Sura 6

1 Nyuma ya ile maneno, yesu alienda ngambo ya bahari ya mungini Galilaya, ba na huita tena Bahari Tiberia. 2 Batu mingi baliona mi iutiza na mambo makumbwa njo balimufata. 3 Ali ikala chini na mwanafunzi wake ngambo ya mulima. 4 ( Kumbi feti ya pasaka juu ya ba yuda ilikuwa pembeni). 5 wakati Yesu ali angaliya, anakaona batu mingi ba na mufata; Aka muliza Filipo : tuta uza mikati wapi ya kukulisha batu mingi ivi wapi. 6 (Kumbi Yesu ali uliza mutume wake Filipo juu ya kumipima kwa sababu alijuwa zamani nini ta pitikana). 7 Filipo alimujibu: «Makuta miya mbili haita weza kuuza mikati juu kila mutu apate ata kidogo. 8 Moya na mitume ndungu ya Simoni Petro, Andre, akisema. 9 Apa kuko na kijana mwanaume moja, iko na mikati tano pia na samaki mbili: ita fanya nini ku batu mingi biko apa? 10 Yesu akasema « muikalishe kwanza batu» ( Ile fasi myani ilikuwa mingi kusha wtu wakaikala chini, balikuwa elfu tano abo bote. 11 Njo Yesu akakamata mikati ili akaiombea, küsha aka kabuliya bale bali ikala chini; akaba patia pia samaki. 12 Wakati batu balishiba, akataleta hoda kwa wamitume, «mulakote bipandi enye ili bakia, kusi poteye ata kipanded moja». 13 Wakati bali lokota bipande ya mikati enye ilibakiya, kisha kula wali jaza bitunga kumi na mbili. 14 Wakati watu waloina miujiza ile pia wakisema « Kweli uyu njoo nabihi mwenye alipasha kuya hu duniya». 15 Nyuma ya maneno aya, batu walipenda kumukamata Yesu juu bamu weke mufalme küsha ile fasi, akyendaye peke juu kilima. 16 Mangribi iliyo fika, mitume,balishuka pembeni yabahari. 17 Balipanda ku mutmbu juu ba vuke ngambo ya mayi kwa kwenda kapernahumu. Ile wakati busiku ilikuwa nabo pamoja. 18 Mupepeo ilikuwa nguvu sana pia muzavumba ya zaidi. 19 Nyuma ya kutoka ku kivuko ku urefu ya metre makumi bili na tano, bakaona Yesu Iko na tembeya juu ya mayi iko na kuya kwenye biko baka ogopa. 20 Küsha akasema «Ni miye,musiogope.» 21 Alikaribiya mutumbu mara moja bakagusa bulomo ku baka enda 22 Sikuikaya bale batu benye balibaki ngambo ya mayi ya b ahari bali angaliya bakasem modele gani Yesu alienda, ijapokua mutumbu ya mwisho njoo mitume bali enda nayo pia mitume balienda bo peke. 23 Saa ingine mutumbu ingine enye ilifikatiberiade pale kwenye Yesu aliomba mikati. 24 Wakati batu balijuwa Yesu iwe mitume aba kukawa pale, bakapanda ku mutumbu pia bakaenda kutafuta Yesu kapernaum. 25 Wakati balimu ona Yesu baka muuliza « Afande ulifika apa mamna gani?» 26 Yesu alibajibia «kweli,kweli muna nitafuta ahiko juu muliona miugiza,juu mulikula pia mukashiba mikate. 27 Mwache kutumi kua chakula ya kuharibika, basi mitumi kie chakula ya ku dumu ku uzima ya milele». 28 Pia wakamwambiya « tufanye nini juu ya kutuka ku kazi ya Mungu?» 29 Yesu ana ajibu«mu angaliye kazi ya Mungu;juu muna amini ule menye bali mutuma.» 30 Bakamwambiya «Uta tuongesha miyujiza gani juu kutuamini, uta fanya nini?» 31 Wa baba yetu balikula mana mbukani, ginsi iliandikwa: Alibapatshiya mikate ya kula yenye kutoko mbingu.» 32 Pia ya akawambia «kweli kweli musa njoo alibapatia mikate ya mbingu kumbi baba yangu njoo alibapatia mikatie ya kweli ya mbingu. 33 Mukate ya Mungu njoo ile enye ina chuka mbingu yenye inaleta uzima duniani.» 