Yohane 15

1 Mimi ni muzabibo na Baba yangu ni mulimaji. 2 Anakata kita yenyi haizale matunda na kutakasa ile iko nazala ju izale matuda mingi. 3 Nyiye muko safi ju ya maneno miliwambia. 4 Mukuwe ndani yangu, n miye ndani yenui gisi tawi haiwezi kuzala matunda yopeke kama haiko kutumi, vile hamuwezi kuzala matunda koma hamuko ndani yangu. 5 Niko muti, matawi. Mwenyi iko ndani yangu na miye yake atazala matunda mingi sana, bila miye hamu wezi fanya kitu. 6 Kama mutu haiko ndani yangu nisawa tawi yenyi kukawuka ata tupwa mutoto na kulungula sawa kuni. 7 Kama muko ndani yangu na neno yangu ndani yenu, mulumbe byote mupanda muta bipata. 8 Mwa hibi njo Baba ata furahi, muzale matunda mingi na mukuwe yangu mwanafuzi wangu. 9 Gisi Baba alinipenda, pia; mu kawiye mu mapendo yangu. 10 Kama mukiheshimiya amri zangu, muna kawiya mu mapendo yangu vile ni chuga amri za Baba yangu na niko na kawiya mu mapendo yake. 11 Nili wa patiya byote hibi ju mufurahi na furaha yenu ikuwe ya kueneya. 12 Angaliya amri yangu, mupendane kama vile mina bapenda. 13 Mapendo yakupita niyakutowa maïsha yako kwa wa rafiki wake. 14 Mukaba rafiki yangu kama munafanya byenyi nili watuma. 15 Sita baitatena batumishi, ju mutumishi hawezi juwa mambo ya kiongoziwake . Mina Baita rafikiju nili baombia siri yenyi nili sikiya kwa Baba yangu. 16 Hamuku ni chagula ni miye nili ba chagula na nika baweka ju muzale matunda. Byote nikusema ju Baba abapatiye byenyi mutambula ku jina yangu. 17 Mina batumiya mambo hii ju mupendane. 18 kama dunia ina ba chukiya, mujuwe kama ili ni chikiya mbele yenu. 19 Munge kuwa ba mu dunia kamahaiko ba chukiya ju muko bake ; lakini yu ha muko ba dunhia na siku ba chaguwa mu dunia, njo maana dunia ina ba chukiya. 20 Mukumbuke maneno nili baambiaka: «Mutuwakazi hawezi ku shinda kiongozi weke» Kama bali ni tesa, batabatesa na nyiye ; bange chuga maneno yangu na yenu balitafuta kuyi chuga. 21 Kama bana bafanya hivi ju yangu ni sababu la bakujuwa ni nani ali ni tuma. 22 kama siku kuya baambiya, kama haba fanye zambi, ila sasa hukuna uruma juya zambi. 23 Mweyi Ku ni chukiya, ana chukiya Baba yangu. 24 Singe fanya katikati ya batu kazi yenyi mwingine haya fanyaka, zambi hainge kuwa; sasa bote banaona tu chykiya miye na Baba yangu. 25 Bina pita hivi juu yakutumiza mandiko gisi ili andikiwa mu sheria zabo: bana ni chukiya bila sababu. 26 Wakati mufarigi ata kuya ,(mwenyi Baba atatuma kupitiya miye Roho ya ukweli) ata ni shuhudiyaka. 27 Na nyiye munaniya ju muli kuwa na miye tangu mwanz.