Yohane 10

1 Kwa kwili na wa ambiya, kama mutu anaingiya mu nyumba ya kulisha wa nyama bila kupita ku mwango ni mwizi tena ni jambazi. 2 Lakini mwenyi anaingiya ku mlango yeye ni mchungiji wa kondoo. 3 Zamu amafungula mulango.Kondoo zina mujuwa kwa sauti, naye anaita zake kwajina ili zitoke. 4 Akisha maliza kotosh zake anatembeya mbele nazo zina mufwata ju zina juwa sauti yake. 5 Hazita fwata mugeni ju hazi juwe sauti yake, kwanza zita anza ku mukimbi. 6 Yesu aliwapa hii muane, lakini habuku juwa ni nini ana sema. 7 Kisha Yesu aka baambiya tena:« Kwa kweli, miye njo mlango wa lupango ya kondoo. 8 Wote wenyi walipata mbele ni bamwezi na wa jambazi lakini kondoo haikuba fwata. 9 Niko mlango. mutu yote ataingiya munji yangu ata okoka; ata ingiya na kutoka na atakuta mayane mbichi(malisho). 10 Mwizi anakuya ju ya kuiba, ku uwa na ku haribu, lakimi miye nakuya ju mupate uzima tena kwa uwingi. 11 Niko muchungaji muzuri, mchunguji muzuri ana pana maisha yake ju ya kondoo. 12 Muntu ya kazi haiko mchuyaji na hana kondoo, anaona chui ana kimbiya na chui ina tawanyisha kondoo na kubeba zingine. 13 Ana kimbiya ju ni mutu wakazi haangouke na kondoo ju hazikozake. 14 Nicho mchungaji mzuri, mina juwa bangu, na bo bana ni juwa. 15 Baba ana nijuwa na miye mina mujuwa tena natowa maisha yangu juya kondoo zangu. 16 Niko tena ma kondoo zingine haziko ndami ya lupango, mina pashuwa kuzingiza mulupango zitasakiya sauti yangu na itakuwa kikundi moja na mchangaji moja. 17 Angaliya juyanini baba ananinipenda: na towa maisha yangu ju niipate tena. 18 Nayipana miye peke bila mutu kumisukuma , ni baba alinipatiya nguvu ya ku ipana na kuyi kamata . 19 Kugabulana ikakuwa tena ndani ya yuda ju ya maneno hii. 20 Mingi ndani yabo bakosema: « iko na pepo na ni mwenda bazimu. muna mufwata juya nini?» 21 Bengine asema :« haiko kusema ya mwenyi ikona pepo , pepo mbaya je ita ponyesha kipofu?» 22 Kisha ilifika siku ya feti ya kubariki pale yerusalemi. 23 Ilikuwa wakati ya baridisana Yesu alikuwa ana tembeya mu kanisa, ngambo ya salomoni. 24 Bayuda baka muzunguruka baka muwiza:«mpaka wapi utajificha? kama uko christo, utuambiye wazi» 25 Yesu aka baambiya:« nilisha baambiya, hamu sikiye, kazi minafanya ku juna ya baba yangu ina in shuhudiya. 26 Na njo mana hamu ju hamuko kondoo zanyu. 27 Kondoo zangu zina sikiya sauti yangu. Nazijuwa na zina ni sikiya. 28 Mina wapa uzima wa milele hawatakufa na hakuna mwenyi ata batosha mu mikonoyangu. 29 Baba mwenyi alimpaobo ni mkubwakubote na hakuna mutu atabatosha mumikono ya Baba yangu. 30 Miye na baba tuko mutu moja. 31 Kisha, wayuda waka lokota majiwe tena ju ba mupige. 32 Yesu aka jibu:«nili baonesha mambo mingi ya muziru toka kwa baba. ju ya ile munanitupiya majiwe?» 33 Bayuda baka mujibu: haiko ju ya mambo mazuri njo tunakupiga majiwe, lakini ju una kufuru; ju weye mutu, una jikamata sawa mungu.» 34 36 Yesu akawa jibu:« haiandikiwe mu cheria yenu: nilisema muko myungu? 35 Kama ali baita ba myungu, ni kwebo njo neno ya Mungu ili kuya. Niye mutasema na ule mwenyi baba ali safisha na kumutuma mu dimia :"una kufuru", junilisema niko mtoto wa mungu? 37 Kama sifanye kazi ya baba yangu, kume musi ni itike. 38 Lakini kama nikonaifanya atakama hamu pendi kuni itika, muitike ata kazi; vite njo muta itika kama baba iko na miye niko na ye. 39 Baka pima tena ku mufunga lakini aka ba kwepa mu mikono. 40 Mara teno Yesu aka enda mbali na yorodani, fasi kwenyi yohane alikuwa ana zoweya kubatisa, aka kawiya kule. 41 Batu mingi baka mufwata na ku sema :« yohane haku fanya ata miujiza moja, lakini yote alisema ju ya uyu mutu ni kweli.» 42 Na mingi waka itika Yesu fasi ile.