Sura 4

1 Vile Kristo alitesaka kupitia alitesaka kupita muili, tu vale sila zote vitetu. Ye a liteseka katika mwili, a metosha zambi. 2 La kini ule a naendeleya kuisi katika tamoa zamwili; mbali na mapenzi ya Mungu, kwa maisha yake. 3 Watalipa kazi yote kwake aliye tayazisha hukumu hukumu ku mabaya yote waliyo fanyo katika mwi wazambi, thuli, ulevi, na ma neno ya kufua nana. 4 Vile siye tu na jitenga na Zambi ju tu fanye maneno sawa nao njo vile wana sema mabaya ju yetu. 5 Wenye Zambi wata simama mbele yake ju ya ukumu. 6 SAbabu nao walikiya neno la Mungu kama na siye katika mwili zao. 7 Ya mahana kwenu mujuwe kama kama mwisho wa mambo yote uta wa. 8 Lakini ku mambo yote muwe na nguvu, upenda, ju upenda awusemi mabaya. 9 Mupokeyane, mukuke aribishane bila ubaguzi. 10 Vile ndani yenu mulipokeya vipaji muhitumikishe kama watumishi wenge walipata vipaji na baba Mungu. 11 Ikuwe kama mutu mishe a na onyeya, ana sema, awatenda kazi, ikuye kwa Mungu njo utukufu imurudiliye mungu kupitiya kwa Yesu Kristo. 12 Wapendwa nusi sabu kama kila jaribu ni ya nuda kidogo ndaniyenu. 13 Tena tuki zidi mu ile mateso, furahani ju ni mufana wa bwana wetu Yesu aliteseka vile vile. 14 Ata kama tu me chekelewa ju ya sina la bwana wetu Yesu, tu na barikiwa na roho ya mungu ndani yetu. 15 Lakimi asikuwe kama mwenge kutesa ju ya mambo mubaya kama wengine. 16 Lakini ukite seka kama muklisto ufurayi kabisa. 17 Wakati ime fika wa kusambisiwa katika ngumba wa Mungu. Nakama ina hanziya kwetu siye itakuwa je kubenye aba juwi Mungu (wapagani). 18 Tena kama mwenye takatifu ana okolewa na magumu, itakuwa je kwa bale benye zambi? 19 Sasa ju ya bale benye bana teseka ju ya kupana mwili yabo kwa muumba mwa minifu ili ha liwa kile nda mema.