Yakobo alikusanya wanawe pamoja kuwaambia nini kingetokea kwao na vizazi vya vya baadae.
Rubeni alikuwa aliyesalia mwenye heshima na nguvu.
Rubeni hangekuwa na umaarufu kwa sababu alinajisi kitanda cha baba yake.
Yakobo alilaani ukali na hasira ya ukatili ya Simoni na Lawi.
Yakobo alisema wanawe wengine watainama chini mbele ya Yuda.
Yuda aliahidiwa ya kwamba fimbo ya utawala haitatoka kutoka kwake hadi Shilo atakapokuja, na kwamba mataifa watamtii yeye.
Yakobo alisema vizazi vya Zebulono vitaishi katika fukwe ya bahari.
Yakobo alisema Dani angekuwa kama nyoka mwenye sumu.
Yakobo alisema Asheri atajulikana kwa kutoa vyakula vya kifalme.
Yakobo alisema Yusufu angekuwa kama tawi lizaalo ambaye matawi yake hupanda juu ya ukuta.
Yakobo alisema mikono ya mwenye nguvu wa Yakobo, Mwamba wa Israeli atatunza upinde wa Yusufu imara na mikono yake hodari.
Abrahamu, Sara, Isaka, Rebeka, na Lea walikuwa wamezikwa kule.
Yakobo alipumua pumzi yake ya mwisho na kwenda kwa watu wake.