Sura 2

1 Wanduku mina yeuka na muna ya imani yenu kua bwana Yesu, na mapendo yake iko na mitocha buvivu kupita roho mtakalifu ona nufania kudi yemu yote pomoya. 2 Muni rudishiye mapendo ya kueli dani ya mawozo muzuri muendo muzuri dani ya mafikini yenu. 3 Mushi disifu kuona kama muna pita kuyonesha muna waziya kama muna pita batu bengine apona vile mutu yote awone muezake kama ona mupita. 4 Mutu yote ashita fute buzuri bwake mueniemu tu lakini ime ju yabezake. 5 Muwe na mawaze moya sa ya buana wetu Yesu Kristo. 6 Alikuya mufano maya na Mungu, lakini ashikukuye na mawazo ya kufiya ku fananishana na Mungu apana. 7 Lakini aliachaatu kufu wake na kudi faniasa, mutuamua wolo mutu yote alikuya na muili sa mutu yote. 8 Ali dishusha na kueshi miya tu wa kati ya kufa kuake ku mu salaba. 9 Pale Mungu alikuya na kumu patia dina ku pita madina yote ya uli muengu wote muzina. 10 Alifania vile kupilia dina ya Yesu magoti yote yi muabudu, iwe bingu na ndunia ata chini ya bulongo yote. 11 Na mili fania ivi makabila yote namaruka yote bo jue ye Yesu Ktristo hu buana kupitia nguvu ya baba Mungu. 12 Banduku yangu, kupitia eshina yenu, ile muli kuya nayo ote wakati nili kuyana mueye, ata apa nikabali na mueye, muedeyetu na ile eshima nakongopa. 13 Ju ivikila shiku mupate kufania mapezi ya Mungu. 14 Fanyeni moubo yote bila kubi shana. 15 Ju mushi benbe manbo ata moya ya mubaya wa la mushi fanie kuya benye nzabi dani yenu lakini muwe watoto wa Mungu. Fanie ini ivi jo mukuye miangaza dani ya ndunia na kuya batu ya kueli bila maba mobaya. 16 Mutiye sauti ya uzima dani yenu ju mupate kueli na kumu tukuya shiku yote Kristo naile ita kuya fura na tuta sema kunbi kazi tuli kuya na tenda ni ya mena. 17 Hata kama mina kuya sa mufana wa sadaka ya imani wala ata ni ta wenza ku muanga damu nika paka na fura na mueye bate. 18 Na mawazo moya na mue bate na fura pa muya na miye. 19 Na tumaini yangu ni dani ya buana Yesu na nita tuma Timotheo kule muko ju ni kuye na fura na kupenda mambo yenu. 20 Shina na mutu muingine ule ekona dia nga isha ju yenu. 21 Apa bote beko na tafuta buzuri ya bobenie wetu ayina ya buana wetu Yesu Kristo. 22 Lakini muna yuwa na muna ya eshima yake ana ji peleka nama wazo na mapendo yote dani ya enjili pamoja na miye. 23 Mikona mawazo ya kumu tumiya ye kule, nakama mina yuwa namuwa mambo yangu yitaisha. 24 Lakini niko na kitu maini dani ya buana ya kusema niko na kuya apa sasa. 25 Lakini mikona mawazo ya kumu tumiya Epafradito. Ye yeni ndiuku yangu na mufania kazi ya buana pamoya na miye tena askari sa miye na ana jua mambo yangu yote. 26 Lakini wa kati muli shikiya kama ekomalari alipenda kuya paoya na muebate. Lakini malari ili mushi duisha kunuona. 27 Na alikuya malari sana karibu na kufa, lakini Mungu ali mushiklilia uruma sana ayina ju ya yemue niewetu, lakini ju yangu tena ju nishi angaike te na vile niliangaika bale. 28 Jo mana nina penda kumu tumiya naye biyo biyo, ju wakati muta mona mue bate tena mupate kufurai na ye tena na roho yangu ifurai tena. 29 Mumu pokeleye tena Epafradito na fura na ma pendo ya buana muna pashua kufurai na batu ya namuna iyi. 30 Iyi mambo yate ina fanika ju ya kazi ya Kristo, ilitakakufa jo yakazi ya buana nakufania mambo mazuri ile mue ye amuku weza kafania ju mulikuya bali na miye.