Sura 22

1 Yesu ali bambiya tena kwa mifano. 2 «Ufalme wa mbnguni inafanan an mufalme mwe ngine a lita ya risho kusharekeya wa ndawa ya mtoto wake. 3 Alituma batunishi bake ju bahite bale benye bali bayita ku ndowa, lakini a ba kupenda ku kuya. 4 Mufalme akatuma tena batumishoi bengine ka kusema, "Mu bambiye bale bali alikwa," «Muone, nilitayarisha chakula, ma ngombe na ngombe dume ina chijwa na bitu yote imetengenezwa tayari. Mukuye kusherekeya ndowa. 5 Lakini ili bitu abakayi kamata na maana. Na ba kaenda mu shamba ya bo, bengine mu makazi ya bo. 6 Bale balibakiya bak ban batumishi ba mufalme, na kubapika na ku ba wawa. 7 Na mfalme akapata bisirani san, na alituma ba askari ba kaba wuwe bale bawuwaji na ku lunguza mingini yabo. 8 kisha aka bambiya batumishi yake. "Chereye ndowa iko tayari, lakini bale bali bayita abakustahili. 9 Njo mana mwende ku mikutano kwenye na njiya irakutana niyite batu mingi benye muta ba ona kusherekeye ndowa. 10 "Na batumishe balienda kuma njiya na baka kusema batu ya kila ayina ba zuri na ba baya. Kisha numba ya kusherekeya ili jaa sana na batu. 11 Lakini wakati mufalme ali ingiya ju ya ku ona benye balialikwa, aliona mtu moya aku vala maguwa ya (karamu) ku sherekeya. 12 Na mfalme ali mu waliza, "Ndugu, na muna gani una hingiya apa bili nguo ya kusherekeya?" Na mtu alinyamaza kimia bila kusema neno. 13 Kisha, mufalme aka bambiya batumishi, "Mu ma funge mikono na migulu ya uyu mtu na mu mutupe inje ndani ya giza, kwenye kuta kawa kulia ra kusaga meno." Kwa sababu wengi bame alikwa, lakini kidogo njo bame chaguliwa. 14 Kwa sababu wengine bame alikwa, lakini kidogo njo bamechaguliwa. 15 Kisha, ba falisayo baka enda kutagarisho gisi bata nutiliya Yesu mutego ku pitiliya ma semi yake tu. 16 Na baka mtumiya bana funzi babo, pamoya na ba herodia. Baka sema na Yesu, «Mwalimo tu na juwa kama una sema kweli na tena una fundisha njiya ya Mungu na kweli. Na awuka mata ata masemi ya mtu na awa fanya kupendaleya na batu. 17 Sasa utua mbia, una waza nini? ni ya maana kulipa ya Kaisaria wala apana?» 18 Lakini Yesu ali juwa mabaya yabo aka sema «Banfiki ! kwa nini muko na nipima? 19 Muni patie pesa moya ya kodi» njo mana bali mupati dinari. 20 Yesu aka bambiya, ii sura ya nani na iijina? 21 Baka mwambiaya, "Ni ya Kaisari" kisha, Yesu aka bambiya, "Mupatie Kaisari yote yenye iko ya Kasairi na ya Mungu ile yote yenye iko ya Mungu. 22 Wakati balisikiya vile, batu balisha nga sona. Kisha bali mwasha na akaenda. 23 Na ile siku, wa sadukaye ambae balikuawa na sema kama ufufuko ayiko bali kuya mbele yake. Na bali mu lomba. 24 "Mwalimu, Musa alisema," kama mtu anakufa bila kwacha mtoto, ndugu yake ata wowa bibi yake ju ya kuzala na ye batoto. 25 Kuli kuwa wa ndugu Saba. Wa kwanza ali wowa na aka kuhu bila kuzala ata mtoto. Aka acha bibi kwa ndugu yake. 26 Kisha ndugu mwe ngeni naye alifanya vile vile tu, kisha watatu, mu paka ndugu wa saba. 27 Nyuma ya ba, na mwa muke pia alikufa. 28 Sasa utwa mbiye siye, kwa ufufuko, nani njo ata kuwa bwana wa ule bibi ndani ya aba bo te saba, ju bote bali mupelekeya mali.» 29 Lakini Yesu aka bafibiya na akasema "Muko na ma kosa, ju amu elewi maandiko, na ata nguvu ya Mungu. 30 Sababu kwa ufufuko, atuta wowa na atuta tuma ku wowasha, lakini, tu takuwa kama ba malaika kule mbinguni. 31 Lakini kuusu ufufuko wa bafu, a muku soma yenye Mungu alibambiya. 32 "Niko Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo? Mungu ayiko Mungu ya bafu, lakini Mungu ya bale benye biko na uhai". 33 Wakati kundi ilisikiya musemi aya, balishangaa sana na ma fundisho yake. 34 Wakatika bafalisayo balisikiya kama Yesu ana banya mazisha ba sedukayo, baka kula nika. 35 Mumoya wao, akiwa mwana sheria, aka muhuliza swali ju ya kumupika. 36 "Mwalimu, sheria gani iko kubwa kuliko na sheria yote?" 37 Yesu aka mu jibiya " Upendo Bwana Mungu wako na roho yako yako, na akili yako yote na mawazo yako yote". 38 Na njo sheria kubwa na tena ya kwanza. 39 Na sheria ingine ina fuata na nayo ni iyi, "Upende mwenzako kama weye peke una ji penda" 40 Na iyi sheria mbili njo ma na inan pita ma sheria na unabi yote". 41 Na vile bafalisayo bali kuwa bana kwnya , Yesu alibawaliza. 42 Aka sema, "Mu nawaza nini ju ya Kristo? Ni mtoto wanani? Waka jibiya, mtoto wa Daudi". 43 Yesu akasema, mbona Daudi, ali sukumwa na roho, ana ita Bwana, wa kati ana sema. 44 "Bwana ali sema na Bwana wangu," ikala ku mukono wangu wa kue me, mu paka nita fanye baa duwi yako chini ya migii yako?" 45 Ka ma ssas Daudi ana muhita Kristo " Bwana " je tena ana kuwa mtoto wa Daudi? 46 Akuna mtu alikuwa na uwezo ya ku mwambia kitu.