano wa karibu na yeye. "Nuhu alikuwa na uhusiano wa karibu na Mungu" au "Nuhu aliishi kwa umoja na Mungu"
"Nuhu akawa na wana watatu wa kiume" au "Mke wa Nuhu akawa na wana watatu wa kiume"
"Wana wa kiume hawajaorodheshwa katika mpangilio wa kuzaliwa"
Maana yaweza kuwa 1) watu walioishi duniani au 2) "Dunia yenyewe"
Watu waliokuwa wakifanya uovu inazungumziwa kana kwamba walikuwa chakula kilichooza. "ilioza" au "ilikua na ouvu sana"
Maana yaweza kuwa 1) "machoni pa Mungu" au 2) "katika uwepo wa Yahwe" kama 4:16.
Mwandishi anazungumzia ghasia kana kwamba ni kitu kinachoweza kuwekwa ndani ya chombo na nchi kama chombo. "na kulikuwa na wanadamu wenye vurugu sana nchini" au "kwa sababu ilikuwa imejaa watu waliofanya mambo maovu baina yao"
Neno "tazama" hapa linatutahadharisha kuwa msikivu kwa taarifa ya kushtukiza inayofuata.
Maana yaweza kuwa 1) wanadamu wote au 2) viumbe vyote vyenye mwili, ikijumlisha wanadamu na wanyama.
Namna mtu anavyoishi inazungumzwa kana kwamba ilikuwa njia au barabara. "waliacha kuishi kwa njia ambayo Mungu alitaka" au "waliishi katika njia ya uovu"
Maana yaweza kuwa 1) wanadamu wote au 2) viumbe vyote vyenye mwili, ikijumlisha wanadamu na wanyama.
"watu nchini kote wana vurugu"
"Nitawaangamiza wao pamoja na nchi" au "Nitawaangamiza wao nitakapoiangamiza nchi"
Hii inamaanisha sanduku kubwa sana ambalo lingeweza kuelea juu ya maji hata katika dhoruba mbaya. "mtumbwi mkubwa" au "meli" au "tishali"
Watu hawajui haswa huu ulikuwa mti wa aina gani. "mbao iliyotumika kuunda mitumbwi" au "mbao nzuri"
"sambaza lami juu yake" au "paka lami juu yake". Sababu ya kufanya hivi yaweza kuwekwa wazi: "kufanya isipitishe maji"
Hiki ni kimiminiko chenye mafuta, kizito, na kinatacho ambacho watu huweka nje ya mtumbwi kuzuia maji kupenya katika nafasi za mbao hadi kwenye mtumbwi.
Dhiraa ilikuwa ni namba ya kipimo, kiasi kidogo tu kwa mita moja.
"mita 138". Dhiraa mia tatu ni sawa na mita 138"
"mita ishirini na tatu"
"mita kumi na nne"
Inawezekana hii lilikuwa paa lililochongeka au lililolala. Kusudi lake lilikuwa kulinda kila kitu ndani ya safina dhidi ya mvua.
Dhiraa ilikuwa ni namba ya kipimo, kiasi kidogo tu kwa mita moja.
"dari ya chini, ya katikati, na ya juu" au "dari tatu ndani"
"sakafu" au "daraja"
Mungu alinena hivi ili kusudi kusisitiza ya kuwa angefanya kile alichotarajia kukifanya. "Sikiliza" au "Sikiliza kile nachosema"
"Nimekaribia kutuma mafuriko ya maji" au "ninakaribia kusababisha mafuriko"
Hapa "mwili" inawakilisha viumbe vyote vya mwili, kujumlisha binadamu na wanyama.
Hapa "pumzi" inawakilisha uhai. "inayoishi"
"fanya agano kati yako na mimi"
pamoja na Nuhu
"Utaingia ndani ya safina" Baadhi ya tafsiri husema "Utaingia ndani mwa safina".
"Unapaswa kuleta aina mbili ya kila aina ya kiumbe ndani ya safina"
mnyama ambaye Mungu aliumba
Maana yaweza kuwa 1) wanadamu wote au 2) viumbe vyote vyenye mwili, ikijumlisha wanadamu na wanyama.
"wa kila aina tofauti"
Hii inamaana ya wanyama wadogo ambao hutambaa juu ya ardhi
Hii inamaana ya ain mbili ya kila aina ya ndege na mnyama.
"ili uweze kuwaweka wawe hai"
Hii inamaana ya Nuhu na ni katika umoja
"chakula ambacho watu na wanyama hula"
Sentensi hizi mbili zinamaanisha jambo moja. Sentensi ya pili inafafanua ya kwanza na kuweka msisitizo ya kwamba Nuhu alimtii Mungu. Sentensi hizi zilizo sambamba zinaweza kuunganishwa kuwa kitu kimoja. "Kwa hiyo Nuhu alifanya kila kitu alichoambiwa na Mungu kufanya"