Sura 2

1 Napenda kama mujuwe gisi nilipata tbu nyingi kwa ajili yenu, na wote wenye kuka Laodika, na wenye benye habaya nionaka usokwauso. 2 Natumika kusudi Roho yao iyulizwe na kua na umoja, ndani ya mapendo, naakili ya kuenea kusudi wapate na Kristo. 3 Ndani yake kunapatikana upata ekima, na ufaamu yote yelifijshwa kwake. 4 Namwambia, mutu asiwadanga nyi na maneno yote yenye inaweza kuwapoteza. 5 Ata kama mimi siko ao niko mujuwe kama niko pamoja na nie. 6 Kama vile muna mupokea Yesu-Kristo mutembee naye pamoja. 7 Muyi funge naye na kuzala mizizi ndani yake, mutekijenga imani yenu kwake kama vile nili wa fundisha, mukijaa na ufaamu, na akili. 8 Mufanye angalisho mutu asiwangushe kwa imanki kwa masemi yake ya uwongo, na utupu kwa maneno ya duya, enye aina faida, kwa Kristo. 9 Ndani yake kunapotikana ukumilifu ya Mungu inaishi ndani yake 10 Munajazwa na utkufu kwayeye, na yeye njo kisho ya kanisa. enye uwezo yote, na mamlaka yote. 11 Kwa yeye njo mulipata ruusa ya kukatiwakinaume. Apana ya mwili, lakinikukatwo ya kinaume KIROHO kwa Yesu peke yake apana ya mwili, lakini ya Roho. 12 Muli zikwa nae pamoja kwa njiya ubatizo, na mulifufuka nae kwa nguvu ya Mungu akamufufua. 13 Muli kua mumekufa kwa ajili ya zambi yznu kwasababu, ya kutokukatia kinaume yenu, aliwa rudishia uzima kwa sababu alisamee makosa yeyenu yote. 14 Alilipa makosa yetu yote enye ili kuw na tusitaki kwa ukumu yake kusudi tuonekane watu ya makosa. Alilipa zambi yetu kwa musalaba kwa kupigigwa na misumari. 15 Kwa njia ya mu salaba alionesha nguvu namamlaka yake wazi kwa musalaba. 16 Kwasababu ya hii mutu asiwa hukumu tena ukuwe kwa chakula, ao kunga, ata siko ya yenga. 17 Maneno hii ni alama ya maneno enye itayo kiya lakini mwili ya Kristo. 18 Angalia mutu asiwa nya nganye ninyi zawadi yenu, kwa ku nyenyeke mutu kwaakili yake mubaya aho kujitia kwa maono muba ya majewino angalisho na biya ya kimwili. 19 Usipende akuguze kukisho njo inaleta ngu vu kwa mwi muzima mwili yote inajengwa na kisho viungo yote inaunginishwa na kisho yote ni maongezo ya Mungu. 20 Basi kama mulikufa na Kristo, kwa sababu ya zambi, kwa nini tena munarudida zambi: 21 « Musi itike wala, kupima, wala kuguza!» 22 Yote enye kutela ubaya, enye kuyala na fundisho mubaya, ya watu ya dunia. 23 Hii mafundisho inatu teswa kusudi tuteswe sana mwili yetu. Akuna ata faida kwa ile.