Sura 2

1 Kwa hivi muweke pembeni bubaya bote, bongo yote, chupika bwivu kukosa kusema kweli, tamoa na kuse makanya yote. 2 Sa vite batoto banatoka kuzalikwa, banakuyaka na hamu sana ya majiba ya mama yaka, na shiye tunyo. Nye majiba yaki rohojure tukomeye ndani ya wokovi kama munapima kusema bwana ni mwema, mukupe kwake. 3 Yeye njo igiwe ya nzima ile watu walikatalaka, lakini Mungu ana ichakula na kuyipatia bei sana. 4 Mwenye baku mwamini mukomaibwe majima munayenga yulu yake, kushimamisha nyumba ya ki rohop juu ya bukuhani bwa kiroho munachoma matoleo ya ki roho ya ku pendeza Mungu kupitia Yesu. 5 Na mandiko yenye inaisha kusema: "Mu one mina weka katikati ya Ziona jiwe la musingi, yaku chakuliwa na ya bei sana. 6 Neno la Mungu lina sema, nanitia jiwe la pembeni katika Sayuni kila mutuana mu amini yeye haweze kupata haya. 7 Hivi kavumu ni yenu baku mwamini. Lakini ile " jiwe nayenga walikatala njo inaweka chini mu koma ya nyumba" na " inakuwa jiwe yaku kwaza watu na mwamba ya vundja watu. 8 Waku jikwa ko ni wale wanakala kwamine ile neno yenye wali wahumiaka. 9 Lakini mweye njo kizazi takatifu, muko wa kuhani tena wafalme benye inchi bakuchaliwa batu benyeku kombolewa na Mungu, juu mutangaze buzuri bote bwa Mungu ule ali mi tia kutoka mu giza na kuya mu muru yake yakushangaisha. 10 Zamani hamuku kuwa watu. lakimi sasa munakuwa batu ba Mungu. Mbele Mungu ashikwanze kumishiriya buluma, lakini apa sasa, Mungu anamishikiriya buluma. 11 Wanduku wapendwa, namisubutisha, mwe Bageni na bapita njia, muji epushe kuma tamaa yote ya mwili ile inakomanisha riohi. 12 Mukuye tukatikati ya bapakano mwenendo muzuri, juu, pale beko banalandia aseme muko batenda Nzambe, baone matendo yenu mazuri, batatukuza Mungu ile siku atawatembelea. 13 Ju ya heshima ya Bwana, mwamze tukutiibenye ma cheo bote, kwanza na mufalme juu yewe ni mtawala mukubwa. 14 Ao kwa liwali juu yeye anakwa na kazi ya pika watenda maboya na kutapa kama muko munatenda bizuri. Inakuwa mapenzi ya Mungu kama muko munatenda bizuri, mufunge kinwa kya wasiya akili na wakukosa kujua. 15 Hivi muko watu wenye uhuru, ile uhuru yenu isikuye kifiko ya mambo mubaya, lakini mukuye kabisa wa tumushi wa Mungu. 16 Muheshimie tu watu ote mukuye na mapendo kwa wa Kristu. Mu mu ongope Mungu Mumutii mufalme. Mwe batumwa muba tii bakubwa yemu ba kazi. Haina tu paka bale ba roho muzuri ao bapote mubatii ata wale wama roho mubaya. 17 Juu ni heshima na funga roho katika maumivu yenye hauna bubaya. 18 Lakini haina eshima kama mutu anapikwa juu ya Zambi yake alitenda. 19 Lakini kama mukutende bizuri una tesekea mp, ni kavumu ya muzuri mbele ya Mungu. 20 Ndjo yenye Mungu alimi itia. Juu na Kristo mwenye we aliteswa juu yetu, anatu onesha mufano nanjia ya sisi kufwata mu mukulu yake. 21 Ule asikufanya Zambi, tena mukimwa yake hamukutoka bongo ata kidogo. 22 Pale balianza kumuchambula, yeye asikurudisha matushi. 23 Pale balimuteswa hakuwa ongopesha, lakini ali weka roho kwa ule atakata maneno yate sawasawa. 24 Jeye ahibeba zambi yetu ndaniya maungu yake yulu ya muti, juu sisi tusi kuwetena bu rafiki na zambi na juu tu kuwe tu mu maisha ya haki kwa mapiko alipaka, munapona kwa magonjwa. 25 Bote mulianza kuhangaika kama kondoo ya kupotea, lakini apa munarudia kwa mu chungaji na waku ongaza ma roho yenu.