Sura 11

1 Lazaro mdogo wake na maria na Marta alikua mgonjua mungihi Bethania. 2 Maria dada ya Marehemu Lazaro yule mbaraka mwenye alimupakalaka Yesu malasi ya bey ku mi guu na nyele yake. 3 mahabari ya ugonjwa wa kipenji cha Yesu kutoka kwa Maria na Marta. 4 Alita mani kutu kuja Mungu na sifa yake Yesu. 5 Mapendo ya Yesu ilikua jamaa ilio fiwa. 6 Maladi ya Lazaro haikufanya kifu ku macho ya Yesu wake kaa Yudea mda wa siku mbili tena. 7 Kisha pale awaambia wanafunzi wake turudie Yudea. 8 Yesu alitia roho nguvu lakini wa nafunzi waki hofia kifo cha mawe kwa wa Yuda. 9 Saa ya kumi na mbili ya mwangaza? na ya giza kama mtu akitembeya na mwangaza ya mchana. 10 Sasa akitawanyika usiku atat umia kwa juu hakuna mwangaza. 11 Kwisha kutetea rafiki Lazaro ana anaisha kufa, naenda kumufufua. 12 Wanafunji baliponda kujua kama Lazaro akalala namuna gani atalamuka tena. 13 Saa Yesu alisemeo kufa kwa Lazaro lakini wanafunji ha bakujua maana yake muzuri. 14 Kisha sasa Yesu aliba ba vunjia kilio kia Lazaro. 15 Yesu alifukaika na imani ya wanafunzi wa kaenda njia moja ku nako kilio. 16 Tomasi aliogopa kwenda kufa na Yesu na akaogopesha wenzake. 17 Yesu alifika kwisha Lazaro kuzikwa baada ya siku ine. 18 Bethania na Yerusalemu una urufu wa kia kilometa makumi ine na tano. 19 Wa yarudi walikuja ringi ku matenga ile ya muloki yake na Maria na Malatha. 20 Marta alienda ku muyambilia Yesu lakini Maria aliji bakililia lwake. 21 Marta ali mulaumu Yesu pasipo kufika haraka ku ombea ndugu yake asife. 22 Nana itika kama maombi yako ni ina nguvu saana. 23 Yesu akasema, niko na uwezo wa kufufua mutu ata amekwisha kufa. 24 Marta waje a ku ufufu ko wa mwisho wa dunia. 25 Ufufu kona uzima ni wa Yesu kwa wenye ku mwamini. 26 Atakaye amini Yesu natakufa atafufuka ewe Maria? 27 Aka amini kama Yesu ni Kristo mutoto wa Mungu alie kuja. 28 Alipo maliza kusumulia alienda ku ongea na dada yake Maria pembeni ju aende ku ongea na mwalimo (Yesu). 29 Maria ali ji harikisha akutane naye Yesu. 30 Yesu alikuwa pa pale Marta alimuyambilia inje ya mungini. 31 Bayuda walio kuja omboleza Maria bakashangala ku ona yey kupita mbio kwenda kupokea Yesu bila kwa kulia makaburini. 32 Maria alisikitika na kulamu Yesu na kaji shusha mbele ya Yesu, kisha akamukusha kifo cha kaka kama angekua pale asingi fariki. 33 Yesu alisikitika saana kuona Maria ma jerani wote wakilia mwa mjojo. 34 Yesu aliuliza fasi kaburi na wakamuonesha njia. 35 Yesu akatosha machozi kwa kulia. 36 Mayaudi waliona mapendo ya Yesu kwa Lazaro. 37 Watu wengi wa lipendelea Lazaro asikufe Yesu mtenda miujiza anaweza juu alitungua kipofu macho? 38 Yesu akji kuta mbele ya kaburi ya pango wa lilifinika na lijiwe kubwa. 39 Yesu alitowa hoda wa towe jiwe, Marta aka hofia mwili wa kara yake umukwisha ku oza baada siku ine. 40 Yesu alimu kumbusha Marta kama siku ki ambia kama ukatia imani utaona utukufu wa Mungu. 41 Yesu aliombo kwa sauti nguvu mbele woli towa jiwe. 42 Yesu akiomba ana aminia kwa Mungu kama asikilizua basi kwa ajili ya wasio amini ndio wa kubali kama uli nituma duniani. 43 Yesu alilalamika Lazaro fufuka! 44 kuisha akafufufuka, mwili wake mujima paku sura ilifunikwa na nguo na vipete, Yesu akisema mumufungue na mu mu ache uru. 45 Maya rudi wengi waliojia kilio kwa Maria na wakishangalishwa na miujiza ya Bwana Yesu waka amani. 46 Tena wakatangaja mu ujiza wa kufa fuka kwa Lazaro mbele ya Mafarisayo. 47 Wakuu wakanisa ya wayeda waka ogopa na wakijikusanya kwa ajili ya kusimasha kwa ku waja mabaya ya kutendea Yesu. 48 Woka wao ulikua kama Yesu akita wala wata muani kisho wa Roma wakuja kuta wala ku inchi yao. 49 Kayafa mkuu wa ma kohani kawasemea kweli kama hawa ujuzi ata kisogo. 50 Jueni kwamba ya faa mutu moja afe kwa kumboa inchi nzima. 51 Masemo ile kaiko ya bure roho ya unabi njo inamusemesha kwamba Yesu njo atakufa ju akomboe inchi yote. 52 Mingi mingi kifo chake si juu ya inchi tu lakini wakusanywe watoto wa Mungu pamoja. 53 Na wakipanga kifocha Yesu tangu pale 54 Yesu alipotea ku macho ya wayuda kwa woga akenda kijificha pomoja na wanafunzi wake mugini wanaita Efraim. 55 Wingi walita wa nyika kienyeji na kwenda Yerusalem, saa ya pasaka wa ende kutubu zambi yao. 56 Ndani ya hekalu wali tembeza macho uku na kule, kufafuta Yesu na wakijiuliza kama Yesu ata kuya feti? 57 Kohani mkuu na wafarisayo wali towa hoda ya kwamba popote Yesu ata patikana mamushike mateka.