Genesis 10

Genesis 10:2

Baada ya gharika, hatimaye vizazi vya Nuhu vilisambaa kwenye nchi katika koo, na waliposambaa, kila koo ilikuwa na kitu gani chake?

Hatimaye kila koo ziliposambaa, kila koo ikawa na lugha yake.

Genesis 10:8

Nimrodi, uzao wa hamu, alijulikana kwa lipi?

Nimrodi alijulikana kama mwindaji hodari mbele ya Yahwe.

Miji ya msingi ya kwanza ya Nimrodi katika nchi ya Shinari ilikuwa ipi?

Miji ya msingi ya Nimrodi ya kwanza ilikuwa Babeli.

Genesis 10:11

Juu ya ardhi ya Shinari, sehemu gani nyingine Nimrodi alijenga miji?

Nimrodi alijenga miji katika Assiria.

Genesis 10:15

Kaanani alikuwa uzao wa mwana wa nani wa Nuhu?

Kaanani alikuwa uzao wa Hamu.

Genesis 10:19

Baada ya gharika, hatimaye vizazi vya Nuhu vilisambaa kwenye nchi katika koo, na waliposambaa, kila koo ilikuwa na kitu gani chake?

Hatimaye kila koo ziliposambaa, kila koo ikawa na lugha yake.

Genesis 10:24

Nini kilitokea katika siku za Pelegi, uzao wa Shemu.

Katika siku za Pelegi, nchi ilikuwa imegawanyika.

Genesis 10:30

Baada ya gharika, hatimaye vizazi vya Nuhu vilisambaa kwenye nchi katika koo, na waliposambaa, kila koo ilikuwa na kitu gani chake?

Hatimaye kila koo ziliposambaa, kila koo ikawa na lugha yake.

Genesis 10:32

Mataifa yaliyosambaa juu ya uso wa nchi yalitoka wapi baada ta gharika?

Mataifa yalitoka katika koo za wana wa Nuhu.