Genesis 36

Genesis 36:1

Hivi ndivyo vizazi vya Esau (aliyeitwa pia Edomu)

"Hivi ndivyo vizazi vya Esau, ambaye pia anaitwa Edomu". Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Esau katika Mwanzo 36:1-8. "Hii ni habari ya vizazi vya Esau, ambaye pia anaitwa Edomu"

Ada ... Oholibama

Haya ni majina ya wake wa Esau.

Eloni Mhiti

"Eloni kizazi cha Hethi" au "Eloni uzao wa Hethi". Hili ni jina la mwanamume.

Ana ... Zibeoni ... Nebayothi

Haya ni majina ya wanamume.

Mhivi

Hii ina maana ya kikundi kikubwa cha watu.

Basemathi

Hili ni jina la mke mmoja wa Esau.

Nebayothi

Hili ni jina la mtoto mmoja wa kiume wa Ishmaeli.

Genesis 36:4

Ada ... Basemathi ... Oholibama

Haya ni majina ya wake wa Esau.

Elifazi ... Reueli ... Yeushi ... Yalamu ... Kora

Haya ni majina ya wana wa Esau.

Genesis 36:6

aliyokuwa amekusanya katika nchi ya Kanaani

Hii ina maana ya vitu vyote vilivyokusanywa alipokuwa katika nchi ya Kaanani. "aliyokuwa amekusanya alipokuwa akiishi katika nchi ya Kanaani"

akaenda katika nchi

Hii ina maana ya kuhama katika sehemu nyingine na kuishi kule. "alikwenda kuishi katika nchi nyingine"

mali zao

"Mali za Esau na Yakobo"

isingeweza kuwafaa kwa mifugo yao. 8

Nchi haikuwa na ukubwa wa kutosha kuwatunza mifugo wote ambao Yakobo na Esau walimiliki. "haikuwa na ukubwa wa kutosha kuwatunza mifugo yao" au "haikuwa na ukubwa wa kutosha kwa mifugo ya Esau na Yakobo"

waliyokuwa wamekaa

Neno "wamekaa" lina maana ya kuelekea sehemu na kuishi pale. "pale walipohamia"

Genesis 36:9

Hivi ndivyo vizazi vya Esau

Sentensi hii inatambulisha habari ya vizazi vya Esau katika Mwanzo 36:9-43. "Hii ni habari ya vizazi vya Esau"

katika nchi ya mlima Seiri

Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya mlima wa Seiri. Maana kamili ya hii inaweza kuwekwa wazi. "aliyeishi katika mlima wa nchi ya Seiri"

Elifazi ... Reueli

Haya ni majina ya wana wa Esau.

Ada ... Basemathi

Haya ni majina ya wake wa Esau.

Temani, Omari, Zefo, Gatamu, na Kenazi ... Amaleki

Haya ni majina ya wana wa Elifazi.

Timna

Hili ni jina la suria wa Elifazi.

Genesis 36:13

Reueli ... Yeushi, Yalamu, na Kora

Haya ni majina ya wana wa Esau.

Nahathi .... Zera ... Shama ... Miza

Haya ni majina ya wana wa Reueli.

Ana .... Zibeoni

Haya ni majina ya wanamume.

Basemathi ... Oholibama

Haya ni majina ya wake wa Esau.

Genesis 36:15

Elifazi

Hili ni jina la mwana wa Esau.

Temani, Omari, Zefo, Kenazi, Kora, Gatamu, na Amaleki

Haya ni majina ya wana wa Elifazi.

Ada

Hili ni jina la mmoja wa wake wz Esau.

Genesis 36:17

Reueli ... Yeushi, Yalamu, Kora

Haya ni majina ya wana wa Esau.

Nahathi, Zera, Shama, Miza

Haya ni majina ya wana wa Reueli.

katika nchi ya Edomu

Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya Edomu. "walioishi katika nchi ya Edomu"

Basemathi ... Oholibama

Haya ni majina ya wake wa Esau.

Ana

Hili ni jina la mwanamume.

