Yohani sura 13

1 Nyama ya feti ya pasaka, Yesu alijua kama wakati wake wa kutoka mudunia na kuenda kwa baba,alibapenda batu bake benyekua mudunia, na alibapenda mupaka mwisho. 2 Kumbe shetani aliweba mawaza mubaya ndavi ya moyo wa yudasi eskariote. 3 Yesu alijua kama baba alitia bitu yote kumikono yake, na alitoka kwa Mungu tena alirudia kwa Mungu . 4 Alisimama kumeza na kuondosha nguo yake ya juu, akatwala kitambola akafunga kukiuno. 5 Akaweka mayi musahaui, akaanza kunasukula ya banafunzi bake, na kuipanguza na kitamala yenye alifunga kukiumo yake. 6 Akamuendea petro, na petro akasema: Mkubwa unataka kuninawish mikulu? 7 Yesu ak ajibu: Bienye nikanafanya hautabiyua leo, lakini nyma nyo utabiyua. 8 Petro akasema: hautarusukula mikulu. Yesu akamujibu: kama sikusukula mibulu yako, hatutasikili zana na weye. 9 Simani petro akasema: Mkubwa, usinisukule tu mikulu, lakichua. 10 Yesu akajibu: mwenye anaoka inabakia tu asukule mikulu, lakini anaisha takakata, munaisha takata, lakini hapana nyinyi wote. 11 Kwa sabatu Yesu alitambua atakaye muuzisha; alisema: hamuko wote safi. 12 Wakati Yesu alimaliza kuwakesha mikulu, akakamata manguo na kuilala tena, akasema : mamutambua yenye nabotendeya?. 13 Munanita mkubwa na mwalimu, munasema kweli. 14 Kama miye mwalimu na mukubwa wenu namikula mikuli, na nyinyi munapasha kufanya hivi kati yenu. 15 Kwa sababu na bapatia mufano muzwi; mufanye kama ninavyo fanya mimi. 16 Kwa kweli ninasema, mutu wa kazi haiko yulu mukubwa wa kazi wala anaye tumiwa yulu ya aliye mutuma. 17 Makatambua hii manena, munabarikiwa kama makatumisha ayo. 18 Si seme juu ya mweye bote, sababu nayua benye nilichakula, yeye amaye kula chakula yaugu anajiinua juu yangu 19 Nasema hivi leo haiyafanyika, sababu wakati itafangika, muamini kama mimi niko. 20 Kwa kweli ninalambia, mutu akampikea, nikusema ananipokaea miye, na anaye nipokae miye, anamupokea aliyenituma. 21 Wakati yesu alisema maneno hii, roho yake iliangaika sana, na akashuhudia, kusema: kwa kweli ninabaa mbia, muntu moya kati yenu, atavitowa. 22 Wafasi wakaangaliana na kuulizana kama Yesu anasema hivi juu ya nani. 23 Mufasi moya, ule yesu alipenda sana, alisegemea kukifua cha Yesu. 24 Simani petro ule 25 mufasi: Yesu anasema hivi juu ya nani. Ule mufasi akauliza: Mukubwa ni nani ule? 26 Yesu akajibu; Ni yule nitamupa chakula cha supu. Wakata alitia chakula ndani ya supa, akamupa yudasi mutoto wa simoni Eskariote. 27 Nyuma ya kula, shetani akaingia ndani ya yudasi, Yesu akasema tena: fanye haraka yenye unapenda kufanya 28 Hata mutu moya pale kumeza hakuyua juu ya nini Yesu anamusemea vile. 29 Bengine baliwaza, vile yadasi anahusika na mufako ya pesa, Yesu alipenda kusema naye: Aende kununua bita ya kabasaidia ku feti, na bengine baliwaza anamutu kusaidia mayatima. 30 Na kisha tu kupata chakula, yudasi akataka mbiyo. Ilekua ausiku. 31 Wakati Yudasi alitoka, Yesu akasema: Mutoto wa mutu anasifiwa na Mungu anasifiwa ndani yake. 32 Mungu atamusifu kwa pekee, na anamusifu haraka. 33 Watoto wadogo ningali na mweye wakati kidogo.Mutanitafuta, kama vile nile nilisema na bayuda hamutafika kwennye naenda, nasema tena na mweye le. 34 Nanbapatia ami ya saa, mukue na mapendo, kama nilimipenda, mweye mupendane. 35 Mukionesha kama munapendana na batu batayu kama muko banafunji bangu. 36 Simoni petro akasema: Mukubwa , unaenda wapi? Yesu akomujibu: Kuenyenaenda hauta weza kunifata leo, lakini nyuma kidogo. 37 petro akasema: Mkubwa juu ya nini nasi kufate leo? Nitatowa maisha yangu yako. 38 Yesu atajibu: Umaweza kutowa maisha yako juu yangu? Kwa kweli nakuambia, jogoo hatawika na hanyanikatala mara tatu.