Sura ya 20

1 Kumapema ya siku ya kwanza, kumapambazoko, Maria Magadala alifika kukaburi, akakuta lile jine lineonda ka kukaburi. 2 Kwa ivi alirudia mbio kwanda kwa Simon Petro nakwa ule mwanafunzi mwingine Yesu alimupenda, kisha akawambia, bane kamata mwili Yesu kukaburi. 3 Wana funzi wote wa lipika mbio pamoza, kuona yule mwingine a likimbia sana kuliko. 4 Petro nafika kaburi mutu ya kwaza. 5 Akisimama kuona karibu, kuangalia ile sanda ya kimbala imelala, lakini yeye aliba iye. 6 Kisha Simon Petro anafika na kuhingia ndani kukaburi anaona sanisa ya inalala pale. 7 Na ileleso lilokukicwanipake uko pamoya na sanda na ilikuwa fa simoya a imebaki. 8 Na ule mwana funzi a libakiya inze anahingiya ana mini. 9 Kwa kuwa wqli sahayuhadi wqlikuwa bado kuyuwa mandiko alibambia ata fufuka katika wafu. 10 Kisha wana funzi wakaenda tena ku nyumbani kwao. 11 Ata ivi Maria alisimama kukaburi, kuliya alienda kuliya na kuangaliya kabuli. 12 Akahoina banalayika bawili wenye sura nye upe wanaikala pamonza pale Yesu alilala. 13 Nao waka bambia, mwana muke, juu ya nini? Mama akisema bana tosha mwili yake bana mutiya wapi 14 Aliongeza nabo, alingeuka muona Yesu akisimama lakani aka mutambua oyu Yesu. 15 NAye Yesu akasema naye, nama, unalia? Una tafuta nani? Naye kiwaza mutunza bustani akamwambia, bwana, kama weye ulichukuwa, niambie nimuhone naiti. 16 Yesu akasema; Mariamu, na weye ukageuka na kusama, kiaramu ( Raboni) yani kusema, mwalimu. 17 Yesu akisema naye, usiniguse. juu sienda kwa baba yenu basi enda ku banduku yangu kuhamiye, kuwanita nita enda kwa baba yango uyu alinituma baba yenu mungu wenu. 18 Mariamu magadala anaza kuhambia waana finzi, aka muambia mambo. 19 Na ilikuwa mangaribi, siku ya kwanza ya duma mulango ine funguwa fasi wanafunzi waliko kwa fia wayahudi, Yesu akuwa anasimama kati kati yabo kusema nabo, amani iwe kwenu. 20 Yesu ana sema nabo hona mikono yangu na mbavu a na honesho bana funzi wana muhona wana furahi. 21 Yesu akabambiya, imani iwe naniye, kama vile baba alituma ivi na miyena batuma nyini. 22 Yesu alimaliza kusema nayo, pokeeni, roho ntakatifu. 23 Yoyote mume samehe Nzambi, amesame wa, nabali mutakabafunga watakafunga. 24 Tomas moya ya banafu kumi na mbili, aliyeitwa Didimas alikuwa na wa na funzi awazeki Yesu alifika wale. 25 Bale bana funzi bingine waka muhambiyo, tuna muhona bwana, naye anasema nasi, kama sita ona ala ma yeke zamisumari katiku mikonoyake na nitiye vibole yangu kukilonda ya mbavu ya kesitamini. 26 Nyuma siku nane walikuwa chumbani, naye Tomas alikuwa pamoza nao, wakati milango ilipofungwa Yesu alisemama akasema, amani iwenani. 27 Kisha akambiya Tomas, leta kobole chako na uone mikono yako uweke kumbavu yangu, wala usiye kuamini. 28 Tomas akajubu nakueleza, bwana yangu una mungu wangu. 29 Yesu aka mwambiya unaniona, jii unamini, banabariki wa wele ya lishikiya pasi kuhona. 30 Nasim Yesu alifanya isuara mengi mbele ya wana funzi, ambao abayandika kukitabu hiki. 31 Basi imeondika kama badiwe kuhamini Yesu ndiye Ktristo, Mwna ya Mungu, na muki amini muwe na uzima katika dina lake.