Yohane: Sura 16

1 Nine wambiya maneno himushi fazaike, nayo mbele yenu. 2 wata ya batosa nyinyi inje ya shirika , wakati, itafika kila mutu ataba huwa nyinyi, wata waza watumika kazi ya Mung. 3 Wata tendeo mambo hi yote juu abayuwe baba walamive. 4 Nasema maneno haya pele itafika mbele yenu, mutani kumbuka maneno, nili zungumuza nanyi, siko tena mbele yenu, sifarizi nilikananyi. 5 Sasa niko nahenda kwa uyu alituma, akuna mutu. 6 kama nilesema maneno yakweli kwenu, uruma inanza moyoni kwenu. 7 ata nasema kweli kwenu, ni faida yenu isitoke, kama satatoka musaidizi atafika kwanu, kama nahenda, nitatuma yeye kwenu. 8 Akifika musayidisi ulimwengu atasimamia dhambi, namaneno ya haki, maneno ya hukumu. 9 Na maneno yote ya dhambi juu muwamini mimi Mungu. 10 Mubaki maneno yote haki, sabaku nikonaenda kwa baba, ataniona tena. 11 kwaneno ya hukumu, sababu vigonzi ya dunia hii wamekumiwa 12 Mini niko na maneno mingi ya kusema sa hi amata pokeya. 13 saroho ya kweli itafika, atawaongoza kati kweli yote. 14 Yeye amenitukuza mimi juu akamate ile nanipatia mimi na tanga ia nanyi. 15 Yote ikonababo, ni yangu. nasama kamato ko yangu kutangazia ninyi. 16 Nyuma ya wakati, sita honekana, na wakati inginenita onekana na mutuona tene. 17 Nyuma ya wakati honekana, na wakati inginenita onekana na mutuona teno. 18 wanafunzi yananuka ku masemi amutaniona tena na, nitaonekana kisha sakindoko nitaenda kwa nasemi yake. 19 Yesu aona kamamiza kumahulizo, naye akambambiye muna huliza juu kusidi museme muba kifupi. 20 Kweli kweli mutalia nakuhomboleza lakini dunia itasangilia; mutakuwa na uruma. nauruma yene itakuwa furaha. 21 Mwana muke okuwa na uzini ya mahumizi ya kuzala ata kumba tena mahizi yo kuzalo onakuyo furaha ya mtoto mezaliwa. 22 Ninyi sasa muna uzni, lakini nitabaona tena , mioyo yenu ita yo furana, akuna mutu atatosa fura yenu. 23 Siku ilo onahuliza mahulizo, kweli kweli, nasema yote nuki lomba kwa jina yangu. 24 Pakasasa amuombe kujina langu, ombeni nanyi muta pokeya na furaha. 25 Sita semananye tena kuitafumbo, lakinisa imefika ambapo inakuya nitakuwa waziwazi kuhusu baba 26 Siku mutaombakwa juna lake, nasema kwamba naminita nitu wahombeyaku. 27 Kwa kuwa baba anabapenda ye monyewe sababu munamwamini kuwa nimetoka kweke baba. 28 Nilitoka kwake baba nakuya kudunia, naondaka duhia naenda kwa baba. 29 Wanafunzi wakisena, unasema, unaona, sasa usema wazi aotumiye mafumbo. 30 Sasa tumozua kwaza mahulizo, tuna mimi ulitaka kwamu Mungu. 31 Yesu akawazibu, sasa munamini . 32 Angalieni, saainakuyo, yo kweli imefiya, mutakimbiya mutu kwakila mutu kwao mwenyewe lakini siko peke yangu iko nani. 33 Musema mambo nayo ndani yangi muwe na amani; duniani ni matazizo, jipe moyo, nimeshinda dunia.