Sura ya 3

1 Hii neno niya mahana na kweli, kama mtu ana penda kuwa muze wa kanisa, ana chaguwa kazi mzuri. 2 Ina lomba na Mze asikuwe na mfano mubaya. Ina mulomba akuwe bwana mke moya, mtu wa kushusha roho, wa kusema paka kweli, kwa matendo ya muzuri wa kika ribisha bageni, na ana juwa kufundisha. 3 Asi kunye pombe, asikiwe mtu wa bukonvi, asikuwe mtu wa nvita na batu, asikuwe na tama ya feza. 4 Ina mulomba a juwe kuongoza nyumba yake mwenyewe, ku eshimisa batoto yake na eshima ya kweli. 5 Lakini kama mtu awezi kuongoza nyumba yake mwenyewe je ata ongoza kanisa la Mungu? 6 Asikuwe mwa minifu wa sasa ju asianguke mu uku wa ma jivuno, na kuanguka mu iyi kibaya. 7 Ina mulomba akuwe na ushuuda muzuri na batu ba inje, ju asikuanguke na mitezo ya shietani. 8 Na bachemashi nabo pia inabalomba bakuwe na mufano muzuri, ba sikuwe benye kinywa mbili. Asi kuwe mtu wa kuku nywa pombe ya kupita, wala mwenye tama ya pes. 9 Ina mulomba achunge ukweli yenye ime fumbiya ku imani pamoya na zamiri safi. 10 Ina mulomba ajipime kwanza, vile abaua makasa batatumika. 11