Sura 18

1 Kisha kusema hi maneno yote, Yesu akaenda ngambo ya bonde ya kedroni akaingiya mu shamba ili kuwa pale yeye na wanafunzi wake. 2 Yuda mwenyi ku mu uzisha Yesu alikuwa ana juwa ile fasi juu balikuwa na fikaka pale mar mingi. 3 Ndipo Yada akisindikizwa na basoda na bakubwa ya ma kuhani pamoja na wa Farisayo bakakuya pale n matala na silaha. 4 kisha Yesu, kisi alijuwa nini inapata aka songa mbele na ku bauliza: «Munatafuta nani?» 5 Baka jibu : «Yesu wa Nazareti» Yesu akawa ambiya «Ni miye» Yda naye alikuwa na basoda. 6 Aka wa jibu : «Ni miye». Baka rudiya nyuma na kuanguka chini. 7 Na aka bauliza tena : «Muna tafuta nani?» baka jiiya : « Yesu wa Nazareti». 8 Yesu aka bajibiyi : «Nilisha baambiya kama ni miye. Kama ni kweli miye njo muna tafuta basi muache bengine baende. 9 Bilipita hivi juu maandiko itimilike : Bote uli ripatiya siku poteza mutu» 10 Kisha Simoni Petro aka piga mtumishi wa kuhani na mpanga ika kata lisikiyo ya kuume, jina ya ule mtumishi ni Malko. 11 Yesu aka ambiya Petro: «Weka mpanga fasi yake! Siwezi kunywa kopo yenyi Baba ana nipotiya? » 12 Basi kikundi ya ba soda na kiongozi wabo piya wakubwa wa Wayuda baka funga Yesu. 13 Baka mubeba kwa Ana, ni baba mukwe wa kayifa, kuhari kubwa ile wakati. 14 Na yenjo ali ambiyaka ba Yuda kama lazima mutu akufiye bengine. 15 Simoni Petro aka fuata Yesu, na mwanafunzi mwingeni, lakini uyu mwanafunzi ana julikana na kuhani mkubwa, aka ingiya na Yesu ndani ya Baraza ya nakubahani. 16 Lakini Simoni Petro alibakiya inje ya mulango ule mwenzake aka toka inje aka ambiya ba linziya mulongo baingize Petro. 17 Na mwanamke mwenyi ku chunga mlango aka uliza Petro: «Hauko na weye mutumishi wa uyu mutu?» Aka jibu: «Apana». 18 Batu yakazi banamke na bakubwa bali simama pale; bali wakisha moto juu baridi ili kuwa bote na Petro balikuwa na ota moto. 19 Kuhani mkubwa aka uliza Yesu kuhusu ba tumishi yake na mafundisho yake. 20 Yesu aka jibu: «Mina semaka wazi ku batu, na fundisha kila mara mu kanisa kwenyi Bayuda bana kusanyikaka. Siku sema kitu kwa buficho. 21 Muna ni ulizaya nini? Muulize benyi bali nisikiya. 22 Wakati Yesu alimaliza sema, kiongozi moja aka mupiga aka sema weye njo hivi uta jibiya mukubwa? 23 Yesu akasema uniambiye kama mina sema mubaya, kama sikusema mubaya unanipiga juya nini? 24 Ana aka funga Yesu na ku mutuma kwa Kaifa mkubwa wa makuhari. 25 Petro alikuwa na ota moto, baka muuliza: «Hauko na weye mwanafunzi wake? » Aka katala. 26 Mutumishi mwinginendugu yake na ule mutu Petro alikata lisikiyo aka sema: Sikukuona mu shamba na Yesu? 27 Petro aka katala tena na maramoja jogoo aka wika. 28 Baka beba Yesu toka kwa Kaifa mpaka ku chumba cha uamuzi ili kuwa busubuyi sana. Bopeke habaku ingiya kjuu basi ji chafule, sababu bata kula 29 Pasaka. Pilato akauliza, mutu uyu ana fanya nini? 30 Baka jibu kama hakufanya mabaya hatunge weza kumustaki. 31 Pilato akasema: MUmu kamate meye peke, na mumuhu kumu kaolire ya sheria yenu musitutume kumu kukumu hukuma ya kufa. 32 Walisema hivi juu manene ya Yesu itimilike, alioneshaka kifo gaui atakufa. 33 Pilato alingia tena ndani ya chumba ya kuhu ku mia batu na kusema : Uko mufalme wa Bayuda? 34 Yesu akamujibu: hii maulizo inatoka kwako au wakutuma uwulize? 35 Pilato akajibu: Miye niko muyuda? Banduku yako na bakuhaui baku bwa njo balikuleta kwangu. Unafanya nini? 36 Yesu akasema: Ufalme wangu si wa dunia hii, kama ingelikua hivi, batu bangu bangepikana juu ni sitolewe kwa bayuda. Kwa kweli ufalme wangu si wa dunia hii. 37 Pilato akamuuliza : weye njo uko mufalme? Akajibu: Weye njo unasema niko mufalme. Ni kwa sababu hii njo nilizaliwa. Ni kwa sababu hii njo nilikuya duniani juu ya kushuhudia kweli. Kila mutu anaye penda kweli anasikia maneno yangu. 38 Pilato akamusemeya : Kweli njo nini? Kisha akatoka na kusema na Bayuda: sikuona hata kosa moya ndani ya huyu mutu. 39 Ni kwa asili yenu juu nibapatiye mufungwa moya siku ya Pasaka. Mumapenda nimwache uhuru ule munayeta mufalme wa Bayuda? 40 Bakalanika na kusema: hatu pende ule mutu, tu napenda Barnaba, na ule Barnaba alikua muuwaji.