Johane Sura 19

1 Kisha pilato akamukamata yesu Yesu na kumupika fimbo. 2 Waakari wakakamata fofia ya miiba ba bakatia juu ya kuchua ya Yesu, na kumu valish nguo nyekundu. 3 Bakamwendea Yesu na kusema: Heshima yako, mufalme wa bayuda. 4 Kisha pilato na kusema tena na watu, mwangaliye, namuleta kwenu juu mutambuwe kama sione kosa ndaui yake. 5 kisha Yesu akatoka, akabeba kafia ya miiba, na ile nguo nyekundu. Tena pilate akasema nabo; Mutu yeye huyu. 6 Wakati bakuhaui bakubwa na vyongozi wa jeshi balimuona Yesu, wakalala miko na kusema: Asulubiwe, aslubiwe! Pilato akasema mumukamata mweye peke na mumutese kwa sababu sione makosa ndani yake. 7 Bayuda bayibu pilato: tuna sheria moya, na kupitia ile sheria, anapashuo kufa sababu anajiweka mutoto wa Mungu . 8 Wakati pilato alisikia vile, aliogopa tena, Akaingia tena. 9 akaingia tena fasi ya kusambishia batu na bakamuruliza tena Yesu: Unatokeya wapi? Yesu hakujibu. 10 kisha Pilato akasema : haunijibu? haujue kama niko na uwezo wa kukuokoa na uwezo wa kukute? 11 Yesu akajibu: hauna uwezo juu. yangu kupita ule uliopata kotoka yulu. Aliye nileta kwata kwako eko na zambi kubwa sana. 12 kupitia ile jibu, palato akapima kumuokaa lakini bayuda bali lalamika na kusema: ukamwacha huyu mutu, hauko rafiki wa kaizari. Ule wote anajifanya mufalme ana mupinga kaizari. 13 Wakati pilato alisikia kubaraza ya nyumba ya kusambishia watu. 14 Angalia, ilikua siku ya kutayirisha pasaka, ilikua saa kumi. pilato akasema na bayuda: Muangaliye, mumuone mufalwe wenu. 15 Bakalalani ka: Mumuondeshe, mumuondashe asulubiwe, pilato: akasema : Munapenda kumuuwa tena mufalme wenu? Mukahaui wakubwa bakajibu: Tuko na mufalme wetu, ni kaizari. 16 Na pilato atamutosha yesu juu bamuuwe. 17 Bakamu kamata Yesu, akabeba musalaba wake golgota. 18 Wakamu tena pamoya na batu bawili moya kushoto na mwengine kuume, Yesu katikati. 19 Pilato akaandila alama moya na kuitia kumusalaba. I liandikwa: Yesu mutu wa nazareti, mufalme wa bayuda. 20 Bayuda bengi bakosoma ile alama, kwa sababu ile fasi yesu aliuwiwa ni karibu na mugini mukubwa. ile alama iliandikwa na luga ya kibrania, kiroma na kigriki. 21 Bakuhaui bakubwa, lakasema na Pilato usiandike mufalme wa bayuda, sababu ye peke njo alisema eko mufalme wa bayuda. 22 Pilate akasema: yenye inaandi kiwa, inaandikiwa. 23 Kisha waaskari kumutiya Yesu kumusalaba, balikamata nguo yake na bakabula lipende ine kwa kila askari , pia na kanzo yake ambayo haikuwa na mushona hata moya kutoka chini mpaka yulu. 24 Bakasemezana: tusipasule hii kanzo, tupike kura tujue kama itakua ya nani. Ilifanyaka hivi juu maandika itimilizwe. 25 Baaskari bakapiga kura. Mama yake na Yesu, na dada yake, Maria mwanamuke wa kileopasina Maria Madelena. Baliikala karibu na musalaba wa Yesu. 26 Wakati Yesu alimuona yake ule mufasi alikua namupenda anaikala pembeni yake, akasema na mama yake: Mwanamuke, angaliya mutoto weko. 27 Na akasema na mwanafunzi: Angaliya mama yako. Palepale mwanafunzi akamuka mata Maria na kwenda naye kunyumba yake mwenyewe. 28 Kwa sababu Yesu alijua kama bitu byote binaisha, juu ya kutimiza maandiko, akasema: Nasikiya kiu. 29 Kitu moya yenye kuyala na pombe ya waskari ilikua pole, balikamata nusu ya pombe ma kutiya ku kinywa kya Yesu. 30 Wakati alikunyua ile pombe, akasema: yote yanatimia . Akashusha kichua, akakufa. 31 Sababu alikua siku ya matayaristho, bayuda habakupenda maiti ibakiye tu yulu ya misalaba siku Mungu, balilomba kwa pilato bavurye mikulu ya maiti na kwuindosha. 32 Waskari balivunga mikulu ya maiti ya kwanza ya kwanza na ya pile yenye ilikua juu ya musalaba pamoja na Yesu. 33 Wakati balifika kwa Yesu, balimukuta anakufa, na habakumuvunya tena mukulu. 34 Wakati askari moya alimutobala mbavu na mukuki, pole pole damu na mayi ikatoka. 35 Mwenye aliona njo alishuhudia, na ushuhu da wake ni wa kweli sababu na nyinyi muamini pia. 36 Hii manena ilifanyika juu maandiko itimilike: Hata mufupa wate moya hautavunjika. 37 Andeko ingine inasema : Wataangolia kwa yule aliyetobalewa mbavu. 38 Kisha yusufu mutu wa Arimatayi, na yeye alikua mwafumzi wa Yesu. Alienda kwa Pilate kulomba maite ya Yesu, kwa sivi sababu iliogopa bayuda , na Pilate alimuruhusu, yeye akabeba mwili wa Yesu. 39 Na nikodema, ule aliendaka kunuona Yesu usiku , alikuya na manukato na mafuta ya kupokala maiti ya beyi kali sana. 40 Bakabeba mwili bakafunga na nguo nyeupe pamoya na manukato, sawa-sawa na asili ya bayuda. 41 Ile yasi balimutesea Yesu palikua shamba, na muile shamba mulikua kabivi mupia. 42 Sababu ilikua siku ya matayarisho ya bayuda , bakamutiya Yesu mule.