Genesis 36:20

Seiri

Neno la "Seiri" ni jina la mwanamume na nchi.

Mhori

Neno la "Mhori" lina maana la kundi la watu.

wakazi wa nchi hiyo

walioishi katika nchi ya Seiri, ambayo pia inaitwa Edomu.

Lotani, Shobali, Zibeoni, Ana, Dishoni, Ezeri, na Dishani ... Hori na Hemani

Haya ni majina ya wanamume.

Timna

Hili ni jina la mwanamke.

Genesis 36:23

Shobali ... Zibeoni

Haya ni majina ya wanamume.

Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu ... Aia na Ana

Haya ni majina ya wanamume.

Genesis 36:25

Ana ... Dishoni ... Ezeri ... Dishoni

Haya ni majina ya wanamume.

Oholibama

Hili ni jina la mwanamke.

Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani ... ilhani, Zaavani, na Akani ... Uzi na Arani

Haya ni majina ya wanamume.

Genesis 36:29

Timna

Hili ni jina la kundi la watu.

Lotani, Shobali, Zibeoni, na Ana, Dishoni, Ezeri, Dishani

Haya ni majina ya wanamume.

katika nchi ya Seiri

Hii ina maana ya kwamba waliishi katika nchi ya Seiri. "kwa wale walioishi katika nchi ya Seiri"

Genesis 36:31

Bela ... Beori ... Yobabu ... Zera

Haya ni majina ya wanamume.

jina la mji wake

Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambapo aliishi. "jina la mji alipoishi"

Dinhaba ... Bozra

Haya ni majina ya mahali.

Genesis 36:34

Yobabu

Hili ni jina la mwanamume.

Hushamu ... Hadadi ... Bedadi ... Samla

Haya ni majina ya wanamume.

Hushamu aliyekuwa wa nchi ya Watemani

Hii ina maanisha Hushani aliishi katika nchi ya Watemani. "Hushami aliyeishi katika nchi ya Watemani"

Avithi ... Masreka

Haya ni majina ya mahali.

Watemani

"vizazi vya Temani"

Jina la mji wake

Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambao aliishi. "Jina la mji ambao aliishi"

Samla wa Masreka

"Samra wa Masreka"

Genesis 36:37

Samla

Hili ni jina la mwanamume.

kisha Shauli wa Rehobothi kando ya mto alitawala mahali pake

Shauli aliishi Rehobothi. Rehobothi ilikuwa karibu na Mto Frati. Taarifa hii inaweza kuwekwa wazi. "kisha Shauli akatawala katika nafasi yake. Alikuwa akitoka Rehobothi ambayo ipo karibu na Mto Frati"

Shauli ... Baali Hanani ... Akbori ... Hadari ... Matredi ... Me Zahabu.

Haya ni majina ya wanamume.

Rehobothi ... Pau

Haya ni majina ya mahali.

Jina la mji wake

Hii ina maana ya kwamba huu ulikuwa mji ambao aliishi. "Jina la mji ambao aliishi"

binti wa Matredi, mjukuu wa Me Zahabu.

Taarifa ambayo haionekani inaweza kuongezwa. "alikuwa binti wa Matredi, na mjukuu wa Me Zahabu"

Mehetabeli

Hili ni jina la mwanamke.

Genesis 36:40

majina ya wakuu wa koo

"viongozi wa koo zao"

kwa kufuata koo zao na maeneo yao, kwa majina yao

Koo na maeneo yalitajwa kwa majina ya viongozi wa koo zao. "jina la koo zao na maeneo walipoishi yalitajwa baada yao. Haya ndio majina yao"

Timna, Alva, Yethethi, Oholibama, Ela, Pinoni, Kenazi, Temani, Mbza, Magdieli, na Iramu

Haya ni majina ya makundi ya watu.

makazi

"makazi ya kuishi" au "sehemu waliokuwa wakiishi"

Huyu alikuwa Esau

orodha hii inasemekana "kuwa" Esau, ambayo ina maana ni orodha nzima ya vizazi vya Esau"