Huu ni mwanzo wa orodha ya uzao wa Adamu.
Msemo huu unamaanisha ya kwamba Mungu aliumba binadamu amfanane yeye. Mstari huu hausemi ni kwa namna gani Mungu aliumba wanadamu wawe kama yeye. Mungu hana mwili, kwa hiyo haimaanishi watu wangekuwa kama Mungu. "kuwa kama sisi"
Hii inaweza kufanywa katika hali ya kutenda. "alipowaumba"
Watafsiri wanaweza kuandika tarakimu "130" na "800" au maneno "mia moja na thelathini" na "mia nane".
"akamzaa mwana wa kiume"
Misemo hii miwili inamaana moja. Inatumika kama kumbukumbu ya kwamba Mungu alimuumba binadamu katika mfano wake.
Sethi
"Akawa na wana zaidi wa kiume na kike"
Msemo huu utarudiwa katika sura yote. "Kisha akaafa"
Watu walikuwa wakiishi muda mrefu sana. "Adamu aliishi jumla ya miaka 930"
Hapa "baba" inamaana ya baba mzazi, na sio babu. "akamzaa mwana wake wa kiume Enoshi"
Hili ni jina la mtu
"na akawa na wana zaidi wa kiume na kike"
"Sethi aliishi jumla ya miaka 912"
"Kisha akafa"
Kumbukumbu za Mwanzo 5:6-27 zina mfumo mmoja.
Kumbukumbu za Mwanzo 5:6-27 zina mfumo mmoja.
Kumbukumbu za Mwanzo 5:6-27 zina mfumo mmoja.
Kumbukumbu za Mwanzo 5:6-27 zina mfumo mmoja.
"akapata mwana wake wa kiume Methusela"
Hili ni jina la mwanamume
Kuenenda na mtu ni sitiari ya kuwa na uhusiano wa karibu na yeye. "Henoko alikuwa na uhusiano wa karibu na Mungu" au "Henoko aliishi kwa umoja na Mungu"
"Akawa na wana zaidi wa kiume na kike"
"Henoko aliishi jumla ya miaka 365"
Neno "alitoweka" linamaanisha Henoko. Hakuwa duniani tena.
Hii inamaana Mungu alimtwaa Henoko awe naye.
Kumbukumbu za Mwanzo 5:6-27 zina mfumo mmoja.
Lameki huyu ni tofauti na Lameki wa 4:18
"akapata mwana wa kiume"
Jina hili linafanana na jina la Kiyahudi lenye maana ya "pumziko".
Lameki anasema jambo hilo hilo mara mbili kusisitiza jinsi kazi ilivyo ngumu. "kwa kufanya kazi sana kwa mikono yetu"
"Lameki aliishi jumla ya miaka ya 777"
"akazaa watoto wake wa kiume". Hii haituambii kama wana wa kiume walizaliwa katika siku moja au mika tofauti.
Yawezekana wana hawa wa kiume hawajaorodheshwa kufuata kuzaliwa kwao. Kuna mjadala kuhusu nani alikuwa mkubwa. Epuka kutafsiri haya majina na kuonyesha ya kwamba orodha ipo katika mpangilio wa umri wao.