Sura 1

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, kufwatana na ahadi ya uzima ilio ndani ya Kristo Yesu, 2 kwa Timoteo, mtoto yangu mpendwa : neema, reema na amani iwe na we kutoka kwa Baba Mungu na Kristo Yesu Bwana wetu. 3 Nashukuru mungu, mwenyeminamutumikia na rohonzimagisi bazee yangu balitumika, na nikikumbuka siku yote katika maombi yangu busiku na mulhana. 4 4Na niko nakumbuka machozi yakona mina penda sana kukuona wese na niko na furaha. 5 5Nakumbuka imani yako eunika, na niko na kubali baishi pamoyanawe. 6 Njo kwasababu ninakumbusha kuendelea kutu mikishakile ulipokea kwa mungu kienye ndani yako na ulikipokea wakati niliki wekea mikono. 7 Kwa sababu mungu asikutupatishia roho ya boga, lakini ya nguvu, wa mapendo na wa eshima. 8 Usione haya kwa ushuhuda ya bwana yetu. wala kwa miye paulo mfungu yake,lakini uvumulie tabu pamoya na habari njema kwa nguvu ya mungu. 9 Ni mungu njo alituokoana akatuita kwa mwito wakweli alifanya hayo sikwasababu ya matendo yetu, lakini kufatana na mipango yake na neema yake. Alitupatisia yote kati na Yesu Kristo,mbele ya mwanzo ya bitu yote. 10 Nasasa okovu wa mungu ilioneli lana kwakuya kwa Yesu Kristo moponyaji wetu. wenye kumaliza kufa na mwenye kuleta maisha ya milele, kwa mwangaza kupitia habari njema. 11 Kwa iyo nili chaguliwa muhubiri mutsungazi na mualimu. 12 Nikwasababu na ile nivumulie mateso, nasinahaya kwasababu najua nani ninahamilia, na nina imani kama iko, na uwezo na kutchunga tiisiku ile kile niliemupa. 13 Chunga kwa imani, na mapendo kile kikondani ya Yesu Kristu,namna ya habari ya kweli ile ulisikia kwangu. 14 Hii mafundisho muzuzi enye mungu alikupatia uitsunge kwa kusaidiwa na roho mtakitifu mwenye kwikala mwaku. 15 Unajua kama bote benye kuishi katika asia balinikimbia,ndani ya kikundi ile uko figele,na hermogene. 16 Acha mungu ahurumie yumba ya onesifore,kwasababu wakati yote alikuwa na nipa ngulu na akusikia haya ya kufungwa kwango, mara ingine. 17 Wakati aliku waku roma, alinitafuta kwa bidisana,na akanipata. 18 Acha mungu amuitikie na apate huruma kwakekwasiku ile,na unajuwa muzurisana namnagani alinisadiaku efeso.