Sura 1

1 Mwango ilikuwa neno n'noilikuwa na Mungu 2 na ilikuwa Mungu,nayeye alikua pamoja na Mungu. 3 Bitu yote niyeye alibi umba 4 Maisha na mwangaza ya watu ilikuwa ndani yake. 5 Mwangaza ina waka ndani ya giza na giza haiwezi kuyizimisha 6 Kulikuwa mutumweni Mungu alituma kwa jina ya Yohane. 7 Anakuwa sawa mshahidi wa hii mwanganza ju bote ba amani kupitita yeye. 8 Yohane haikonjo mwanganza il alikuya juya kushuhudiya mwanganza. 9 Ilikuwa mwanganza wa kweli kwa batu yote benyi banakuya mu dunya. 10 Alikuwa mu dunya, na ni yeye aliye iumba, ila dunya haiku mutambuwa. 11 Alikuya kwabo, na bandugu yake habaku mupokeya 12 Lakini kwabote balimu pokeya, benyi ku itika jina yake aliwapa mamulaka ya watoto wa Mungu. 13 Benyi habazaliwe na damu wala kupanda ya mwili , ya mutu lakini Mungu ye peke. 14 Na neno ikagewuka mwili ikaikala ndani yetu, tukaona sita sawa ya sifa ya mutu moja mwenyi anatoka kwa baba, akijazuwa na neema piya kweli. 15 Yohana akatowa ushuhuala wake, akalalamika: yenjo nilisemaka ; mwnyi kuya nyuma yangu iko mikubuwa kwangu ju alikuwaka mbole yangu. 16 Kwa utukufu wake ndiyo tunapota neema juu ya neema, 17 Sababu sheria ililetwa na musa neema na kweli ikapotikana kwa njiya ya Yesu-Christu. 18 Hakuna mutu aliona Mungu lakini mwana peke wa ,mwenyi iko ndani yake alitujilisha. 19 Angaliya ashuhunda wa Yohana wakati wa yuda walituma na makutahani na walowi kutoka yerusalemi bamuulize kama: weye ni nani ? 20 Akajibula bila kuogopa «Siko masia 21 kisha baka muuzila ukonani basi ? « Ni Eliya ?» Apana.» bakasema « Uko ,nani ?» akajibu « Apana» 22 Kisha baka mwambiya : « wenjo nani » tuta sema nini kwa mwenyi walitutuma ? Ujitambulishe. 23 Aka jibiya «Miko sauti yenyi kwlamika mu pori nabi isaya alisemaka mutengeneze njiya ya Bwana». 24 Batumwa ya ba farisayo baka muuliza : 25 «juya nini una batiza na ha uko masia, hauko Eliya wala nabii ?» 26 Yohane akabaambiya«Niko na batiza na mayi, lakini kuka mwnyi hamujuwe. 27 yengo anakuya nyuma ya ngu na siwezi ata kufungula kamba ya viyatoyake. » 28 Mambo hii ita pita mu betani fasi yenyi Yohane alikuwa ana batiza katika yordani. 29 Kisha masiku, Yohane akaona Yesu anakuya kwake, akasema, angaliya mwana kondoo wa Mungu, mwenyi ana toshaka zambi ya dunya. 30 Yenjo nilisemaka lakini iko mukubwa kwangu na alikuwa mbele miye nikuwe. 31 Siku mujuwaka lakini nili batiza na mayi ju ajulikane ndani ya israeli. 32 Yohane akasema mina mina ona hoho kushuka mbinguni, sawa ndege ika simama juu yake. 33 Siku mujuwa lakini mwenyi alinituma ni batiez kwa maji akannionesha , mwenyi utaona roho ina simama kwake, yenjo ata batiza kwa roho mtakatifu. 34 Nika ona na nika itika kama ike mtoto wa Mungu. 35 Kisha masiku Yohana alikuwa na bana funzi bake bawili. 36 akona Yesu kupita aka baambiya «angaliya mwana kondo wa Mungu!» 37 kisha baka fata Yesu bote ba wili, kwa ushuhunda wa Yohana. 38 Yesu aka baona bana kuya kwake aka bauliza muna tafuta nini? Baka rudisha kiongozi,unakuwaka wapi? 39 Aka jibu mukuye muone, baka kuya na baka ona baka ikala naye ile siku ju saana ili waka ina pita (magaribi). 40 Mubale banafuzi kuli kuwa Andre ndugu yake na Simoni Petro. 41 Akasema tume ona Mesiya, akamubeba kwa Yesu, Yesu 42 akamuangaliya weye ni Simoni mtoto wa Yohana, nitaku ita Cephas (Petro). 43 Siku ya kufata Yesu wakati Yesu alitafuta enda Galilaya, akakuta Filipo aka mwambiya unitate. 44 Filipo alikuwa mutu wa bethsaida muji wa Andreya na Petro. 45 Filipo akokuta Natanaeli aka mwambiya juya mutu mwenyi sherya ya Musa ili semaka, na ma lobi bali kubaliya ya tume muona Yesu mtoto wa Yusufu wa nazareti. 46 Natanaeli akapinga akisema kitu kizuri kita weza kutoka mu nazareti Filipo akajibu kuya uangaliye. 47 Yesu aka ona Natanaeli akasema kabisa uyu ni mutu wa isreaeli mwenyi hasema bongo. 48 Filipo aka shangaliya ni je Yesu ana ni juma? Yesu aka jiba mbele bakuyite Filipo nilikuona chini ya muti. 49 Natanaeli akasema kiongozi uko mtoto wa Mungu, 50 Yesu akajibu vile mina kuambiya kama nili kuona chili yamuti njo mana una itika? Na bado utaona mambo mingi kushinda hii, 51 Akasema tena kwa kweli bila bongo utaona mbingu kifunguka na malaika bata shuka na kupanda ju ya mtoto wa mutu (Adamu).