Sura 12

1 Siku sita mbele ya Pasaka, Yesu alienda betani kwenye balimu fufulaka Lazaro. 2 Bali mu patishia chakula lakini Marta alikuwa na ta yarisha chakula, Lazaro alikuwa pamoja na Yesu ku meza. 3 Kuisha Maria alikamata chupa ya malasi ya nbei kali sana, aka vunja ile chupa ku migui ya Yesu pia aka anza kupangunza na nyele ya Yesu kichwa yake pia nyumba ika nika harufu ya malasi. 4 Yuda iskariote moja ya mitume, mwenye ata mutowa Yesu aki sema. 5 «Juu ya nini abangi uzisha ile malasi ku makuta elfu tatu njoo ile pesa tugobulie wa maskini?» 6 Akusema maneno iyi juu ya ku saidia ba maskini; kumbi alikuwa mwizi ye njoo alikuwa nalinda pesa pia alikuwa na kula ile enye balikuwa na weka. 7 Yesu akasema «Mumache apowe kwani anafanya maneno muzuri kupita ata kufa kwangu. 8 Wa masikini wataku tu kati yenu hapana miye . 9 Wakati kikundi kubwa ya Bayuda wali sikiya kama Yesu alikuwa pale, balikuya kuanglia pia kuana Lazaro mwenye Yesu ali fufulaka kati na wafu. 10 Wakowani wa kubwa baliwa ginsi bana weza kumu uwa tena Lazaro. 11 Juu ya ke njoo Wayuda mingi bana ba hacha juu ba muamini Yesu. 12 kesho yake batu mingi balikuya ku shangwe, wakati balisikiya Yesu ata kuja Yerusaleme. 13 Bali kata mangalala baka kuya kumupokeya, biko na lalamika sahu nguvu sana «Hozana, habarikiwe ule mwenye iko na kuja ku jina ya Mufalme wa Isalael. 14 Yesu alikuta mtoto ya punda, aka mupandia ginsi ime andikwa. 15 «Sio gope musika wa siona angalia mufalme wako iko na kuja juu ya mtoto wa punda.» 16 Mwango nitume abakujuwa kitu juu ya ile mambo, lakini nyuma njoo bali kumbuka ma neno ile andikua juu ya kumtu kuza Yesu. 17 Sasa kundi la watu wale walikuwa pamoja na Yesu wakati alimuita Lazaro kutoka makabauri na akamufula kutoka wafu. Waka shuhudia kua wengine. 18 Ni kua ile sababu kundi la watu walikuya kukutana naye. njoo bali peleka ushuuda kwa wengine ndio mahana ile kikundi baliku ya kuku tana ye juu nalisikia alifanya miujiza. 19 Bafarisayo bakasema ndani yabo « mu angalie tuta fanya nini tena juu batu yote bana mufuata. 20 Sasa kumbi ba kiriki bali kuwa pamoja na ile kikundi balikuwa na enda fasi ya maombi. 21 Nahaba bakaenda kwa Filipo uyu alikuwa ku Betesaida ya mungini Galilaya pia baka muuliza «Ndugu tuna penda kumuona Yesu.» 22 Filipo ana enda ku mu ambia Andrea; Andrea na Filipo bakaenda kuelezea Yesu. 23 Yesu alibo ambia akisema, «Wakati imetimia juu mwana wa mutu atukiotuzwe.» 24 Kweli kweli nina wa elzea « Ina omba bengu moja ya ngano ihanguke ku bulongo ayo moja kiisha ihoze njoo ila tosha matunda mingi sana.» 25 Ule atapenda maisha ya ke ata ipoteza, lakini ule atachukia mahisha yake mu dunia iyi ata pata uzima wa milele. 26 Kama mutu ana nitumi kia kiisha ana nifata, pale nitakuwa yeye pia atakua ile fasi, kama mutu ana nitumikua, Baba ata muhinua. 27 Nafsi ganga inanungeneka niseme nini tena? «Baba unikuokowe ihi wakati ya mateso? 28 Lakini ni kua ihi saa njoo nilikuuya. «Baba tukuza jina lako» sauti ika toka mbinguni ikasema «nalitukuza, tanakukuza na takatukuja tena». 29 Nyuma ya pale, bale balikua pale pembeni balisikia vile, pia bakasema «ile ni sauti ya Raddi, bengine bakasema malaika njoo alikuwa naongeya naye» 30 Yesu akajibia pia akisema «ile sauti ahikukuya juu yangu lakini ilikuya juu yenu». 31 Sasa hiyi ni wakati dunia inapasha kusambishwa, mufalme wa dunia ihi atafukuzwa. 32 Kiisha nita acha dunia njoo batu bote batakuja kwangu. 33 Alisema maneno ile juu ya kuonesha modere gani ata kufa. 34 Kundi la watu baka mujibu: « tu na juwa sheria ka Kristo atahishi milele, juu ya nini uku na sema mwana damu atatoka ku dunia?» Uko mwana damu ya modere gani? 35 Yesu aka wajibu: «Nuru iko pamoja na nyie basi haiko wakati murefu; lakini mutembee ndani ya nuru juu disa isi ba funge, ule mwenye ana tembea ku giza ajuwe kwenye iko naenda. 36 Wkati muko nan nuru muamini nuru juu mukuwe batoto ya nura» Yesu aki sema vile pia akaenda kujifichika mbali nabo. 37 A tako Yesu alifanya mambo mingi mbele yabo abamu aminie. 38 Juu neno la nabihi Isaya iweze ku timia ginsi ina sema «Bwana nani alihitika maneno yako? ule mwenye uweze wa Bwana ulimu onyesha? » 39 Njoo maana abakuweza ku itika sababu Isaya alisema tena. 40 Alibafunga macho, ma roho yabo ili kuwa migumu ina sema tena bataona na macho yabo pia bata itika ku roho yabo njo batakuya pia nita ba ponyesha.» 41 Isaya alisemaka vile juu alionaka utikufu ya Yesu pia alisema juu yake. 42 Njoo maona wakubwa mingi bali amini pia bafarisayo bali katala juu basi bafukuze ku ekalu. 43 Bana penda batu baba tukuze kupita utukufu wa Mungu 44 Yesu aka lalamika akasema :« ule ataniamini ani amini miye pekeake tu, basi ana amini pia ule mwenye alinituma. 45 Ule mwenye ana niona ana ona pia ule mwenye alimita. 46 Nalikuya nuru ndani ya dunia juu ule mwenye ata niamini ahata bakia tena ndani ya giza. 47 Ule mwenye atasikia sahuti yangu kama aku ilinda sita musambisha juu sikukuya kusmbisha dunia, ili ku liokowa. 48 Ule mwenye ata nitupa, mwenye apokee neno langu iko na mutu ata musambisha, basi neno lenye niko na sema njoo ita musambisha siku za mwisho. 49 Juu siku sema ku mapashwa yangu ata fasi moja Baba yangu ye njoo alinipa oda ya kukuya kusema ma neno enye na pashwa sema. 50 Na juwa kama oda yake ni uzima ya milele, ndio ile maneno Baba ana penda ni seme njo na isema