Sura 5

1 Mimi mzee kati jenu na mushuda ja mateso ja Bwana ambaye na umoja katika utukufu itakaya. 2 Kuna kitumaini kwenu iongoji, moagoje bila kuwasumbua walio chini ja wongoji wenu aiko kwa mapenji jenu lakini kufatana na mapenji ja Mungu, musipende pesa ja faida, lakini kwa upendo 3 Musikue biongoji junja watuwaliyo chini jenu lakini mwe na mifano mjuri. 4 Wakati mlinzi mukuu atarudi mtapewa taji ja utukufu. 3 Musikue biongoji junja watuwaliyo chini jenu lakini mwe na mifano mjuri. 4 Wakati mlinzi mukuu atarudi mtapewa taji ja utukufu. 5 Kwenu vijana muwena kutii waliyo vigongoji wenu. 5 Kwenu vijana muwena kutii waliyo vigongoji wenu. 6 Mungu hafurahiake wenye kujivina mbele jake. Kwa hiyo mkae chini ja mkono wa Mungu na atawabariki. 7 Muwe na tumaini kwake yeye alie wapendo. 6 Mungu hafurahiake wenye kujivina mbele jake. Kwa hiyo mkae chini ja mkono wa Mungu na atawabariki. 7 Muwe na tumaini kwake yeye alie wapendo. 8 Mutambuwe, sababu sheteni ako anatafuta nani atakula sawa vili simba. 9 Msamame na nguvu na muwe natumaini, sababu watu wengine nao, walipite kwa hui magumu (mateso). 10 Kiisha ile mateso, Mungu mwenye neema tele, alie waite kwa utukufu katika mokomboji, atawapa nguvu. 10 Kiisha ile mateso, Mungu mwenye neema tele, alie waite kwa utukufu katika mokomboji, atawapa nguvu. 11 Sifa iwe kwake siku jote. Amina. 11 Sifa iwe kwake siku jote. Amina. 12 Nawandikia hii kidjo kwa njia ya Silwano kama vile mpenji na ndugu maminifu natumainia na ninajua kwamba jote nimeandikia kwa neema ja Mungu. Simameni katika neno la Mungu. 12 Nawandikia hii kidjo kwa njia ya Silwano kama vile mpenji na ndugu maminifu natumainia na ninajua kwamba jote nimeandikia kwa neema ja Mungu. Simameni katika neno la Mungu. 13 Waminifu aliyo kuwa mjini BABELE walio chaguliwa pamoja manji wa nawasalimia ata mtoto yangu MARKO naye anawasalimu. 14 Musalimiane niye kwa niye kwa furalia na amani ikuwe pamoja nanyi molio kuwa katika Kristo. 13 Waminifu aliyo kuwa mjini BABELE walio chaguliwa pamoja manji wa nawasalimia ata mtoto yangu MARKO naye anawasalimu. 14 Musalimiane niye kwa niye kwa furalia na amani ikuwe pamoja nanyi molio kuwa katika Kristo.