Sura 24

1 Yesu alitoka kuhekalu anarudia kwake. Banafunzi wake baka musungelea na banomoonyesha majengo ya hekalu. 2 Lakini alibajibia, «Hamuyaona bado mamboile yote ? Kweli nabaambia, hakuma lijewa hata moja enye itabakia yulu ya lijewa ingine bila kuanguka.» 3 Alikuwa anaikala yulu ya mulima ya olivia, banafunzi bake bana mufuata na bakamuliza «Utuambie ile mambo yote itafanyika wakati gani ? nini itaonyesha alama ya ku kuya yako mwisho wa dunia?» 4 Yesu alibajibia na akabaambia: «Mujichunge na mutu asibaola nganye. 5 Kwa sababu batu mingi batakuya mu jina yangu na batasema: « Miye njo Kristo», na batu mingi batapotea. 6 Mutasikia vita na malalamiko ya vita. Musichanganike bichwa, ju inaomba mambo iyi ifanyikike; lakini, haiko bado mwisho. 7 Kwa sababu taifa moja ita simamia taifa ingine; na ufalme ita simamia ufalme ingine. Kutakuwa na njala na matetemeko ya udongo ma fasi mbali. 8 Lakini ile yote iko mwanzo ya maumivu tu ya buchungu ya kujifungua. (Uchungu ya kuza yu mwanamuke). 9 Nji vile batapana ju ya mateso na ku bauwa. taifa yote itabachukia ju ya jina yagu. 10 Bamingi kawa nakusalitiana na batachiana bao benyewe. 11 Banabii mingi ba bongo batakuya na batala nganya batu mingi. 12 Njo maana uovu itaonzeka, mapendo ya bamingi itapota. 13 Lakini ule mwenye atarumilia mpaka ku mwisho, atapona. 14 Hiyi nemo mzuri ya ufalme wa mbinguni itaubiriwa dunia mzima kama ushuhuda kwa mataifa yote. Kisha ile mwisho wa dunia itafika. 15 Njo maana, wakati maona mambo mabaya enye alisema nabili Daniele inamama fasimutakatifu (mwenye anasema aelewe), 16 bale benye bako Yudea bakimbie ku milima, 17 yule mwenye iko yulu ya nyumba asishuke chini kukamata kitu ndani ya nyumba yake, 18 na yule mwenye iko ku mashamba asirudie ju ya kukamata manguo yake. 19 Ole yabo benye biko na mimba pia na benye bananyingesha mu ile siku. 20 Muombe sana ju kumbia yenu isikuwe wakati ya balidi, wala siku ya sabato. 21 Kwa kuwa mateso kabambi enye haiyafanyiwaka kuanzia mwanzia mwazo wa dunia mpaka leo iyi na enye haita kuwaka tena. 22 Kama siku haingukuwa mufipi, hakungi kuwa ata na mutu moya mwenye ange pona. Lakinijuya bataule bamoufupisha. 23 Kwa hiyo kama mutu yote anakwambia: « Angalia, Kristo iko apa! au Kristo iko kule musi mu amini. 24 24Kwa sababu kutakuya ba Kristo babongo na banabii babongo na bataonyesha ishashara (malama) kabambi na majabu ju ya kupoteza, kama inawezekana ata na bateule. 25 25Angaliya nabaambia mbele iyo mambo ifeke. 26 Kwa hiyo kama banamiambia:«Kristo iko ku majangwa, musiende kule.» Au angalieni, iko ndani ya nyumba musitika ile maneno. 27 Kama vile radi anamulika na kuagaza ngambo yote, njo vile itakuwa ku kuya wa mutoto wa mutu. 28 Kwenye kuko nyama, njo kwenye taiwanaku sanya. 29 Kisha ile siku ya mateso kubwa, jua itageuka giza, mwezi haitatosha mwangaza wake, manyota itaanguka kutotayulu, na nguvu ya mbinguni itatikisika. 30 Kisha muzija wa mutoto wa Mungu itaeanekana na yulu, na bakabila yote ya dunia bataumboleza. Bataona mutoto wa mutu atakuya ndani ya mawingu ya angani kwa nguvu na utufuku. 31 Atatuma malaika bake kwa sauti kabambi ya tarumbeta, nabo batakusonya pamoja bateule bake kutoka upande ina ya dunia, kutoka mwisho umoja wa mbingu adi mwingine. 32 Muzifunze masomo la muti mtini. wakati matawi inaota na kutosha mayani, mujuwe mambo ile yote, mujuwe anakwa kama kipwa ina karibia. 33 Njo vile mukiona mambvo ile yote, mujuwe anakwa kubu na malanga. 34 Namiambia kweli kizazi haitapita bila mambo ile yote ifike. 35 Mbinguni na nchi itapita, lakini neno yangu haitapita ata siku moja. 36 Lakini mambo ya siku ile na hakuna mwenye anajua, hata bamalaika wa mbinguni, wala Mutoto, lakini baba yeye peke. 37 Kama vile ilikuwwa wakati ya nulu, ndiye itakuwu kukuja wa Mutoto wa Mutu. 38 Kwa kuwa katika siku ile mbele gharika batu balikwa banakwa, lanakutunywa, koa na kuolewa mpaka siku nuhu aliingia ndani ya masuwa, 39 nabakujua hata kitu kimoja mpaka nvula ilinysha na inasomba batu bote, Njo ginsi itakuwa kukuya wa mutoto wa mutu. 40 Kuwa hiyo ndani batu bawili banye batakuwa ku shamba-bakamata moja, na moja atabakia. 41 Banamuke ba wili bakuwa banasanga pamoja umoja atakamatuwa na moja atabakia. 42 Kwa hiyo mujichunge kwa sababu hameyuwe siku gani enye bwana wenu atakuya. 43 Mujiwe kama, mwenye nyumba engejua saa gani enye mwizi atakuya angekesha hangaesha mwizi uingie ku nyumba. 44 Njo maana mukuwe tayari ju mutoto atakuya mu saa habawaze. 45 Ni nani mutushi mwaminifu, na mutumwa wa akili, mwenye bwana wake anamupa mabaraka ku batu benye biko ku nyumba yake, ju abapatie chakula kwa wakati enye inastaili? 46 Huyu mutumishi anabarikiwa, mwenye bwana wake ata mukuta anafuanya hivyo wakati atafika. 47 Ni kweli nabambia kamabwana atamutia mamadaraka yulu ya bitu yake yote. 48 Lakini kama mutumishi mubaya anasema mu roho yake: «Bwana wangu haifika sasa hivi», 49 na anaanza kupika bale batumishi bengine, kukula na kukunywa na walevi. 50 Mfalme wa ule mutumishi ata siku enye mutumishi hakuwaza, na kuwakati anye hajui. 51 Mfalme yake ata atamukata bipande mbili na kumu weka ndani, fasi moja na banafiki, benye bata kuwa nakulia na kusaga meno.