Sura 14

1 Usinzii Moyo nsako na matizo. Umuamini Mungu pianamini (Yesu). 2 Njumbanimwa Baba munao makao mingi; haingekuwa vile ningesema. Naenda kukutayonishia makao. 3 Vile naenda kukatayarishia makao(nafasi) nitarudi,kusudi pahali nipo nanyinyimuwe pale. 4 Murafua njiz nafasi naenda. 5 Toma (mtume) akamuliza Yesu mulishimiwa. Hatujui wapi inaenda; Namna gani tutafuhamu njia? 6 Yesu akanjibu. Ukweli na uzima. hakuna mtu alitafika kwa Baba, bila kupita kwangu. 7 kama mulinifua, mungefuapia Baba. kwa sasa munamufua na mulimuona. 8 Filipo akasema na Yesu Muheshimiwa lituongeshe Baba inatutosha. 9 Yesu akamjimbu. nanyi wakati mufuhakujua Baba yangu, Filipo? Mtu mwenyi aliona, aliona Baba ? 10 Hausahidie kama niko ndani ya Baba na Baba kati yangu maneno yenyi niliwafudisha haikutoka kwa uwezo wangu ni kwa Baba, anaishi ndani yangu anafnya kazi yake. 11 Munisadiki, nikondani yangu. Munisakie sababu ya kazi yangu. 12 Kweli, kweli ninawambiya, Uju ananiamini mimi atafanya kazi nilizofanya, na atafanya kazi zingine kubwa kwani naenda kwa Baba. 13 Chochote mtaomba kwa jina langu nitaifanya sababu Baba asifiwe ndani ya Mwana (Yesu). 14 Mukiomba chochote haizuru kitu gani nitaifanya. 15 Kama munanipenda, mukingiya amrizangu. 16 Nitaomba kwa Baba na atampa MSAIDIZI mwengine atakuwa nanyi kila siku. 17 Roho ya ukweli. Dunia haiwezi kupokea kwani haitaumuona na haitamjua. Atabakiya kwenu na atakua kati yenu 18 Sitamuacha nyinyi wenyewe, nitarudia kwenu. 19 Wakati kidogo tena dunia haitamona tena. Lakini nyinyi mutaniona sababu nitahishi na nyinyi. 20 Siku ile mtafua kama niko ndani ya Baba yangu, na nyi ndani yangu. 21 Wowote ana ba amrizangu na anailanda niyeye ananipenda na yule ananipenda ni yule atapenda Baba yangu nitapenda na nitajiongesha kwale. 22 Yuda akasema na Yesu mueshiminiwa sababu gani unajiongesha kwetu lakini se kwa dunia? 23 Yesu akanjibu: Kama mtu ananipenda tuta kuja kwake na tutaikala kwake. 24 Kama mtu hanipenda na achunge maneno yangu. Nemo yenyi mulishikia silangu lakini ni ya Baba myenyi alitoma. 25 Nilimwambiaka vitu vyote wakati niliïshi na nyinyi pamoja. 26 Kwa sasa Roho Mtakatifu oyu baba atatuma kwa jina langu, atawafundisha vitu vyote na atawakumbusha vyote niliwaseaka. 27 Nawaachia kimia, na wapa Amani sikuipana kama vile dunia anapana. Moyo winu huswe an matatizo na woga. 28 Mulisikiya ginsi niliwambia, Naenda na nitarudia kwenu kama vile mulinipenda mtfurahi sababu naenda kwa Baba kwani Baba ni mkubwa kunishindia. 29 Niliwambiya mbele yamaneno yote ifinikie, Mwamini wakati yatafika. 30 Sitasematena mingi na nyinyi kwani mkubwa wadunia anafika. hanaatauwezo juu yangu, 31 lakini ijuwe kama napenda Baba nafanya ukweli ginsi Baba aliniambiaka. Tusimama na tatoke hapa.