Yusufu alisikia ya kuwa baba yake alikuwa mgonjwa, kwa hiyo akachukua wanawe wawili.
Yakobo alimkumbusha ya kwamba Mungu alimuahidi kuongezeka na kuzaana, atakuwa kusanyiko la mataifa, na nchi ya Kaanani itakuwa milki ya milele kwa uzao wake.
Yakobo alisema angewafikiria wana wawili wa Yusufu kama wanawe.
Israeli hakuwatambua wana wa Yusufu kwa sababu macho yake yalikuwa yanashindwa kwa sababu ya umri wake.
Manase alikuwa mwana wa kwanza wa wana wa Yusufu.
Israeli aliweka mkono wake wa kulia juu ya Efraimu, na wa kushoto kwa Manase.
Yusufu alitegemea mkono wa kulia wa Israeli kuwa juu ya Manase kwa sababu alikuwa mzaliwa wa kwanza.
Israeli alikataa kwa sababu ndugu mdogo angekuwa mkubwa kuliko mzaliwa wa kwanza.
Israeli alisema watu wa Israeli watatamka baraka ya, "Mungu na akufanye kama Efrahimu na kama Manase"
Israeli alisema ya kwamba Yusufu atarudishwa katika nchi ya baba zake.