Sura 21

1 Kiwisha pale Yesu alewato kelea wanafunzi wake pembeni ya bahari Tiberia angalia mufano alikotea. 2 Simoni Petro, Thomas anaïtua Didime, Nathanaeli walikuwa kikundi moja muji kana ya Galilaya, batote mbili ya Zebedayo na mwanafunzi, mbili wa Yesu walikuwapia. 3 Simoni Petro kajindea yake kuloba, na wenzake wakatawayika naye lakini walienda kufanya kazi punda pasipo kupata kitu usiku muzima. 4 Yasu aliwatokea asuhii pembeni yao lakini wasimujuwe. 5 Yesu akiwaomba chakula lakini hawakua na chakula. 6 Akasema mulowe sasa upande wakuume na wakattii. Na hawakuweza peke yabo kokota makila kwa wingi wa samaki. 7 Mwanafunzi munzi kamufa hamu Yesu na akamwambia pia Petro. Kwisha kujua vile akaova chimiis na aka tumbukia bahari. 8 Mwanafunzi wakajikusanga pembeni ya mutumbu juu hawakua mbili, kwa ku wahunga wenzao mkono kuaku kokota makila yaku yala na samaki. 9 Wakati letaitiyaka inchi kavu, walikuta juu ya makale ya moto samaki mbili na mikate. 10 Yesu aliwaomba sehemu ya samaki ile baliloba. 11 Basi Simoni Petro akatia ile samaki kubwa kiasi cha mia moja makumi na tatu 153 bila mokila kupasuka. 12 Yesu aliwatia chakula ya asubuyi, hata umoja kuwabo, bila ulizo ijapokua wamejua sana. 13 Yesu aliwakabumlia mikate na samaki. 14 Ni mara tatu Yesu alinekana mbele ya mwanafunzi wake booda ya kufufuka kwaka kabu pini. 15 Kwisha kule Yesu akamaliza Smoni Petro mwana wa Yonainanipanda kusinda wote, kaitatika ndio Bwana unajua binafsi kama nakupenda saana Yesu akimwambia ukulishoe mwanakondoo wangu. 16 Akasemate mara ya pili Simoni mtoto wa Yona wanipenda, Petro akaitika tana ndio Bwana. Yesu akisema chuga kondoo yangu. 17 Ulizo ya tatu Petro akaitika mauzu niko, lisha kondoo yango. 18 Kweli, kweli Yesu alisema kama ungalia mtoto utafanya mambo yote kunapenzi yako, lakinin ukizeeka, mambo yako yote mupaka bakufanyizie. 19 Masemi ya Yesu ilionyesha Petro namna ya kifo yakutuza Mungu na akaomba kwa Petro aju unga naye. 20 Petro aliona mwanafunzi mupendwa wa Yesu kufuata. Yule amupendaye Yesu saana, kumu wambia, «Bwana nani atakupana maadu». 21 Petro akambia «Bwana Yesu mutu uyu ata kufanya nini?» 22 Yesu akisema: «muda wamaisha ya mutu inaniangalia mie, haiku angalie mtu mwengine, na akaomba kuji unga naye.» 23 Habari ile tawanyika kwa wandugu wengi ya kwamba mwanafunzi wa Yesu habakufake. Petro hakusema ginsi Yesu alisema hya kusemaka kuishi kwake ni mapenzi yangu, yeyote tafanya inangala Bwana Yesu haiangalie mutu.» 24 Mwanafunzi ule ule mwenye alitowa ushuuda paka yeye njo mwandikaiwa mambo na yote niya kweli. 25 Yesu alifa mambo mingi, na yote ingandikwa fazi yatia ingikosekana.