Sura 21

1 Gisi Yesu na bana funzi yake bali zogeya ku Yerusalemu na ba kaenda ku migini ya Betifage, 2 kisha ku mulima wa Mizeituni. Kisha, Yesu aka tuma bana funzi ya ba wili na ku bambiya : « mwende ku mingini ya karibu, na mu ta ona limoya punda ba na mufunga pale, na mutoto wa punda nafungi wa pamoya, mu ba fungule na mu ni leteye a bo. 3 Kama mutu an kwambi kitu dju ya bo, mu mwambiye: " Bwana iko wayo lazima, na ule mutu ata ba atcha mara moya mwende nayo." 4 Kisha , kufika na yenye balisema ku ba na bii inanza kufanika aka sema: 5 « ombiya binti wa Siona: una mufalme wa ko ana kuja kwako, mu ku di shusha na ana panda ku punda, na mutoto wa mwaka moya. » 6 Kisha, ban funzi yake baka enda na kufanya gisi yeni ali bambiya. 7 Baka leta mutoto wa punda na punda, ba ka tandika manguo yabo na Yesu aka ikala ku manguo ya bo. 8 Bi kundi ya mingi bali ta ndika manguo ya bo ku ujiya na bengine bali kwa na kata bipande ya mi ti na bali kwa ku njiya. 9 Bi kundi yenye ili enda mbele ya Yesu na benye bali la la mika: «Hosana ku mutoto wa Daudi ! abarikiwe mwenye ana kuya ku ji na ya Bwana ! Hosana Yerusalema ! 10 Wa kati Yesu alingiya ku Yerusalema, mugini muzima ili nyamaza na ku sema : « uyu ni nani? » 11 Bikundi a ka ji biya : « uyu ni Yesu, na biitiwa nazareti ku Galilaya» 12 Fisha Yesu akai ngiya dani ya kanisa. Aka ba fukuza bote benye bali kwa uza na kuuzisha dani ya kanisa na kuvu nja ma meza yote ya ba badilisha ba ma kuta na mafasi ya benye ba li kwa na uzisha ma ndiwa. 13 Aka bambiya: « a kandika : "nymba yangu ba ta ita nyumba ya maombi" lakini mu na ifanya fasi ya bo muizi:» 14 Kisha ba pofu na bilema ba ka kuya kwa ke ndani ya kanisa na aka ba po nesha. 15 Lakini sa mukubwa wa ba ku hani ma ba andisha ba ka fika bali fanya bitu bizuri na wa kati bali sikiya batoto ku la la mi ka doni ya kanisa na ba ka sema: « hosana ku mutoto Daudi» ba ka kwa na hasira sana. 16 Ba ka mwa mbiya : « ulisikiya kile kenye ban sema aba batu?» Yesu aka ba mbiya : «ndiyo, lakini a muya soma ku kinwa ya batoto na bale benye biko bana nyonya, muko na furaha mingi?» 17 Kisha Yesu, aka batoto na kutoka ndani ya mugini ju ya kuenda Betania na ku lala kule. 18 Kisha, busu buyi, wakati alirudiya ndani ya munguni aka si kiya nzala. 19 Akaona muti kando kando ya njiya, akaende na kukuta tu mayini akambiya muti « Kwa sasa akuna tena matunda yenye itatoka kwako.» na pale pale muti ika kauka. 20 Wakati bana funzi bali ona ile, bakaifuraiya na ku sema: « Ina kua aye muti ina kauka mara moya?» 21 Yesu aka baji biya: « Kwa ukweli, na ba mbiya, kama muko na imani na amuko naa pinga, amuta fanya tu yenye minafanya ku ili muti lakini mutafayna ya mingi (zaidi) na muta mbiya kilima toka pale na uji tupe ku mayi na ile itafaniwa. 22 Yote yenye muta omba ku maombi muitike, muta pata. » 23 Wakati Yesu alingiya dani ya kanisa, mukubwa wa ba kihani na bazee ba ma taifa bali kuya kwake wakati ali kwa nafundisha na kusema: « kwa uwezo gani una fanya iyi mambo na nani an kupatiya ile uwezo?» 