Sura 1

1 Miye mutumishi wa Yesu Christo Petro, mina andikiya bageni bote, benye balisambalana, na batumishi bote ba migini mbalimbali, katika Ponto yote, Galatiya, kapadokiya, Aziya na migini ingine mbalimbali. 2 Kupitiya mawazo ya bwana mungu, na kwa kutakaswa na Roho mutakatifu, kufata na na eshima ya Yesu Christo, kwadamu yake ya beyi, Neema ya mungu, ikuwe, na salama yenu yongezeke zaidi. 15 kama vile Yesu nimutakatifu, na mweye mukuwe batakatifu kati na maisha yenu yote muzima. 16 Kama sababu ili andikwa, mukuwe watakatifu, sa vile miye niko mutakatifu. 17 Na wakati muta ombamungu, yeye atalipa kila mutu, kufatana na matendo yake, mutembeje maisha yenu muzuri na utakatifu. 18 Mujuwe kama aiko juu ya makuta, walakwa zahabu, bitu bi baya, ndjoo tuli okolewa ka tika Zambi? 19 Nikwajili ya damu ya bei, ya Yesu Christo mutoto wa ko,dolo mwenye ana bubaya wala kilema. 20 Yesu Christo, ali chaguliwa kuto keya mwango wa duniya kama nguzo ya duniya, la kimi sasa, kwa ma siku iyi ya mwisho, ana onesh wa kwenu, 21 Na muna mwamini mungu kupiti ya Yesu, uyu Mungu ali fufula toka bafu, na aka mupa uwezo kwasababu imani yenu ikuuze kwa mungu. 22 Mu fanye ma Rohayenu, ikuwe safi, kwa ku mu eshimiya Yesu, kwa sa babu ya upendo wake wa kweli, basi mupendane mweye bote, kwa moyo moya. 23 Muna isha zaliwa mara ya pili, si kwa mbeko ya kuoza, la kimi kwa mbeko muzima, kupitiya neno ya mungu ya uzima. 24 Kwasababu ma ungu yote ina fanana na mayani, na sifa yake yote iko kama mauwa ya ma yani, kama mayani ina kauka na ma huwa ina fubala. 25 Kwala kini, neno ya Mungu ita bakiya milele, iyi nihabari njema ya kweli ina tangaziwa kwenu.