34 Bakasema «Bwana utu patishie ile mikate kula siku.» 35 Yesu akawambiya «Kikomukate ya uzima; ule mwenge ata kuya kwangu ahata sikiaka tena njala pia ule mwengye ata nisadiki atakuwa na kuhu tena. 36 Mara ingine naliba ambiya :«mulimona kumba amuni amini.» 37 Bote benye boba yanga alimpa bita kuya kwangu na sita batupa. 38 Miye njoo nalishuka mbinguni siku jafanya mapashwa yangi basi kutumiza ile baba yangu. 39 Ta zama mapashwa ya mwenye alituma «nisi poteze mutu moja hu bali alinipata juu ni nibafufue siku za mwicho. 40 Hiyi njo mapachwa ya baba: wowote ata ona mwana na kumuaminiata pota uzima ya milele kusha ta miufufula siku za mwisho» 41 Viongozi ya bayuda bana nungunika juu Yesu ana sema yeye iko mukate amba inashuka mbingu pia bakasema: 42 «Si Yesu uyu Yusufu na Maria njoo bazazi yake bana julikana, mole gani «Anasema nashuka mbinguni?» 43 Yesu akajibu mara moja «ma nunguniko ishele ndani mwenu. 44 Akuna mwengye anaweza kuya kwangu bila baba kumuleta kwangu njoo nita mufufla siku za mwisho. 45 Ime andikwa na monabi " Bote bata fundishwa na Mungu kwa wote watasikia njoo wana soma kwa Mungu" bona toka kwangu. 46 Akuna mwenye aliona Mungu kabla ule mwenye alitoka kwa Mungu, ye njoo aliona baba. 47 Kweli kweli ule mwenye ana amini iko na uzima ya milele. 48 Niko mukate ya uzima. 49 Bazazi yenu balikula mana ku jagwa balikufaka. 50 Sasa hiyi njoo mukate inashuko mbingu juu ule ataikula ahata kufa. 51 Niko mukate ya uzima yanye atahishi milele . Mukate enye nituwa patia ni mwili wangu juu ya uzima ya dunia.» 52 Bayuda bakanungunika pia baka sirika bak sema «Modele gani uyu mutu atapatia batu mwili yake juu bakule?» 53 Yesu akawambia tena«Kweli kweli kama amukule mwili ya mwana damu, na kuku nya damu yake ahuta pata uzima ndani yenu.» 54 Uli atakula mwili wangu na kuny wa damu yangu atapata uzima wa milele, ntamufufula siku zamwisho . 55 Mwili yangu njo chakula kizuri pia damu yangu nikunywaji nzuri. 56 Mwenye ana kula mwili yangu na kuku nyua damu yangu, nitakuwa pamoja nami yeye pamoja na mi. 57 Ginsi Baba mwenye alituma iko mzima, niko hai ku mapenzi yake, na ule wote mwenye ata ata niweka ndani yake, ataishi juu yangu. 58 Hiyi njoo mukate anye ilishuka mbinguni, ahiko ile enye bazazi yenu balikula jagwani küsha walikufa. Mwenye atakula hiyi mukate ata ishi milele. 59 Yesu alisema maneno hile ndani ya kanisa ya kapernaum kwenyea ali kuwa na uburi. 60 Wakali mitume basiliokia maneno hile, baka sema «mahubiri iyi inakuwa nguvu nami atasikiya tena?» 61 Wakati Yesu alioma mitune wa nanunguhika sana, akasema «Nime wakwanza?» 62 Wakati muta ona mwana damu anapanda kwenye alikuwa mbele, 63 Roho damu njoo inaleta uzima, mwili ahina faida, na meno enye na wahabiya ayo njoo Roho pia uzima. 64 Ndani yenu kukingali batu benye aba ni amini tangia zamani Yesu alijuwa bale benye abata mwamini njoo mwenye ata mutowa. 65 Ime andikwa juu ya ya maneno aya akuna mwenye atakuya kwangu bila Baba kunitumiya. 66 Nyuma ya ile maneno mitume wengine walienda pia walikatala kutumbeya naye. 67 Yesu ana uviza mitume kumi na mbili «Nyi ye pia amupende kwenda?» 68 Simoni Petro akamujibu:«Twende tena kwa nani? Uku na nemo la uzima. 69 Tuliisha sadiki tu na juwa kama weye uko mutakatifu wa Mungu.» 70 Yesu akasema, nyiye kumi na mbili ni miye njoo nalibachagua, lakini moja kati yenu iko shetani ? 71 Alikuwa na semeya Yudasi mtoto wa simo iscariota, yeye njoo kati na kumi na mbili ule ata mutowa.