Sura 3

1 basi kam mulifufu ka na Kristo pamoja, mutafute maneno ya mbinguni, kwenye Kristo anai kala ku mukono ya ku hume ya Mungu. 2 Mu kumbuke maneno ya mbinguni apana ya dunia. 3 Mukikufa ndani ya Yesu, mupate fasi ya kufichama kwa Mungu. 4 Kristo ni maisha yenu sababu mutaonekane naye katika uhuru. 5 Kwa ivi muashe maneno yote ya tamaa ya mwibi, kama mafundisho mubaya, mawazo mubaya tamaa, sanamu. 6 kwa sababu ya maneno kama hii kisharani ya Mungu inawaka juu ya, watoto wenye kukosa kusikiya. 7 Nyie pia vile vile mulitembea ivi zamni, wakati mulikwa vyana. 8 Basi sasa muache maneno yote ya zamani ndani yenu, kisirani chuki, ubuya, kutukana maneno yote uto che kwa kinyo yako. 9 Musiambianake uwaongo kwahi musirudilie matendo yenu ya zamani. 10 Muvale matendo mupya kama watoto ya Mungu. 11 Tuwe kizazi kimoja ndani ya Kristo. 12 Kama washanguliwa ya Mungu, wenye kupendeza Baba yao kwa matendo muzuri mukwe na uruma wenye kuji shusha, roho ya upelena wenyi uvu milivu. 13 Muvumiliane ninyi kwa ninyi, muskilie wengine uruma. musamee wengine kama vile wanaho wasamee. 14 Nawaomba mukuwe na mapendo, ndani yenu. 15 Salama ya YEsu iwe kwenu kwa sababu mulichaguliwa kusudi mwishi kwa ile amani. 16 Kwa eshima yote mudumu katika neno la Kristo kusudi mupate ufahamu na akili ya kufundisha, na kuonya wengine, na kujua kutukuza Mungu. 17 Kila maneno enye mutafanya kwa jina la bwana yetu na kumishukuru Mungu Baba. 18 Wana wake mutii wa bwana zenu kama vile kanisa ina tii Kristo. 19 Wa Bwana mupende wana wake wenu kama, bwa anapenda kanisa. 20 Minyi watoto muheshimu wazazi yenu kwa maneno yote enye kupendeza bwana. 21 Nie wa Baba misiwa letee watoto kasiruni, kusudi wasipate kunu ngunika kwa roho. 22 ninyi watumwa mu tu Bwana wenu kwa kila maneno yote. 23 Mbele ya kufanya kitu yote, muifanye kwa roho moja na kuogopa Mungu. 24 Mujikoze kutumikia Kristo kwani, muta pato baraka na malipo muzuri kwa Bwana. 25 Mwenye kupenda kutenda mabaya ata pata malipo ya ubeya yake mwenyewe.