Msemo "akauangukia" ni lahaja ya kuzidiwa. "hadi akaanguka juu ya baba yake kwa majonzi"
"watumishi wake ambao waliangalia maiti"
"kumtia dawa" ni njia maalumu ya kuhifadhi maiti kabla haijazikwa. "kuandaa mwili wa baba yake kabla ya mazishi"
"Wakatimiza siku 40"
"siku 70"
"siku za kumuomboleza" au "siku za kumlilia"
Hapa "baraza la kifalme" ina maana ya maafisa ambao huunda baraza la kifalme la Farao. "Yusufu alizungumza na maafisa wa Farao"
Msemo "machoni penu" ni lugha nyingine yenye maana ya fikra na mawazo ya Yakobo. "Iwapo nimepata kibali kwako" au "kama umefurahishwa na mimi"
Hii ni lahaja yenye maana ya kwamba mtu amekubalika na mtu mwingine.
Hii ina madaraja mawili ya nukuu na madaraja matatu ya nukuu. Hizi zinaweza kuwekwa kama nukuu zisizo moja kwa moja. "tafadhali mwambie Farao ya kwamba baba yangu alinifanya niape ya kuwa baada ya kufa kwake nitamzika katika kaburi ambalo alilichimba kwa ajili yake katika nchi ya Kaanani. Tafadhali muombe Farao aniruhusu niende kumzika baba yangu, na kisha nitarudi.
"Tazama, ninakufa"
Ilikuwa kawaida kutumia msemo "kwenda juu" pale izungumzwapo safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani.
Inasemekana ya kwamba wajumbe wa baraza walizungumza na Farao, na sasa Farao anamjibu Yusufu.
"kama ulivyoapa kwake"
Ilikuwa kawaida kutumia msemo "kwenda juu" inapozungumziwa safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani.
viongozi wote muhimu wa Farao walihudhuria tukio la mazishi.
Huyu mtu alikuwa mshauri wa kifalme.
Hapa "nyumba" ina maana ya baraza la kifalme la Farao.
Hii inaweza kutafsiriwa kama sentensi mpya. "nchi ya Misri. Nyumba ya Yusufu, ndugu zake, na nyumba ya baba yake walikwenda naye"
Hapa "nyumba" ina maana ya familia zao.
Hapa ina maana ya wanamume wanaoendesha ndani ya vibandawazi.
"ulikuwa mkusanyiko mkubwa sana"
Neno "walipokuja" lina maana ya washiriki katika tukio la mazishi.
Maana zaweza kuwa 1) neno la "Atadi" lina maana ya "mwiba" na lina maana ya sehemu ambapo kuna idadi kubwa ya miiba inayoota, au 2) inaweza kuwa jina la mtu anayemiliki sakafu ya kupigia.
"walikuwana huzuni kubwa na walilia sana"
"ya siku 7"
"katika sakafu ya kupigia ya Atadi"
"maombolezo ya Wamisri ni mkubwa sana"
"Jina la Abeli Mizraimu lina maana ya "maombolezo ya Misri"
"Kwa hiyo wana wa Yakobo"
"kama alivyokuwa amewaagiza"
"Wanawe waliuchukua mwili wake"
Makpela ni jina la jina la eneo au sehemu.
Hili lilikuwa jina jingine la mji wa Hebroni. Inawezekana lilikuwa jina baada ya Mamre, rafiki wa Abrahamu aliyeishi kule.
Hili ni jina la mwanamume. "Mhiti" ina maana ya "uzao wa Hethi"
"Yusufu alirudi Misri"
"wale wote waliokuja pamoja nami"
Hapa hasira inazungumziwa kana kwamba ilikuwa kitu cha kimwili ambacho Yusufu alikishika kwa mkono wake. "Je iwapo Yusufu atakuwa bado na hasira na sisi"
Kulipiza mwenyewe dhidi ya mtu mwingine aliyemdhuru inazungumziwa kana kwamba mtu alikuwa akilipa mtu mwingine kile walichodai. "anataka kulipiza kwa uovu tuliofanya kwake"
Hii ina madaraja mawili ya nukuu na madaraja matatu ya nukuu. Zinaweza kuwekwa kama nukuu isiyo moja kwa moja. "Baba yako alituagiza kabla ya kufa tukuambie ya kwamba utusamehe kwa uovu tuliokufanyia kwako"
Yakobo alikuwa baba wa ndugu wote. Hapa wanasema "baba yako" kusisitiza ya kwamba Yusufu anahitaji kuvuta nadhari kwa kile baba yake alichosema. "Kabla baba yetu hajafa alisema"
"kwa mambo maovu waliyokufanyia kwako"
Hii haimaanishi "katika kipindi hiki" lakini inatumika kuvuta nadhari kwa lengo muhimu linalofuata.
Ndugu wanajitambulisha kama "watumishi wa Mungu wa baba yako". Hii inaweza kuwekwa katika lugha ya mtu wa kwanza. "tafadhali tusamehe, watumishi wa Mungu wa baba yetu"
"Yusufu alilia aliposikia ujumbe huu"
Walilala chini kifudifudi kuelekea ardhini. Hii ni ishara ya unyenyekevu na heshima kwa Yusufu.
Yusufu anatumia swali kuwatia moyo ndugu zake. "Mimi sipo katika nafasi ya Mungu" au "Mimi sio Mungu"
"mlikusudia kutenda uovu dhidi yangu"
"Mungu alikusudia kwa wema"
"Kwa hiyo msiniogope"
"Nitahakikisha nyie pamoja na watoto wenu mnapata chakula cha kutosha"
"Aliwatia moyo kwa kuzungumza nao kwa upole"
"miaka 110"
"Watoto na wajukuu wa Efraimu"
Hili ni jina la mjukuu wa Yusufu"
Msemo huu una maana ya kwamba Yusufu alitwaa watoto hawa wa Makiri kama watoto wake. Hii ina maana wangekuwa na haki ya urithi maalumu kutoka kwa Yusufu.
Katika 50:24 neno "atawajilia" lina maana ya ndugu wa Yusufu, lakini pia lina maana ya uzao wake.
Ilikuwa kawaida kutumia msemo wa "kupanda" kuzungumzia safari ya kutoka Misri kwenda Kaanani. "kuwaleta kutoka nchi hii na kuwapeleka katika nchi"
"kumpaka dawa" ni njia maalumu ya kuhifadhi maiti kabla haujazikwa.
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "walimweka"
"ndani ya sanduku" au "katika kasha". Hili ni sanduku ambalo mtu aliyekufa kuwekwa ndani.