Sura 9

1 Yesu alikwa napita , akaona mutu moja aliye zaliwa kipofu. 2 Banafunzi bake bakamuliza : Mwalimu ni nani aliyetenda Zambi? Yeye peke ao bazazi bake, juu huyu mutu azaliwe kipofu? 3 Yesu akajibu: wala si huyu kipofu wala si bazazi bake balujo tenda Zambi, lakini ni kwa sababu kazi yake. 4 Tunapashwa kufanya kazi yake aliyenituna wakati ingali muchana. Usiku unakuya pale hakuna mutu ata fanya tena kazi. 5 wakati ningali mudunia mimi ni mwanga wa dunia. 6 wakati Yesu alimaliza kusema , akatema mate chini, na akaponda matope, na kupakala kumacho ya ule kipofu. 7 Akamwambia: Uende kuoka ndani ya kisima cha aliyetumiwa kipofu akaenda kuoka na kurudia akajikuta anaona. 8 Bajerani na benye balimujua ni mutu wa kulombalomba siku mingi, bakasema: haiko huyu alikua naikala na kolombalomba? 9 Bengine bakasema: Ni yeye, na bengine hapana si yeye, lakini anafanana nayeye kisha yeye peke akasema: Ni mimi. 10 Bakamwimbia, sema: macho yako ilikwa namuna gani? 11 Akawajibu: mutu anayeitwa Yesu alifanya matope na kurupakala kumacho, na akaniambia: uende kuoka kukisima cha aliyetumiwa, nilienda kusukula mac ha na sasa ninaona. 12 Bakamuuliza: eko wapi ? Akajibu sijue 13 Bakamuleta mutu alikwa kipofu mbele ya sika bafarisayo. 14 Kumbe ilikua siku ya Mungu njo Yesu alifanya matope na kufungola macho ya ule kipofu. 15 Bafarsayo bakamuliza tena mara ya pili namuna gani macho yako ilifungaka. Alibajibu: aliweka matope juu ya macho yangu . Nikanawa, na sasa naona. 16 Bengine bafarisayo bakasema : uyu mutu hakutoka wa Mungu, mwana haeshemiye siku ya Mungu. Bengine bakasema namuna gani mutu wa Zambi anatende miujiza? Sababu ya ile wakakabulana. 17 Bakaenda tena kwa ule aliyekwa kipofu: unasema juu yake, kwa sababu anakufungola macho? Akajibu ni nabii. 18 Lakini balikatala kwamini kama ule mutu alikwa kipofu, na sasa anaona. Baliita bazazi bake 19 Bakauliza bazazi bake: uyu njo mutoto wenu munasemaka alizaliwa kipofu? Namuna gani leo anaona. 20 Bakajibu: tuna jua kama ni mutoto wetu na alizaliwa haone. 21 Juu ya kufungoka kwa macho yake hatujue kitu mumulize ye peke juu alisha komala, atajisemea 22 Bazazi bake balisema vile juu ya kuogopa bayuda. Kwa sababu bayuda balikania mutu wote mwenye kusema kama Yesu ni masia, na kubafukuza ndani ya kanisa. 23 Njoo bazazi bake balisema alisha komala, mumuliza ye peke. 24 Bakamwita tena ule mwenye alikua kipofu na kumwambia: umusifu Mungu kwa sababu ule aliye kufungula macho, ni mutenda Zambi. 25 Si jue kama ni mutu wa Zambi, lakini na jua kama nilikwa kipofu na sasa naona 26 Bakasema: alifanya nini? namuna gani alikufungola macho? 27 Akajibu: niliwambia hamukupenda kusikia, sababu gani munaniuliza tenda ? Hamupende kumufata? 28 Bakamutukana na kusema : weye peke njo mufasi wake lakini siye tuko pafasi ba musa. 29 Tunajua kama Mungu alisema na Musa, lakini yeye hatiijue anatoka wapi 30 Akawajibu tena akasema : nashangaa sana wakati munasema hamujue kule anatokea, na yeye nja anani fungwa macho. 31 Tunajua kama Mungu hasikiyake maombi ya watende zambi, lakini kwa wenye kumuheshimia na kufanya mapenzi yake , anawasikiaka . 32 Tokeya mwanzo wa dunia hatuyasikiaka mutu kufungula macho ya kipofu. 33 Kama hangekwa mutu wa Mungu hangeweza kofanya hivi. 34 Wakajibu : weye ulizaliwa ndani ya Zambi, utatufundisha nini? Na kisha, wakawatupa inje 35 Yesu akasikia kama balibafukuza mukanisa, alibaona na kusema: hamuweze kumuamini mutoto wa 36 mutu.Wakajibu : yeye njo nani tena mukubwa juu tumwamini? 37 Yesu akasema unamuona, njo huyu unaongea. 38 Akasema mukubwa naomini, na akamuabudu 39 Yesu akasema : ni juu ya hukumu njo, nilikuya mudunia , sababu kipofu baone, na wenyekuona wapofoke. 40 Bafarisayo bakasikiya ile maneno, wakasema: Tukovipofu? 41 Yesu akajibu: kama mulikwa bipofu hamungekwa na Zambi, lakini munasema tunaona. Na Zambi ingaliko ndani yenu.