Sula 9

1 Seemani ekubibdiizaho kuzengo Hekalu da Zumbe, na Ikulu ya Mfaume, na baada ya kuhindiiza vyose ekukusudiayo kubibiizo, 2 Zumbe kaonekana kwa Seemani kwa maa ya kaidi kama ekuonekanavyo kwakwe kuda Gibeoni. 3 Na Zumbe akamwamba, "Nkizisikia dua zako na maombi yako wekuniombezayo. Nkiitakasa nyumba inu ambayo kuizenga kwa ajii yangu ili niike zina dangu umo siku zose. Meso yangu na moyo wangu wonda uwe umo kwa muda wose. 4 Iya hata wewe ati wonda wemboke mbele yangu enga Tati yao Daudi ekwembokavyo kwa haki na ukwei mwe moyo wako, ukatii yose nekukuamuluyo na kutoza maagizo na sheria zangu. 5 Nee aho nendaho niimatishe kiti chaenzi Israeli siku zose, enga nekumwahidivyo Tati yako Daudi nikamwamba "mwaango wako nkauna uhauke mwe kiti cha enzi Israel. 6 Mia ati wonda uhituka weee mwenye au wanao, kwa kwese kutoza amri zangu una maagizo yangu nekukwii kiayo, na ati wonda uite ukaabudu miungu mituhu na kuisujudia, 7 Bosi nonda niiorse haa Israel kuawa mwe sii nekuenkwayo, na nyumba inu nekuitakasayo kwa zina dangu nonda niiorse hae mwe mesoyangu, na Israel yonda iwemfano wa kubewa na kutukanwa kwe mataifa yose. 8 Ingawa hekalu idi dikwezwa ivi sasa hiya mtu mwendae emboke nkandai yakwe onda avituko na kuzomeea. Wonda weuze, "Kwa mbwai Zumbe katenda idi mwe sii inu na kwe nyumba inu? 9 Na watuhu wonda wajibu, "Ni kwa kuwa wamueka kuawa Misri, na ivi sasa wageukia miungu mituhu ambayo weyeenamia na kuisujuddia. Iyo nee sababu Zumbe kawaetea majanga yose aya." 10 Lawiia mwisho mwa miaka ishiini, Seemani nee kabindiiza kuzenga mazengo yose maidi, hekalu da Zumbe na Ikulu ya mfaume. 11 Basi Hiramu, mfaume wa Tiro, nee kamuetea Seemani mbao za mierezi na miboreshi, hamwe na dhahabu, vintu vyose ambavyo Seemani kavitamani. Kwa iyo mfaume Seemani akamwnka Hiramu mizi ishiini uko Galilaya. 12 Hiramu akeza kuawa Tiro, kuiona ida mizi ambayo Seemani nee kamwenka, miya nkayekumpendeza. 13 Kwahiyo Hiramu akaamba, "Mwezwaangu, ni mizi ya kibwai inu wekunenkayo? Hiramu akayetanga sii ya kabuli mpaka ivyeo. 14 Hiramu nee kumweetea mfaume tani nee za dhahabu. 15 Vitongeavyo nee vigezo ambavyo mfaume Seemani kaviikwa ili kuzenga hekalu sa Zumbe na Ikkulu yakwe, kuizenga milo na kiwambaza cha Yerusalemu, na Hazori, Megido, na Gezari. 16 Farao mfaume wa Misri nee kaita kuiteka Gezeri, akaigea moto, na kuwakoma Wakanaani mwe mzi. Akabinda Farao akamwenka mwanae ya kivyee uda mzi, mkaza Seemani kuwa zawadi ya hausi. 17 Kwaiyo Seemani akaizenge Gezeri na Bethi Horoni ya Loweri, 18 Baalathi na Tamari kwa jangwa mmwa sii ya Yuda, 19 na mizi yose ya haziwa yose yekuwayo yakwe, na mizi ya magai yakwe, na mizi ya wakwea faasi wakwe, na ati akakunda kuiznga kwa ajii ya fahari yakwe kuda Yerusalemu, Lebanoni, na mwe sii yose mwe utawala wake. 20 Na kwa wantu wose wekuao wasigaa wa Waamori, wahiti, Waperezi, Wahivi, na Yebu, ambao nkawe kuwa Waisraeli. 21 Na ukoo wao we kuao wasigaa baada yao mwe sii, ambao Waisraeli nkawekudaha kuwangamiza kabisa, Seemani kawagosoa kuwa vibaua, ambao wauko hata ivyeo. 22 Hata ivyo, Seemani nke kuwagosoa kuwa mateka wantu wa Israel, badala yakwe kawagosoa kuwa Askai Jeshi wakwe na watymwa wakwe, maakida wakwe, na wakuu wakwe na majemadari wakwe na wakwe faasi wakwe. 23 Awa nee wekuao maakida wakuu, wekuao wakaogookea ndima Seemani, wantu 550 nee ni wasimamizi wa wantu wekuao wakagosoa ndima. 24 Mwana kidee wa Farao korsama kuawa mzi wa Daudi kuita kwe ida nyumba ambayo Seemani kamzengea, Baada ya aho Seemani akaizenga MIlo. 25 maa ntati kia mwaka Seemani koavyo sadaka za kilinge ambavho nee kamzengea Zumbe akafukiza uvumba hamwe nazo uwanga mwe kilinge cha Zumbe. Kwaiyo akaditumia. 26 Naho Seemani akagosoa jahazi kuda Ezioni Geberi hehi na Elathi mwe ufukwe wa Bahari ya Shamu mwe sii ya edomu. 27 Hiramu akatuma watumishi kwe jahazi daa Seemani, mabaharia waimanyayo bahai hamwe na watumishi wakwe Seemani. 28 Waito kwa Ofri hamwe na watumishi wa Seeemani. Kuawa uko waeta kaibuni tani 14.5 za dhahabu kwa Seemani.