24 Yesu akaba dibiya: « nda bauliza nua li moya. Kama muna nyambiya, nda ba mbiya kwa uwezo gani minafanya kwa uwezo gani minafanya iyi bitu. 25 Ubatizo ya yohani (ili toka wapi?) mbinguni wala kwa batu ? Baka ji uliza ndani yabo aisema : « ju ya nini a mu ku mwa mini?» 26 Lakini tu ki sema : "bana ume " tu na hogopa kikundi ju kikundi bi ko na ka ma ta Yohane kama vile mu na bii. 27 Kisha, baka ji biya Yesu na kusema: « Atu yuwa» aka bambiya naye:» sita ba mbiya kwa uwezo gani nu na fanya iyi bitu. 28 Lakini muna waza nini ? mutu moya ali kwa na batoto bawili ba naume : « akaenda kwa mtoto wa kwanza» na ka mwambiya: « mtoto, wende kutumika mu shamba ya mizabibu lewo. 29 Mtoto aka mujibiya ana sema: "sita ifanya" kisha, aka badilisha mawazo na akaenda". 30 Na mwanaume akaenda tena ku mttoto wa pili na kasema ile kifu kimoya kile mtoto aka sema naendanbwana lakini akwena. 31 Nani kati ya aba batoto anafanya mepenzi ya baba yake? baka sema wa kwanza Yesu aka bambiya ivi kwa u kweli, na bambiya, ba kulipisha kodi na ba sharati baka ingiya dani ufalme ya Mungu mbele yenu. 32 Ju, Yoane alikuya mbele yenu kunjiya ukweli, lakini amuku muitaka, lakini balipisha ma kodi na ba sharati bali muitika. na mweye, wakati muliwona ile kufika, amuku tubu, amutubu ata nyuma ju ya ku muitaka. 33 Musikiaye mufalme muingine: ku li kua mutu, mwenye lupangu munene. Alipanda muti wa miza bibu, ata jengea lupango aka chimbala shimu, akajenga lupangao ya balinzi na ku pana muke panga ku batunga zabibu. Kisha akaenda ku inchi ingine. 34 Sa wa kati yaku chuma mbego aka fika, aka tuma batu mishi nusunku batunza zabibu ju yaku beba mbego. 35 Basi ba tunza bakulima mashamba zabibu baka funga batumishi, na kuba pika moya na ku ua mwengine mu moya na kupika mwengine moya majiwe. 36 Mwenye kiwanja a ka tuma tena bengine ba tumishi ba mingi kubita bale bakwa nza, lakini ba tunza za bibubaka bapika tu sa bale bengine. 37 Kisha ile, mwenye kiwanja aka ba tumiya mtoto wake na kusema "bata heshimiya mtoto yangu". 38 Lakini bakulima ma shamba baka ona mtoto wa mwenye ma shamba, baka ambiyana, uyu ni muriti jo anakuya, tu muuwe na tu bele iyi mali. 39 Kisha baka mubeba, naku mutupa inje ya shamba, na ku muwa. 40 Lakini wa kati mwenye shamba aka kuya, atafanya nini ku ba chunga shamba iyi? 41 Baka mwona: bata aribisha iyi shamba na kisirani sana na kisha bata pangisha shamba ku batu bengine bachunga ma shamba, batu benye baka mu patiya kipande yake ya matunda wakati waku chuma. 42 Yesu aka mbiya: « Hamusoma ndani ya ma ndiko» lijiwe yenye ba jengayi bali tupa ili fanyiwa lijewe ya mahana. Iyi ili toka kwa bwana na muzuri ku macho yetu? 43 Jo mana mi na bambiya, bata batosha ufalme wa Mungu na ita paniwa ku inshi ingine yenye ita tosha matunda. 44 Kila mutu yote mwenye ita tosha matunda. Kila mutu yote mwenye ata anguka kwa iyi lijiwe ata katiwa ku bipande, bipande. Lakini, kwa uyu itangu kia ata ponde kana."» 45 Wakati bakubwa wa bakuhani na ba farisayo ak sikiya iyi mifano yake, bakasema alikwa na sema ju yabo mbili. 46 Balipenda ku mufunga, baliogopa kikundi ya batu ju batu balikwa na muona sa vile na bii