Sura 20

1 Mana ake ufalme wa mbingu inafanana na mwenye shamba, alilamuka asubuhi sana kutafuta bafanyakazi katika shamba yake ya vinyo. 2 Kisha naye kubaliana na bafanyakazi dinari moya kwa siku moya. Alibatuma kwenda katika shamba yake ya vinyo. 3 Alienda tena katika saa tatu hivi na aliona bafanyakazi wengine balikuwa na simama sehemu ya soko bila kazi. 4 Aka baambia, na nyiye pia, muende katika shamba ya vinyo, na ile yote ya muzuri nitapatia. Hivi bakaenda kufanya kazi. 5 Aka toka tena na saa sita na tena saa kenda, na alifanya namuna moya. 6 Mara ingine tena katika saa kumi na moya, alienda kukutana na batu bengine bana shimama bila kazi ali wahuliza: Ni juu ya nini munashimama hapa bila kazi kwa siku mzima? 7 Baka mwmbia, ni kwasababu, hakuna mutu na kutupatia kazi. akabaambia, na nyi pia muende katika shamba ya vinyo. 8 Kufika mangarimbi, mwenye shamba ya vinyo aliambia musimamizi yake, "aite bafanyakazi na kubalipa malipo yao kwa mwisho na wa kwanza." 9 Wakati bali kuya bale wa saa kumi na moya, kila yao alipokeadenari moya. 10 Balikuya bafanyakazi wa kwanza, walizania kama batapokea mingi. Lakini balipokea pia dinari moya kila mutu. 11 kisha kupokea malipoyao, balilalamikia na mwenye shamba. 12 Bakisema, haba bafanyakazi wa mwisho balitumika saa moya tu katika kufanya kazi, lakini una ba wunganisha na siye siye tunabeba miziku kwa siku mzima na kuungua na kifukutu. 13 Lakini mwenye shamba akajibu na kusema kwa moya yao,« rafiki sikufanya mambo mubaya, kwa ninin, hatukubalianana miye kwa dinari moya?» 14 Pokea malipo ya ko na wendekwako. Na furahi kumpa haba bafanyakazi ba litumika mwisho sawa na weye. 15 Ni shida kwango kufanya ile minataka na mali yangu? Ao kwenu ni wivu kwa sababu miye niko mwema? 16 Hivi wa mwisho a takuwa wa kwanza na wa kwanza wa mwisho" 17 Yesu ali kuwa napanda kwenda Yerusalemu ali bachukuwa bana funzi yake, kumi na mbili pembeni, na njia aka baambia. 18 Muone tuna panda Yerusalemu, na mwana wa adamu ati tiwa katika mikono ya wakuu wa makuhani na waandishi. 19 Batamhu ku mu kufa. Bata mutoa kwa watu wa mataifa wenye batamusumbua, na kumpiga fimbo na kumuuwa kwa musalaba. Lakini katika siku ya tatu atafufuka. 20 Kisha mam wa batoto wa Zebedayo alikuya kwa Yesu na batoto yake. alipiga magoti mbele yake na kumuomba kitu kutoka kwake. 21 Yesu aka mwambia, unataka niani? Aka mwambia, hitika kwa haba batoto yangu bawili baikale, moya mukono yako wa kulia na moya mukono wa kushoto katika ufalme wako. 22 Lakini Yesu aka jibu na kusema, "Haujui ile unaomba. Na unaweza kukunywa kikombe ambao nitakunywa?" Baka mwambia, tunaweza". 23 Aka baambia, "Kikombe yangu kweli mutaikunywa, lakini kuikaa mukonao tangu wa kulia na mukono yangu wa kushoto, si ukumu yangu kuba pa. Lakini ni kwa bale ambao bali tayarishwa na baba yangu. 24 Wakati ban funzi bengine kumi balisikia hivi bakahuzunika sana na bale bandugu bawili. 25 Lakini Yesu ali baita mwenyewe na kubaambia, " muna fahumu" kama, watawala wamataifa. 26 Lakini isikuwe hivi kwenu. Lakini mwenye yote ana taka kuwa mukubwa piongoni, yenu, lazima akuwe mtumishi yenu. 27 Na huyu anataka kuwa wa kwanza miongoni yenu lazima akuwe mtumishi yenu. 28 Kama vile mwana wa adamu hakukuya kutumikiwa, lakini ni juu ya kutumika na kutoa maisha yake kuwa mukombozi kwa mingi. 29 Wakati balitoka yeriko umati kubwa ilimu fwata. 30 Na baliona vipofu bawili bana ikaa pembeni ya barabara. balisikia. balisikia. balisikia kuawa Yesu alikuwa anapita, balipiga sauti na kusema " Bwana, mwana wa Daudi, utuhurumie." 31 Lakini umati akabakemea, na kubaambia munyamaze hata hivi bao bakapiga sauti mingi na kusema, " Bwana, mwana wa Daudi, utuhurumie". 32 Kisha Yesu alisimama na ali baita na kubauliza, "Munataka nibafanyie nini? 33 Baka mwambia, " Bwana kwamba macho yetu ifunguliwe." 34 Basi Yesu aliyala na hukuma, aka gusa macho yao, waka ona na waka mufwata.