"binadamu" au "Adamu"
"akamjua"
Neno la "mwanamume" linamuelezea binadamu wa kiume, tofauti na mtoto mchanga au kijana. Kama hiyo italeta kuchanganya, inaweza kutafsiriwa kama "kijana wa kiume" au "mvulana" au "mtoto mchanga wa kiume" au "
Watafsiri wanaweza kuweka taarifa fupi ambayo inasema "Jina la Kaini linafanana na neno la Kiebrania linalmaanisha "zaa". Hawa alimuita Kaini kwa sababu alimzaa.
Hatujui ni muda gani ulipita katikati ya kuzaliwa kwa Kaini na Habili. Yawezekana walikuwa mapacha, au Habili alizaliwa baada ya Hawa kupata mimba tena. Kama
Hii ina maana alifanya kila kitu alichopaswa kufanya ili kwamba mimea iweze kuota vizuri.
Msemo huu unatumika kuweka alama ya mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. Kama lugha yakoin njia ya kufanya hivi, basi tumia njia hii.
Maana yake yaweza kuwa 1) "baada ya muda kupita" au 2) "kwa muda sahihi"
Hii inamaanisha chakula kilichotoka kwa mimea aliyoitunza."mazao" au "mavuno"
Hii inamaanisha sehemu zilizonona za kondoo alizoua, ilikuwa ni sehemu bora zaidi ya mnyama. "baadhi ya sehemu zao zilizonona"
"alipendezwa naye" au "alifurahishwa naye"
Baadhi la lugha zina lahaja kwa neno hasira kama "aliwaka" au "hasira yake iliwaka".
Hii ina maana muonekano wa uso wake ulionyesha ya kuwa alikuwa amekasirika au ana wivu. Baadhi ya lugha zina lugha ambayo inaelezea sura inavyoonekana anapokuwa na hasira.
Mungu alitumia maswali haya la balagha kumwambia Kaini ya kwamba hakuwa sahihi kuwa na hasira na kukunjamana sura. Yawezekana yalitumika kumpatia Kaini nafasi ya kutubu makosa yake.
Mungu alitumia swali hili la balagha kumkumbusha Kaini juu ya jambo ambalo Kaini alipaswa kulifahamu. "Unajua ya kwamba ukifanya lilio sahihi, nitakukubali"
Mungu anazungumzia dhambi kana kwamba ni binadamu. "Lakini kama hutafanya kilicho sahihi, utatamani kufanya dhambi zaidi, na kisha utatenda matendo ya dhambi. Unatakiwa kukataa kuitii"
Hapa dhambi inazungumziwa kama mnyama mwitu hatari anayesubiri nafasi ya kumshambulia Kaini. "utakuwa na hasira sana utashindwa kuizuia dhambi"
Lugha ambazo hazina nomino yenye maana ya "dhambi" zaweza kutafsiri hii kama "tamaa yako kutenda dhambi" au "mambo mabaya unayotaka kufanya".
Yahwe anazungumzia tamaa ya Kaini kutenda dhambi kana kwamba ni mtu ambaye Kaini anapaswa kumtawala. "unapaswa kuitawala ili usitende dhambi"
Baadhi ya lugha zinahitaji kuongeza taarifa inayojitokeza ya kwamba Kaini alizungumza na ndugu yake kuhusu kwenda mashambani.
Habili alikuwa ndugu yake Kaini. Baadhi ya lugha zinaweza kutumia neno kwa ajili ya "ndugu mdogo"
"alimshambulia"
Mungu alijua ya kwamba Kaini alimuua Habili, lakini alimuuliza Kaini swali hili ili Kaini aweze kujibu.
Kaini alitumia swali hili la balaghaili kukwepa kusema ukweli. Hii yaweza kutafsiriwa katika msemo. "Mimi sio mlinzi wa ndugu yangu!" au "Kumtunza ndugu yangu sio kazi yangu!"
