"Usichukue"
"Nenda mara moja"
Hili lilikuwa jina lingine kwa ajili ya eneo la Mesopotamia, ambalo lipo eneo sawa na Iraq ya sasa.
Hii ina maana ya vizazi vya mtu au ndugu wengine. "familia"
Bethueli alikwa baba wa Rebeka.
"babu yako"
"kutoka kwa mabinti"
"mjomba wako"
Isaka anaendelea kuzungumza na Yakobo
Neno "kuongeza" unaelezea jinsi Mungu angemfanya Yakobo "azidishiwe". "akupe uzao na watoto wengi"
Hii inazungumzia kuhusu kubariki mtu kana kwamba baraka ni kitu ambacho mtu anaweza kutoa. Nomino inayojitegemea "baraka" inaweza lusemwa kama "bariki". "Na Mungu akubariki wewe na uzao vyako kama alivyombariki Abrahamu" au "Na Mungu akupatie wewe na uzao wako kile alichoahidi kwa Abrahamu"
Mungu kutoa nchi ya Kaanani kwa Yakobo na uzao wake inazungumziwa kana kwamba mtoto alikuwa akirithi fedha au mali kutoka kwa baba yake.
"nchi ambayo ulikuwa ukiishi"
"ambayo Mungu aliahidi kwa Abrahamu"
Hili lilikuwa jina lingine kwa ajili ya eneo la Mesopotamia, ambalo lipo eneo sawa na Iraq ya sasa.
Bethueli alikwa baba wa Rebeka.
Simulizi inabadilika kutoka kwa Yakobo kuelekea kwa Esau
Neno hili linatumiwa hapa kuweka alama ya badiliko kutoka kwa simulizi kwenda kwa taarifa ya nyuma kuhusu Esau.
Hili lilikuwa jina lingine kwa ajili ya eneo la Mesopotamia, ambalo lipo eneo sawa na Iraki ya sasa.
"kuchukua mke kwa ajili yake"
"Esau aliona pia ya kwamba Isaka alimbariki Yakobo"
"Usichukue"
"binti wa Kaanani" au "wanawake wa Kaanani"
Hii inaendeleza taarifa ya nyuma kuhusu Esau.
"Esau akagundua"
"baba yake Isaka hakuidhinisha wanawake wa Kaanani"
"binti wa Kaanani" au "wanawake wa Kaanani"
"Kwa sababu hiyo"
"kwa kuongeza juu ya wake aliokuwa nao tayari"
Hili ni jina la mmoja wa binti wa Ishmaeli.
Hili ni jina la mmoja wa vijana wa Ishmaeli.
Simulizi inabadilika kurudi kwa Yakobo
"Akaja katika eneo fulani na kwa sababu jua lilikuwa limezama, aliamua kukaa usiku"
"Yakobo alipata ndoto"
"chini yake ikigusa ardhini"
Hii ina maana ya sehemu ambapo Mungu anaishi.
Neno la "tazama" hapa linatuamsha kuvuta nadhari kwa taarifa ya kushtukiza inayofuata.
Maana zaweza kuwa 1) "Yahwe alikuwa amesimama juu ya ngazi" au 2) "Yahwe alikuwa amesima kando na Yakobo"
Hapa "baba" ina maana ya "babu". "Abrahamu babu yako" au "Abrahamu babu yako"
Mungu anaendelea kuzungumza na Yakobo ndotoni.
Mungu analinganisha uzao wa Yakobo na vumbi la ardhi kuweka msisitizo ya idadi kubwa. "Utakuwa na uzao mkubwa zaidi ya utakavyoweza kuhesabu"
Hapa neno "utaenea" lipo katika hali ya upekee lakina lina maana ya uzao wa Yakobo. Inazungumzia kuhusu Yakobo kwa maana yeye ni kiongozi wa familia. "na uzao wako utasambaa hadi magharibi"
Hii ina maana ya watu wataongeza mipaka ya ardhi yao na kukaa
kuelekea magharibi, mashariki, kaskazini, na kusini Misemo hii inatumika pamoja kumaanisha "pande zote". "katika pande zote"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitabariki familia zote juu ya dunia kupitia kwako na uzao wako"
Hii inaongeza msisitizo kwa kile kinachosemwa baadae. "Tazama" au "Sikiliza" au "Vuta nadhari kwa kile nachotaka kukuambia"
"kwa kuwa sitakuacha mpaka nitende yote"
"Nitakuweka salama" au "Nitakulinda"
"Nitakuleta katika nchi hii"
"aliamka kutoka katika usingizi wake"
Msemo wa "lango la mbinguni" linaelezea ya kwamba sehemu hii ni kiingilio cha "nyumba ya Mungu" na "mlango wa mahali Mungu anapoishi"
Hii inazungumzia kuhusu mlango ambapo Mungu anaishi kana kwamba ilikuwa ni ufalme halisi ambao ulikuwa na lango ambalo mtu anatakiwa kufungua kuruhusu watu ndani.
Hii ni nguzo ya kumbukumbu, yaani, jiwe kubwa au jabali lililowekwa mwishoni pake.
Tendo hili linaashiria ya kwamba Yakobo anaweka wakfu nguzo kwa Mungu. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "alimwaga mafuta juu yake ili kuiweka wakfu nguzo kwa Mungu"
Watafsiri wanaweza kuongeza maandishi mafupi yanayosema "Jina la Betheli lina maana 'nyumba ya Mungu."
Hili ni jina la mji.
"akafanya kiapo" au "alimuahidi Mungu kwa dhati"
Yakobo anazungumza na Mungu katika lugha ya mtu wa utatu. Hii inaweza kusemwa katika lugha ya upili wa mtu. "Iwapo uta ... basi wewe, Yahwe, utakuwa Mungu ambaye nitamuabudu"
Hii ina maana ya safari ya Yakobo kutafuta mke na kurudi nyumbani. "katika safari hii"
Hapa "mkate" una maana ya chakula kwa ujumla.
Hapa "nyumba" ina maana ya familia ya Yakobo. "kwa baba yangu na familia yangu iliyosalia"
Hii ina maana ya kwamba jiwe litaweka alama ya sehemu ambayo Mungu alijitokeza kwake na itakuwa sehemu ambapo watu watamuabudu Mungu. "nyumba ya Mungu" au "sehemu ya Mungu"