Mungu alitumia swali la balagha kumkaripia Kaini. Hii yaweza kutafsiriwa kama msemo. "Ulichofanya ni kibaya"
Damu ya Habili ni lugha kwa ajili ya kifo chake, kana kwamba ni mtu anayemwita Mungu kumuadhibu Kaini. "Damu ya ndugu yako ni kama mtu akiniita kumuadhibu yule aliyemuua"
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Ninakulaani ili usiweze kuotesha chakula kutoka ardhini"
Mungu anazungumzia ardhi kana kwamba ni mtu awezaye kunywa damu ya Habili. "ambayo imelowa kwa damu ya ndugu yako"
Mungu anazungumzia mkono wa Kaini kana kwamba umemwaga damu ya Habili katika "mdomo" wa ardhi. "iliyomwagwa ulipomuua" au "kutoka kwako"
Hii inamaanisha kufanya kila liwezekanalo ili mimea iweze kuota vizuri.
Ardhi inapewa utu kana kwamba ni binadamu anayepoteza nguvu. "ardhi haitakuzalia chakula cha kutosha kwa ajili yako"
Unaweza kuunganisha maneno haya pamoja. "mkimbizi asiye na makao"
Msemo wa "uso wako" unawakilisha uwepo wa Mungu. "Sitaweza kuzungumza na wewe"
mtu asiye na makao
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitachukua kisasi juu yake mara saba" au "Nitamuadhibu mtu yule mara saba kwa ukali kama navyokuadhibu"
"hatamuua Kaini"
Ingawa Yahwe yupo kila mahali, lahaja hii inamzungumzia Kaini kana kwamba alienda mbali sana. "aliondoka kutoka mahali ambapo Yahwe alizungumza naye"
Neno Nodi linamaana ya "mkimbizi"
akamjua
"Kaini akajenga mji"
Inasemekana ya kwamba Henoko alikuwa na kuoa mwanamke. "Henoko alikua na kuoa na akawa baba kwa mtoto ambaye alimuita Iradi"
"Iradi alipata mtoto na kumuita Mehuyaeli"
majina ya wanawake
majina ya wanawake
Maana yake yaweza kuwa 1) "Alikuwa binadamu wa kwanza kuishi hemani" au 2) "Yeye na uzao wake waliishi hemani"
watu wanaoishi hemani na kufuga wanyama
Maana yake yaweza kuwa 1) "Alikuwa mtu wa kwanza kupiga kinubi na filimbi" au 2) "Yeye na uzao wake walipiga kinubi na filimbi".
"Yubal Kaini. alitengeneza vyombo vya shaba na chuma"
Hii ni metali yenye nguvu sana iliyotumika kutengeneza vyombo, vifaa na silaha.
majina ya wanawake
lameki alisema jambo moja mara mbili kuonyesha msisitizo. Sauti yake ni lugha nyingine kwa utu wake wote. "nisikilizeni kwa makini"
Lameki alimuua mtu mmoja tu
"kwa sababu alinijeruhi ... kwa sababi alinichubua" au "kwa sababu aliniumiza"
Lameki anajua ya kwamba Mungu atalipa kisasi kwa ajili ya Kaini mara saba. "Kwa maana Mungu atamuadhibu yeyote atakayemuua Kaini mara saba, Lameki"
mara saba - Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "yeyote atakayeniua, Mungu atamuadhibu mara sabini na saba"
saba - 77
akamjua
Hii ni sababu ya yeye kumuita Sethi. Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "na ikaeleza, 'Mungu amenipa mtoto mwingine'"
Hili jina linaonekana kama neno la Kiyahudi lenye maana ya "amenipatia"
Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "mke wa Sethi alimzalia mtoto wa kiume"
Hii ni mara ya kwanza watu wanamuita Mungu kwa jina la Yahwe. Hii inaweza kuwekwa dhahiri. "kumuabudu Mungu kwa kutumia jina la Yahwe"